Lwakatare ateuliwa kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu Mabasi ya DRT
Mabasi yendayo haraka Dar.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Simbachawene.
TAARIFA KWA UMMA
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Boniface Simbachawene (Mb) kwa Mamlaka aliyopewa chini ya Kifungu cha 2(2) cha Amri ya kuanzisha Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), (The Executive Agencies) (The Dar Rapid Transit Agency) (Establishment) Order ) Tangazo la Serikali namba 120 la 2007,...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--NiBtr1OtG0/Vou5wGw3llI/AAAAAAAIQlY/8uy_HzjrUsc/s72-c/New%2BPicture.png)
MHANDISI RONALD LWAKATARE ATEULIWA KUWA KAIMU MTENDAJI MKUU WA WAKALA WA MABASI YAENDAYO HARAKA DAR ES SALAAM (DART).
![](http://3.bp.blogspot.com/--NiBtr1OtG0/Vou5wGw3llI/AAAAAAAIQlY/8uy_HzjrUsc/s1600/New%2BPicture.png)
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Mh. Simbachawene amteua Mhandisi Ronald Lwakatare kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa DART
Mhandisi Ronald Lwakatare.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. George Boniface Simbachawene (Mb) kwa Mamlaka aliyopewa chini ya Kifungu cha 2(2) cha Amri ya kuanzisha Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), (The Executive Agencies) (The Dar Rapid Transit Agency) (Establishment) Order ) Tangazo la Serikali namba 120 la 2007, amemteua Mhandisi Ronald Lwakatare kuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es salaam (DART)...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WJRqLrIQ5LU/VMd22jvTdqI/AAAAAAAG_rk/OAXP4r8_KBQ/s72-c/1-6.jpg)
MNGEREZA ATEULIWA KUWA KATIBU MTENDAJI WA BASATA
![](http://1.bp.blogspot.com/-WJRqLrIQ5LU/VMd22jvTdqI/AAAAAAAG_rk/OAXP4r8_KBQ/s1600/1-6.jpg)
Barua ya Januari 16, 2015 iliyoandikwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GSdsDVBgp4Y/VMd8yJskpoI/AAAAAAACyqo/whsaXB6HGMg/s72-c/New%2BPicture.png)
GODFREY L. MNGEREZA ATEULIWA KUWA KATIBU MTENDAJI WA BASATA
![](http://1.bp.blogspot.com/-GSdsDVBgp4Y/VMd8yJskpoI/AAAAAAACyqo/whsaXB6HGMg/s1600/New%2BPicture.png)
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linapenda kuwatangazia Wasanii na wadau wote wa Sanaa nchini kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kifungu namba 5 (1) cha Sheria namba 23 ya mwaka 1984 iliyolianzisha Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) amemteua ndugu Godfrey Lebejo Mngereza kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA).
Barua ya Januari 16, 2015 iliyoandikwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8maKDe5WiEk/VZrO_pE7QVI/AAAAAAAHnVw/Dy0HE7jA20Y/s72-c/download%2B%25282%2529.jpg)
Laurean Rugambwa Bwanakunu ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Bohari ya Dawa (MSD)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8maKDe5WiEk/VZrO_pE7QVI/AAAAAAAHnVw/Dy0HE7jA20Y/s320/download%2B%25282%2529.jpg)
Taarifa iliyotolewa Dar es salaam leo, Jumatatu, Julai 6, 2015 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Ndugu Bwanakunu unaanzia Juni 23, mwaka huu, 2015.
Kabla ya uteuzi wake, Ndugu Bwanakunu alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ariel Glaser Paediatric AIDS Healthcare Initiative.
Imetolewa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bTg5Z0oliPY/XpmaIca-InI/AAAAAAALnOw/fMyzx6kIL3ADfrlaPEvoVY6qUjthHDy1wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-17%2Bat%2B1.35.26%2BPM.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WXLgzhM4WE8/VZL9rCCshxI/AAAAAAAHmA8/vIDth8eRrTk/s72-c/ngonyani.jpg)
Mhandisi Edwin Amandus Ngonyani ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (Stamico)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WXLgzhM4WE8/VZL9rCCshxI/AAAAAAAHmA8/vIDth8eRrTk/s640/ngonyani.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Gary Neville ateuliwa kuwa kocha mkuu wa Valencia
Gary Neville.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Beki wa zamani wa Manchester United na kocha wa kikosi cha kwanza cha timu ya taifa Wingereza, Gary Neville ameteuliwa kuwa kocha mkuu wa klabu ya Valencia inayoshiriki Ligi kuu ya Hispania.
Gary Neville ameteuliwa kocha mkuu kwa mkataba mfupi na ataongoza timu hiyo mpaka mwishoni mwa msimu huu.
Neville amechukua nafasi hiyo baada ya siku chache zilizopita kutimuliwa kazi kwa aliyekuwa kocha mkuu wa timu hiyo, Nuno Santo na sasa Gary Neville atafanya...
9 years ago
Michuzi18 Oct
Awadh Massawe ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu TPA
Rais alitangaza uamuzi huo Ijumaa iliyopita wakati wa tukio la kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa bandari mpya ya Bagamoyo inayosemekana kuwa kubwa katika ukanda huu wa Afrika mara itakapomalizika.
Akihutubia wakati wa tukio hilo, Dkt. Kikwete alisema yeye alishamaliza uteuzi huo na kumwambia Bw. Massawe afuatilie tu barua yake rasmi ya...