Mtanzania ateuliwa kuwa makamu mkuu wa rais wa BET Networks
BET Networks, ambayo ipo chini ya kampuni ya Viacom Inc. imetangaza kumwajiri Kay Madati kama makamu mkuu wa rais (Executive Vice President) na pia kama Chief Digital Officer. Madati, raia wa Tanzania aliyeishi katika nchi nyingi Afrika, Uingereza na Marekani, ataziongoza timu za BET zinazohusika na masuala yote ya digital, mitandao ya kijamii na pia […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Nov
BREAKING NEWS: Kassim Majaliwa ateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli ametegua kitendawili cha nani kuwa waziri mkuu kwa kumteua Mbunge wa Rwangwa Kassim Majaliwa kuchukua nafasi hiyo kubwa serikalini.
10 years ago
Habarileo27 May
Mtanzania ateuliwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi WHO
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk Margaret Chan amemteua Mtanzania, Dk Winnie Mpanju- Shumbusho kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa shirika hilo.
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Mwanamama Mtanzania Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali ateuliwa kuwa mwakilishi maalum wa AU Sudan ya kusini
Na Mwandishi maalum, New York
Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Dr.Nkosanzana Dlamini Zuma, amemteua, Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali kutoka Jeshi la Wananchiwa wa Tanzania ( JWTZ), kuwa Mwakilishi Maalum na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Afrika Sudan yaKusini .
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewana AU na nakala yake kutumwa Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, makakazi ya Brigedia Jenerali Sara Thomas Rwambali yatakuwa Juba.
Pamoja na...
9 years ago
Michuzi18 Oct
Awadh Massawe ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu TPA
Rais alitangaza uamuzi huo Ijumaa iliyopita wakati wa tukio la kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa bandari mpya ya Bagamoyo inayosemekana kuwa kubwa katika ukanda huu wa Afrika mara itakapomalizika.
Akihutubia wakati wa tukio hilo, Dkt. Kikwete alisema yeye alishamaliza uteuzi huo na kumwambia Bw. Massawe afuatilie tu barua yake rasmi ya...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Gary Neville ateuliwa kuwa kocha mkuu wa Valencia
Gary Neville.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Beki wa zamani wa Manchester United na kocha wa kikosi cha kwanza cha timu ya taifa Wingereza, Gary Neville ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Valencia inayoshiriki Ligi kuu ya Hispania.
Gary Neville ameteuliwa kocha mkuu kwa mkataba mfupi na ataongoza timu hiyo mpaka mwishoni mwa msimu huu.
Neville amechukua nafasi hiyo baada ya siku chache zilizopita kutimuliwa kazi kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Nuno Santo na sasa Gary Neville atafanya...
10 years ago
GPLDK SLAA ATEULIWA TENA KUWA KATIBU MKUU WA CHADEMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z7VRZdyc85I/XuDwMmmmLJI/AAAAAAALtYs/26KdmXH8Ng8uiY_88PkwbfTA0X3xkiwGQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.14.27%2BPM.jpeg)
ASP. Mboje ateuliwa kuwa Mkuu wa Gereza Rombo, Kilimanjaro
![](https://1.bp.blogspot.com/-z7VRZdyc85I/XuDwMmmmLJI/AAAAAAALtYs/26KdmXH8Ng8uiY_88PkwbfTA0X3xkiwGQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-10%2Bat%2B12.14.27%2BPM.jpeg)
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Lwakatare ateuliwa kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu Mabasi ya DRT
Mabasi yendayo haraka Dar.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Simbachawene.
TAARIFA KWA UMMA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Boniface Simbachawene (Mb) kwa Mamlaka aliyopewa chini ya Kifungu cha 2(2) cha Amri ya kuanzisha Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), (The Executive Agencies) (The Dar Rapid Transit Agency) (Establishment) Order ) Tangazo la Serikali namba 120 la 2007,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aDRZat70esGfw4s9d60KdCX7aKOpPIvtsRCQkAUNyTz8w-pZJzkxgovsSV9njgyBRj9xU*Mwm93HdgDAHU6S5qc*ja8H4lrv/07lorettalynch.w529.h352.2x.jpg?width=650)
MWANAMKE MWEUSI ATEULIWA KUWA MWANASHERIA MKUU NCHINI MAREKANI