Rais Kikwete amtumia salamu za pongezi Askofu mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga
Padre Liberatus Sangu wa Jimbo Katoliki la Sumbawanga aliyeteuliwa kuwa Askofu Mpya wa Jimbo Katoliki la Shinyanga.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Pongezi Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (T.E.C) na Askofu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Baba Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa, kufuatia uteuzi uliofanywa na Baba Mtakatifu Francis, wa Padre Liberatus Sangu wa Jimbo Katoliki la Sumbawanga kuwa Askofu Mpya wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-DN1AL-fpJzo/Xtx77Dwx3YI/AAAAAAAC698/pp2N8FmOdNYWQrlXLHap9abJct_OGDKnwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AMTUMIA SALAMU ZA PONGEZI RAIS MPYA WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-DN1AL-fpJzo/Xtx77Dwx3YI/AAAAAAAC698/pp2N8FmOdNYWQrlXLHap9abJct_OGDKnwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Rais Magufuli ametoa pongezi hizo kupitia ukurasa wake wa Twitter, na kuongeza kuwa wananchi wa Burundi wameonesha imani kubwa kwa kumchagua kiongozi hiyo.
“Nakupongeza Ndg. Evariste Ndayishimiye kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa Burundi. Wananchi wa Burundi wameonesha imani kubwa kwako,” ameandika Rais Magufuli.
Aidha, amewatakia heri wananchi katika shughuli za ujenzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
JK ahudhuria ibada ya kusimikwa askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu
![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
Rais Kikwete ahudhuria Sherehe za Uaskofu jimbo Katoliki Shinyanga
![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu wakati wa ibada ya kumweka wakfu iliyofanyika katika kanisa kuu la Parokia ya Mama mwenye Huruma, Ngokolo, mjini Shinyanga leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumapili, Aprili 12, 2015 ameungana na maelfu ya waumini wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Shinyanga, kuhudhuria Ibada rasmi ya kumweka wakfu na kumsimika Askofu mpya wa Jimbo hilo,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s72-c/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s640/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQYF7RiPQ84/XrwhQahfQzI/AAAAAAALqH8/4vCHwN9pMXANFp7Ro_-PNNdHQKn6aGkPACLcBGAsYHQ/s1600/862d3a58-f452-4b4f-b121-9e9aba445835.jpg)
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi kwa Rais Kikwete
![](http://2.bp.blogspot.com/-H6t8dYNzzeg/VnUtYzlpWLI/AAAAAAAAr-o/t2bVljV5Brw/s1600/tmp_3597-Jakaya_Kikwete_2011_%2528cropped%252996447027.jpg)
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India. Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi Rais Kikwete kwa kufiwa na Dada yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India.
Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kuondokewa na mtu muhimu kwa familia."Kwa masikitiko makubwa nakupa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aYPhKFRwOKg/VHQ8xBY5ssI/AAAAAAADONU/C9NA5BXMUoA/s72-c/D92A4464.jpg)
Rais Obama amtumia salamu za Kheri Rais Kikwete
![](http://4.bp.blogspot.com/-aYPhKFRwOKg/VHQ8xBY5ssI/AAAAAAADONU/C9NA5BXMUoA/s1600/D92A4464.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fMGMxtmqMgY/VHQ8xEBbHgI/AAAAAAADONY/DxLkcuCdu2Q/s1600/D92A4470.jpg)
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Kifo cha DC: Rais Kikwete amtumia salamu Waziri Mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda kuomboleza kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mkoa wa Rukwa, Ndugu Moshi Chang’a(pichani).
“Ni kifo cha kusikitisha kwa sababu kimepunguza safu ya uongozi wetu na kimelinyang’anya taifa letu mhamasishaji hodari na mtetezi wa kuaminika wa maendeleo ya wananchi,” Rais Kikwete amesema katika salamu hizo.
Amesema Rais Kikwete katika salamu zake za...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovDa8gg1JbDAAbi0Q91eAnwd0VN1zkq5QVCnzVQHuX2l21uI7kOCE9sLdobeCax0KwC*9Y0Ru2ceieICXSqttMio/makonda2.jpg?width=650)
SALAMU ZA PONGEZI KWA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE