MWANAMKE MWEUSI ATEULIWA KUWA MWANASHERIA MKUU NCHINI MAREKANI
![](http://api.ning.com:80/files/aDRZat70esGfw4s9d60KdCX7aKOpPIvtsRCQkAUNyTz8w-pZJzkxgovsSV9njgyBRj9xU*Mwm93HdgDAHU6S5qc*ja8H4lrv/07lorettalynch.w529.h352.2x.jpg?width=650)
Loretta Lynch ateuliwa kuwa mwanasheria mkuu nchini Marekani. Ikulu ya white house nchini Marekani inasema kuwa rais Brack Obama amemteua mwendesha mashtaka wa mji wa New York Loretta Lynch kuwa mkuu wa sheria nchini humo.Msemaji wa ikulu ya white house alisema kuwa mkuu huyo mpya wa sheria atateuliwa rasmi leo Jumamosi. Ikiwa uteuzi wake utaidhinishwa na bunge la seneti Loretta Lynch atakuwa mwanamke wa kwanza mwenye asili ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili08 Nov
USA:Mwanamke mweusi ateuliwa mwanasheria
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa
9 years ago
Michuzi08 Sep
Flaviana Matata ateuliwa kuwa Balozi wa hiyari wa Utalii Tanzania nchini marekani
![flavy](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2015/09/flavy-650x432.jpg)
9 years ago
MichuziFLAVIANA MATATA ATEULIWA KUWA BALOZI WA UTALII NEW YORK CITY NCHINI MAREKANI
9 years ago
Habarileo06 Nov
Masaju ateuliwa Mwanasheria Mkuu
RAIS Dk John Magufuli jana alifanya uteuzi wake wa kwanza kwa kumteua George Masaju kuendelea tena na wadhifa wake wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Balozi wa Marekani Nchini amtembelea mwanasheria Mku wa Serikali
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bw. Mark Childress akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Leo Jijini Dar es Salaam.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju (mwenye tai nyekundu) akiwa katika picha ya pamoja na balozi wa Marekani nchini Tanzania Bw. Mark Childress(wa pili kulia) mara baada ya mazungumzo.
Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bw. Mark Childress akimuaga Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju alipomtembelea...
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Masaju aapishwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG)
10 years ago
GPLDK SLAA ATEULIWA TENA KUWA KATIBU MKUU WA CHADEMA
9 years ago
Michuzi18 Oct
Awadh Massawe ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu TPA
Rais alitangaza uamuzi huo Ijumaa iliyopita wakati wa tukio la kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa bandari mpya ya Bagamoyo inayosemekana kuwa kubwa katika ukanda huu wa Afrika mara itakapomalizika.
Akihutubia wakati wa tukio hilo, Dkt. Kikwete alisema yeye alishamaliza uteuzi huo na kumwambia Bw. Massawe afuatilie tu barua yake rasmi ya...