DK SLAA ATEULIWA TENA KUWA KATIBU MKUU WA CHADEMA
Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Chadema,  Dk. Willbrod Slaa, Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mnyika kuwa na Salum Mwalim ambaye ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar. MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amewateua Dk. Willbrod Slaa kuwa Katibu Mkuu, John Mnyika kuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na Salum Mwalim ambaye anakuwa Naibu Katibu Mkuu Zanzibar. Viongozi hao wameteuliwa jana...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo10 years ago
Vijimambo04 May
BALOZI LIBERATA MULAMULA ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Balozi Liberata Rutageruka Mulamula kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico.
Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya kuwa naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Kwa sasa Balozi Yahya ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya...
10 years ago
Vijimambo06 Jun
Mjue DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2742360/highRes/1029024/-/maxw/600/-/fo7uxwz/-/slaa.jpg)
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA AKIWA ZIARANI BARANI ULAYA
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA ASHIRIKI MAZISHI YA MUFTI SHEKHE ISSA SHABAN BIN SIMBA
10 years ago
VijimamboKATIBU MKUU WA CHADEMA DR WILBROAD SLAA APEWA UCHIFU WA MKOA WA DAR ES SALAAM NA WAZEE WA KANDA YA PWANI
Wazee wa Kimila Ali Mahita Mwinyikambi (kulia) na Athumani Rajab Uloleulole kwa niaba ya Wazee wa Pwani wakimtazama Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Willibroad Slaa baada ya kumvisha nguo za kimila na kumkabidhi silaha za jadi ikiwa ni ishara ya kumtawaza kuwa Chifu wa Mkoa wa Dar es Salaam na Pwani na kumpatia jina la Chifu Mwinyikambi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SEZ4VPeIsjY/VUdd0sHGHiI/AAAAAAAHVIs/Pe6MGiI91fo/s72-c/download%2B(1).jpg)
NEWS ALERT: BALOZI MULAMULA ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, BALOZI SIMBA NAIBU WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-SEZ4VPeIsjY/VUdd0sHGHiI/AAAAAAAHVIs/Pe6MGiI91fo/s1600/download%2B(1).jpg)
Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico.
Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya (chini) kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Kwa sasa Balozi Yahya ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati Wizarani...
10 years ago
Mwananchi06 Jun
NANI NI NANI URAIS: DK Willibroad Slaa: Katibu Mkuu wa Chadema
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WJRqLrIQ5LU/VMd22jvTdqI/AAAAAAAG_rk/OAXP4r8_KBQ/s72-c/1-6.jpg)
MNGEREZA ATEULIWA KUWA KATIBU MTENDAJI WA BASATA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WJRqLrIQ5LU/VMd22jvTdqI/AAAAAAAG_rk/OAXP4r8_KBQ/s1600/1-6.jpg)
Barua ya Januari 16, 2015 iliyoandikwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba...