ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francisco amemteua Askofu Msaidizi Eusebius Nzigilwa kuwa Askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Mpanda.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZZ: Beatus Kinyaia ateuliwa kuwa Askofu Mkuu wa jimbo kuu Katoliki la Dodoma.
Hatimaye leo baba Mtakatifu Papa Francisco amempandisha kutoka askofu hadi kuwa askofu Mkuu askofu Beatus Kinyaiya, O.F.M. Cap (pichani) wa jimbo kuu Katoliki la Dodoma.Askofu Beatus Kinyaiya alizaliwa Mei 9, 1957. Akapata daraja takatifu la Upadre katika shirika la Kimisionari la Wafranciscan Minor tarehe 25 juni, 1989. Aliteuliwa kuwa askofu wa jimbo Katoliki la Mbulu tarehe 22 Aprili, 2006, nakusimikwa/ wekwa wakfu rasmi na Kardinali Polycarp...
10 years ago
Habarileo30 Apr
Padre Mapunda ateuliwa Askofu Jimbo Katoliki Singida
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amemteua Padre Edward Mapunda (51) kuwa Askofu Mpya wa Jimbo la Singida.
11 years ago
MichuziHafla ya kumuaga Askofu wa jimbo la katoliki Dodoma,Mhashamu Baba Askofu Gervas John Nyaisonga yafana sana
Mgeni rasmi katika sherehe hiyo ambayo alikuwepo Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pina,alikuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini,Mwadhama Polcarp Kardinal Pengo. Pia sherere hiyo ilihudhuriwa na Askofu...
11 years ago
GPLHAFLA YA KUMUAGA ASKOFU WA JIMBO LA KATOLIKI DODOMA,MHASHAMU BABA ASKOFU GERVAS JOHN NYAISONGA YAFANA SANA
10 years ago
Dewji Blog24 Feb
Rais Kikwete amtumia salamu za pongezi Askofu mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga
Padre Liberatus Sangu wa Jimbo Katoliki la Sumbawanga aliyeteuliwa kuwa Askofu Mpya wa Jimbo Katoliki la Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Pongezi Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (T.E.C) na Askofu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, kufuatia uteuzi uliofanywa na Baba Mtakatifu Francis, wa Padre Liberatus Sangu wa Jimbo Katoliki la Sumbawanga kuwa Askofu Mpya wa...
10 years ago
MichuziJK ahudhuria ibada ya kusimikwa askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu
10 years ago
VijimamboLOWASSA AMJULIA HALI ASKOFU RUZOKA WA JIMBO KATOLIKI TABORA
10 years ago
GPLASKOFU WA KATOLIKI AELEZA NJIA MPYA KUZUIA KATIBA
10 years ago
Mtanzania23 Sep
Askofu wa Katoliki aeleza njia mpya kuzuia Katiba
Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi
NA NORA DAMIAN, DAR ES SALAAM
MAKAMU wa Rais Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi, amesema maoni yaliyotolewa na Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) juu ya Bunge Maalumu la Katiba, hayajatekelezwa na hivyo watapita kwa Watanzania na waumini wao kuwaeleza nini cha kufanya.
Jukwaa hilo lilikutana Agosti 27 hadi 28, mwaka huu na kujadili hatima ya Bunge hilo na kutoa mapendekezo sita, moja ikiwa...