Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtanzania ateuliwa kuwa makamu mkuu wa rais wa BET Networks

BET Networks, ambayo ipo chini ya kampuni ya Viacom Inc. imetangaza kumwajiri Kay Madati kama makamu mkuu wa rais (Executive Vice President) na pia kama Chief Digital Officer. Madati, raia wa Tanzania aliyeishi katika nchi nyingi Afrika, Uingereza na Marekani, ataziongoza timu za BET zinazohusika na masuala yote ya digital, mitandao ya kijamii na pia […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

BREAKING NEWS: Kassim Majaliwa ateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli ametegua kitendawili cha nani kuwa waziri mkuu kwa kumteua Mbunge wa Rwangwa Kassim Majaliwa kuchukua nafasi hiyo kubwa serikalini.

 

10 years ago

Habarileo

Mtanzania ateuliwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi WHO

Dk Winnie Mpanju-ShumbushoMKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk Margaret Chan amemteua Mtanzania, Dk Winnie Mpanju- Shumbusho kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa shirika hilo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanamama Mtanzania Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali ateuliwa kuwa mwakilishi maalum wa AU Sudan ya kusini

jk14

Na Mwandishi maalum, New York

Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Dr.Nkosanzana Dlamini Zuma, amemteua,  Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali kutoka Jeshi la Wananchiwa wa Tanzania ( JWTZ), kuwa Mwakilishi Maalum na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Afrika Sudan yaKusini .

Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewana AU na nakala yake kutumwa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, makakazi ya Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali yatakuwa Juba.

Pamoja na...

 

9 years ago

Michuzi

Awadh Massawe ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu TPA

Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamRais Dkt. Jakaya Kikwete amemteua Bw. Awadh Massawe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA).
Rais alitangaza uamuzi huo Ijumaa iliyopita wakati wa tukio la kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa bandari mpya ya Bagamoyo inayosemekana kuwa kubwa katika ukanda huu wa Afrika mara itakapomalizika.
Akihutubia wakati wa tukio hilo, Dkt. Kikwete alisema yeye alishamaliza uteuzi huo na kumwambia Bw. Massawe afuatilie tu barua yake rasmi ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

Gary Neville ateuliwa kuwa kocha mkuu wa Valencia

gary-neville-feature-graphic_3056428

Gary Neville.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Beki wa zamani wa Manchester United na kocha wa kikosi cha kwanza cha timu ya taifa Wingereza, Gary Neville ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Valencia inayoshiriki Ligi kuu ya Hispania.

Gary Neville ameteuliwa kocha mkuu kwa mkataba mfupi na ataongoza timu hiyo mpaka mwishoni mwa msimu huu.

Neville amechukua nafasi hiyo baada ya siku chache zilizopita kutimuliwa kazi kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Nuno Santo na sasa Gary Neville atafanya...

 

10 years ago

GPL

DK SLAA ATEULIWA TENA KUWA KATIBU MKUU WA CHADEMA

Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Chadema,  Dk. Willbrod Slaa, Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mnyika kuwa na Salum Mwalim ambaye ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar.  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amewateua Dk. Willbrod Slaa kuwa Katibu Mkuu, John Mnyika kuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na Salum Mwalim ambaye anakuwa Naibu Katibu Mkuu Zanzibar. Viongozi hao wameteuliwa jana...

 

5 years ago

Michuzi

ASP. Mboje ateuliwa kuwa Mkuu wa Gereza Rombo, Kilimanjaro

Ofisa Habari Mwandamizi wa Jeshi la Magereza, ASP. Lucas Mboje ameteuliwa hivi karibuni na Kamishna Jenerali wa Magereza kuwa Mkuu wa  Gereza Rombo lililopo Mkoani Kilimanjaro ambapo ameahidi kwenda kusimamia utekelezaji wa Agenda ya Mabadiliko ndani ya Jeshi hilo pamoja na suala zima la kujitegemea.

 

9 years ago

Global Publishers

Lwakatare ateuliwa kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu Mabasi ya DRT

drt SIMBACHAWENE (1)Mabasi yendayo haraka Dar.drt SIMBACHAWENE (2)Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Simbachawene.

TAARIFA KWA UMMA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Boniface Simbachawene (Mb) kwa Mamlaka aliyopewa chini ya Kifungu cha 2(2) cha Amri ya kuanzisha Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), (The Executive Agencies) (The Dar Rapid Transit Agency) (Establishment) Order ) Tangazo la Serikali namba 120 la 2007,...

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE MWEUSI ATEULIWA KUWA MWANASHERIA MKUU NCHINI MAREKANI

Loretta Lynch ateuliwa kuwa mwanasheria mkuu nchini Marekani. Ikulu ya white house nchini Marekani inasema kuwa rais Brack Obama amemteua mwendesha mashtaka wa mji wa New York Loretta Lynch kuwa mkuu wa sheria nchini humo.Msemaji wa ikulu ya white house alisema kuwa mkuu huyo mpya wa sheria atateuliwa rasmi leo Jumamosi. Ikiwa uteuzi wake utaidhinishwa na bunge la seneti Loretta Lynch atakuwa mwanamke wa kwanza mwenye asili ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani