GODFREY L. MNGEREZA ATEULIWA KUWA KATIBU MTENDAJI WA BASATA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GSdsDVBgp4Y/VMd8yJskpoI/AAAAAAACyqo/whsaXB6HGMg/s72-c/New%2BPicture.png)
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linapenda kuwatangazia Wasanii na wadau wote wa Sanaa nchini kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kifungu namba 5 (1) cha Sheria namba 23 ya mwaka 1984 iliyolianzisha Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) amemteua ndugu Godfrey Lebejo Mngereza kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).
Barua ya Januari 16, 2015 iliyoandikwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WJRqLrIQ5LU/VMd22jvTdqI/AAAAAAAG_rk/OAXP4r8_KBQ/s72-c/1-6.jpg)
MNGEREZA ATEULIWA KUWA KATIBU MTENDAJI WA BASATA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WJRqLrIQ5LU/VMd22jvTdqI/AAAAAAAG_rk/OAXP4r8_KBQ/s1600/1-6.jpg)
Barua ya Januari 16, 2015 iliyoandikwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba...
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Lwakatare ateuliwa kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu Mabasi ya DRT
Mabasi yendayo haraka Dar.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Simbachawene.
TAARIFA KWA UMMA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Boniface Simbachawene (Mb) kwa Mamlaka aliyopewa chini ya Kifungu cha 2(2) cha Amri ya kuanzisha Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), (The Executive Agencies) (The Dar Rapid Transit Agency) (Establishment) Order ) Tangazo la Serikali namba 120 la 2007,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8maKDe5WiEk/VZrO_pE7QVI/AAAAAAAHnVw/Dy0HE7jA20Y/s72-c/download%2B%25282%2529.jpg)
Laurean Rugambwa Bwanakunu ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bohari ya Dawa (MSD)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8maKDe5WiEk/VZrO_pE7QVI/AAAAAAAHnVw/Dy0HE7jA20Y/s320/download%2B%25282%2529.jpg)
Taarifa iliyotolewa Dar es salaam leo, Jumatatu, Julai 6, 2015 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Ndugu Bwanakunu unaanzia Juni 23, mwaka huu, 2015.
Kabla ya uteuzi wake, Ndugu Bwanakunu alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ariel Glaser Paediatric AIDS Healthcare Initiative.
Imetolewa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bTg5Z0oliPY/XpmaIca-InI/AAAAAAALnOw/fMyzx6kIL3ADfrlaPEvoVY6qUjthHDy1wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B1.35.26%2BPM.jpeg)
10 years ago
Daily News28 Jan
Mngereza appointed Basata boss
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has appointed Godfrey Mngereza the Executive Secretary of the National Arts Council (BASATA). According to a statement released by BASATA on Tuesday, the president appointed Mngereza under the National Arts Council Act ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WXLgzhM4WE8/VZL9rCCshxI/AAAAAAAHmA8/vIDth8eRrTk/s72-c/ngonyani.jpg)
Mhandisi Edwin Amandus Ngonyani ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (Stamico)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WXLgzhM4WE8/VZL9rCCshxI/AAAAAAAHmA8/vIDth8eRrTk/s640/ngonyani.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--NiBtr1OtG0/Vou5wGw3llI/AAAAAAAIQlY/8uy_HzjrUsc/s72-c/New%2BPicture.png)
MHANDISI RONALD LWAKATARE ATEULIWA KUWA KAIMU MTENDAJI MKUU WA WAKALA WA MABASI YAENDAYO HARAKA DAR ES SALAAM (DART).
![](http://3.bp.blogspot.com/--NiBtr1OtG0/Vou5wGw3llI/AAAAAAAIQlY/8uy_HzjrUsc/s1600/New%2BPicture.png)
10 years ago
GPLDK SLAA ATEULIWA TENA KUWA KATIBU MKUU WA CHADEMA
9 years ago
Vijimambo