Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gary Neville ateuliwa kuwa kocha mkuu wa Valencia

gary-neville-feature-graphic_3056428

Gary Neville.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Beki wa zamani wa Manchester United na kocha wa kikosi cha kwanza cha timu ya taifa Wingereza, Gary Neville ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Valencia inayoshiriki Ligi kuu ya Hispania.

Gary Neville ameteuliwa kocha mkuu kwa mkataba mfupi na ataongoza timu hiyo mpaka mwishoni mwa msimu huu.

Neville amechukua nafasi hiyo baada ya siku chache zilizopita kutimuliwa kazi kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Nuno Santo na sasa Gary Neville atafanya...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Gary Neville ateuliwa kuwa kocha mpya wa Valencia ataungana na ndugu yake Phil Neville

2EFCC2A800000578-3343348-image-a-29_1449088463103

Beki wa zamani wa kulia wa Manchester United na Uingereza Gary Neville ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Valencia hadi mwisho wa msimu.

2EFCC2A800000578-3343348-image-a-29_1449088463103

Neville, 40, ataanza rasmi majukumu yake kamili Jumapili, na atasalia kwenye benchi la wakufunzi la Uingereza. Peter Lim, mmiliki wa Valencia anayetoka Singapore, ana hisa katika klabu ya Salford City, ambayo Neville ni mmiliki mwenza.

2EFCDFB900000578-3343348-image-a-28_1449088453935

Kaka yake Neville, Phil, aliyejiunga na klabu hiyo ya Uhispania kama meneja msaidizi Julai atasalia kwenye benchi la...

 

9 years ago

Bongo5

Eto’o ateuliwa kuwa kocha Uturuki

eto

Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Inter Milan na Chelsea Samuel Eto’o ameteuliwa kuwa kocha msaidizi wa klabu ya Antalyaspor ya Uturuki.

eto

Eto’o atakuwa anasaidiana na mkufunzi wa timu ya vijana ambaye pia ni mkurugenzi wa ufundi Mehmet Ugurlu.

Atapewa kazi hiyo kwa mkataba wa muda mrefu iwapo klabu hiyo itafanya vyema kwenye mechi tatu kabla ya mapumziko mafupi ya majira ya baridi.

Eto’o alijiunga na timu ya Antalyaspor kama mchezaji huru Juni 25 kwa mkataba wa miaka mitatu na alicheza mechi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Vieira ateuliwa kuwa kocha wa New York City FC

4644

Kocha mpya wa New York City, Patrick Vieira.

new-york-city-fc-2015-roster

Kikosi cha New York City.

Na Rabbi Hume

Mchezaji wa zamani wa Arsenal na kocha wa timu kukuzia vipaji ya vijana ya Manchester City, Patrick Vieira ameteuliwa kuwa kocha wa timu ya New York City inayoshiriki ligi kuu ya nchini Marekani MSL.

Uteuzi wa Vieira umekuja ikiwa ni siku sita (6) tangu kutimuliwa kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo Jason Kreis.

Vieira ambae anaiongoza timu ya vijana kuangalia maendeleo ya vijana alijiunga na timu hiyo 2013...

 

9 years ago

Bongo5

Guus Hiddink ateuliwa kuwa kocha mpya Chelsea

151219081747_guus_hiddink_file_512x288_pa_nocredit

Aliyekuwa meneja wa timu ya taifa ya Uholanzi Guus Hiddink ameteuliwa kuwa kocha mpya wa Chelsea hadi mwisho wa msimu.

151219081747_guus_hiddink_file_512x288_pa_nocredit

Ameteuliwa baada ya Jose Mourinho kufukuzwa kazi Alhamisi.

“Nimefurahia kurejea Stamford Bridge. Chelsea ni moja ya klabu kubwa duniani lakini haimo pale inakofaa kuwa kwa sasa. Hata hivyo nina uhakika tunaweza kubadilisha mambo,” amesema Hiddink baada ya kuteuliwa. “Nasubiri kwa hamu kufanya kazi na wachezaji na wakufunzi wenzangu wapya katika klabu hii kubwa na kufufua...

 

5 years ago

Mirror Online

Coronavirus: Gary Neville disagrees with Rio Ferdinand on Liverpool title fate

Coronavirus: Gary Neville disagrees with Rio Ferdinand on Liverpool title fate  Mirror OnlinePossible blow for Liverpool’s title hopes as Rio Ferdinand wants season ‘voided’  CaughtOffsideGabriel Martinelli makes Premier League’s top five under 21 stars  Just Arsenal NewsRio Ferdinand names the Chelsea player who ranks among the top five young Premier League stars  Football.London‘Beautiful to see’: Rio Ferdinand absolutely loves watching Arsenal duo play together  HITC - Football, Gaming,...

 

5 years ago

Mirror Online

Gary Neville gives verdict on why Juan Sebastian Veron struggled at Man Utd

Gary Neville gives verdict on why Juan Sebastian Veron struggled at Man Utd  Mirror OnlineView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Mirror Online

Coronavirus: Gary Neville explains why his hotels are not cleaning rooms for NHS staff

Coronavirus: Gary Neville explains why his hotels are not cleaning rooms for NHS staff  Mirror OnlineGary Neville urges all to face up to reality of coronavirus after giving hotel beds to NHS staff  Daily MailRyan Giggs says helping NHS workers by making hotels available 'the right thing to do'  Sky SportsMan Utd legend Gary Neville trolls Jamie Carragher with social distancing jibe  ExpressSix good things travel companies are doing during coronavirus crisis  The IndependentView Full...

 

9 years ago

Bongo5

Abdallah ‘King’ Kibadeni ateuliwa kuwa kocha wa Kilimanjaro Stars

Abdallah Kibadeni during a training session with Simba SC. TFF sources claim that the former Taifa Stars attacking midfielder will take charge of the Mainland side, Kilimanjaro Stars, for the 2015 Cecafa Challenge Cup. photo | file

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha mkuu wa timu wa Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Star’ atasaidiwa na Juma Mgunda kuelekea katika michuano ya CECAFA Chelenji itakayoanza kutimua vumbi Novemba 21 mjii Addis Ababa, Ethiopia.

Abdallah Kibadeni during a training session with Simba SC. TFF sources claim that the former Taifa Stars attacking midfielder will take charge of the Mainland side, Kilimanjaro Stars, for the 2015 Cecafa Challenge Cup. photo | file

Kilimanjaro Stars inashiriki michuano hiyo mikongwe kabisa barani Afrika, ambapo jumla ya nchi 12 wanachama wamedhibitisha kushiriki michuano hiyo itakayomalizika Disemba 6 mwaka huu.

Nchi hizo zinazoshiriki michuano hiyo...

 

9 years ago

Bongo5

Rigobert Song ateuliwa kuwa kocha wa timu ya taifa ya Chad

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Cameroon, Rigobert Song ameteuliwa na shirikisho la soka Chad (CFF) kuwa kocha wao mpya, akichukua nafasi ya Emmanuel Tregoat aliyefukuzwa. Song mwenye umri wa miaka 39, alistaafu soka mwaka 2011 na amekuwa akifanya kazi za uchambuzi kwenye TV. Sasa amethibitishwa kuwa kocha mpya wa Chad, ambayo ipo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani