Kifo cha DC: Rais Kikwete amtumia salamu Waziri Mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Waziri Mkuu Mheshimiwa Mizengo Peter Pinda kuomboleza kifo cha Mkuu wa Wilaya ya Kalambo, Mkoa wa Rukwa, Ndugu Moshi Chang’a(pichani).
“Ni kifo cha kusikitisha kwa sababu kimepunguza safu ya uongozi wetu na kimelinyang’anya taifa letu mhamasishaji hodari na mtetezi wa kuaminika wa maendeleo ya wananchi,” Rais Kikwete amesema katika salamu hizo.
Amesema Rais Kikwete katika salamu zake za...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a61NWldA4SM/Xq6NU05kGaI/AAAAAAALo44/5JuL3ZaBZWk0ipmbX0Xpk4vgoRBeJ6tagCLcBGAsYHQ/s72-c/DK%2BSHEIN.jpg)
DKT SHEIN AMTUMIA SALAMU ZA RAMBI RAMBI RAIS MAGUFULI KUFUATIA KIFO CHA WAZIRI MAHIGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-a61NWldA4SM/Xq6NU05kGaI/AAAAAAALo44/5JuL3ZaBZWk0ipmbX0Xpk4vgoRBeJ6tagCLcBGAsYHQ/s640/DK%2BSHEIN.jpg)
Balozi Mahiga alifariki nyumbani wake Mjini Dodoma baada ya kuugua hafla ambapo alipofikishwa hospitali tayari alikwishapoteza uhai na kuzikwa jana Mkoani Iringa.
Katika salamu hizo Dk. Shein alisema amepokea kwa mshtuko mkubwa taarifa ya kifo cha...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aOTl5z0oumk/UzG9TRABsPI/AAAAAAAFWZc/7DGE8fO6GOc/s72-c/New+Picture.png)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI ZA RAIS KIKWETE KUFUATIA KIFO CHA MKUU WA MKOA WA MARA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://4.bp.blogspot.com/-aOTl5z0oumk/UzG9TRABsPI/AAAAAAAFWZc/7DGE8fO6GOc/s1600/New+Picture.png)
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com press@ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, THE STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR ES SALAAM. Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
SALAMU ZA RAMBIRAMBI ZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE
Rais...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KATIBU MKUU WA CPA, DKT. SHIJA
Dkt. Shija aliyefariki dunia Jumamosi asubuhi mjini London, Uingereza, ambacho ndicho kilikuwa kituo chake cha kazi, alisomea na kuwa mhadhiri wa uandishi wa habari kabla ya kuwa mbunge wa Sengerema kwa miaka 15 mfululizo na Waziri Mwandamizi wa Serikali...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Z3BWMoplk5QOQWHysa-Bb38l9rnz9e7TPgGkSNxogXGybgR9UfdUGQ1jj-xSGx0XTKaMK6ZSJR7b1YeGNFpJZl*DG-GV3tde/IKULU.png?width=650)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA WAISLAMU WOTE NA BAKWATA KUFUATIA KIFO CHA SHEIKH MKUU WA TANZANIA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6EwZ4vRns-M/VFOnGJtht1I/AAAAAAAGuZk/QsqF720PmpQ/s72-c/New%2BPicture%2B(4).bmp)
Rais Kikwete amtumia salamu za rambirambi mkuu wa mkoa wa arusha kufuatia vifo vya watu katika ajali iliyotokea jijini humo
![](http://1.bp.blogspot.com/-6EwZ4vRns-M/VFOnGJtht1I/AAAAAAAGuZk/QsqF720PmpQ/s1600/New%2BPicture%2B(4).bmp)
“Nimeshtushwa na kusikitishwa sana kutokana na ajali hii mbaya ambayo kwa ghafla imeondoa uhai wa wenzetu 12 wasio na hatia kutokana na...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi kwa Rais Kikwete
![](http://2.bp.blogspot.com/-H6t8dYNzzeg/VnUtYzlpWLI/AAAAAAAAr-o/t2bVljV5Brw/s1600/tmp_3597-Jakaya_Kikwete_2011_%2528cropped%252996447027.jpg)
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India. Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais Magufuli amtumia salamu za Rambirambi Rais Kikwete kwa kufiwa na Dada yake
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCv7pRaz3Pc/VnUaA5cpRyI/AAAAAAAINWI/IQCr0YyIcS4/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-30%2Bat%2B3.56.53%2BPM.png)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ambaye amepatwa na msiba mzito wa kufiwa na Dada yake Mpendwa Bi. Tausi Khalfan Kikwete kilichotokea jana tarehe 17 Desemba, 2015 huko nchini India.
Katika salamu hizo, Rais Magufuli amesema anaungana na familia ya Rais Mstaafu Kikwete katika kipindi hiki kigumu cha majonzi ya kuondokewa na mtu muhimu kwa familia."Kwa masikitiko makubwa nakupa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aYPhKFRwOKg/VHQ8xBY5ssI/AAAAAAADONU/C9NA5BXMUoA/s72-c/D92A4464.jpg)
Rais Obama amtumia salamu za Kheri Rais Kikwete
![](http://4.bp.blogspot.com/-aYPhKFRwOKg/VHQ8xBY5ssI/AAAAAAADONU/C9NA5BXMUoA/s1600/D92A4464.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fMGMxtmqMgY/VHQ8xEBbHgI/AAAAAAADONY/DxLkcuCdu2Q/s1600/D92A4470.jpg)