USTADH MASOUD MAFTAH ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WA CCM CONVECTIONAL CLUB
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-WFJNqBHDJ60/VisX7mIhmrI/AAAAAAAEC8E/VA0SnKS2-lI/s72-c/882a443909986137010cbd936595e81c.jpg)
USTADH MASOUD MAFTAH AKIWA VIWANJA VYA JANGWANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-WFJNqBHDJ60/VisX7mIhmrI/AAAAAAAEC8E/VA0SnKS2-lI/s640/882a443909986137010cbd936595e81c.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MCLGFuVDMFA/VisYFchfPQI/AAAAAAAEC8M/u3K5KGA0NOM/s640/af7425c957247a69f0c7349445ac1f1e.jpg)
10 years ago
GPLDK SLAA ATEULIWA TENA KUWA KATIBU MKUU WA CHADEMA
10 years ago
Vijimambo04 May
BALOZI LIBERATA MULAMULA ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Balozi Liberata Rutageruka Mulamula kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico.
Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya kuwa naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa. Kwa sasa Balozi Yahya ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-SEZ4VPeIsjY/VUdd0sHGHiI/AAAAAAAHVIs/Pe6MGiI91fo/s72-c/download%2B(1).jpg)
NEWS ALERT: BALOZI MULAMULA ATEULIWA KUWA KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA, BALOZI SIMBA NAIBU WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-SEZ4VPeIsjY/VUdd0sHGHiI/AAAAAAAHVIs/Pe6MGiI91fo/s1600/download%2B(1).jpg)
Kwa sasa Balozi Mulamula ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico.
Rais Kikwete pia amemteua Balozi Hassan Simba Yahya (chini) kuwa Naibu Katibu Mkuu katika Wizara hiyo ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
Kwa sasa Balozi Yahya ni Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati Wizarani...
11 years ago
Michuzi07 Feb
club rahaleo show ndani ya mtandao kupitia TBC 1 chini ya manju wa muziki nchini Masoud Masoud mariam wa migomba
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WJRqLrIQ5LU/VMd22jvTdqI/AAAAAAAG_rk/OAXP4r8_KBQ/s72-c/1-6.jpg)
MNGEREZA ATEULIWA KUWA KATIBU MTENDAJI WA BASATA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WJRqLrIQ5LU/VMd22jvTdqI/AAAAAAAG_rk/OAXP4r8_KBQ/s1600/1-6.jpg)
Barua ya Januari 16, 2015 iliyoandikwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GSdsDVBgp4Y/VMd8yJskpoI/AAAAAAACyqo/whsaXB6HGMg/s72-c/New%2BPicture.png)
GODFREY L. MNGEREZA ATEULIWA KUWA KATIBU MTENDAJI WA BASATA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GSdsDVBgp4Y/VMd8yJskpoI/AAAAAAACyqo/whsaXB6HGMg/s1600/New%2BPicture.png)
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linapenda kuwatangazia Wasanii na wadau wote wa Sanaa nchini kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kifungu namba 5 (1) cha Sheria namba 23 ya mwaka 1984 iliyolianzisha Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) amemteua ndugu Godfrey Lebejo Mngereza kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).
Barua ya Januari 16, 2015 iliyoandikwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s72-c/3.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA VIONGOZI WENYE UCHU WA MADARAKA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Nw8xzx4u710/VMFE0sG3eoI/AAAAAAAG_F8/bxSB7q__dFI/s1600/3.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Gary Neville ateuliwa kuwa kocha mkuu wa Valencia
Gary Neville.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Beki wa zamani wa Manchester United na kocha wa kikosi cha kwanza cha timu ya taifa Wingereza, Gary Neville ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Valencia inayoshiriki Ligi kuu ya Hispania.
Gary Neville ameteuliwa kocha mkuu kwa mkataba mfupi na ataongoza timu hiyo mpaka mwishoni mwa msimu huu.
Neville amechukua nafasi hiyo baada ya siku chache zilizopita kutimuliwa kazi kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Nuno Santo na sasa Gary Neville atafanya...