Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMKE MWEUSI ATEULIWA KUWA MWANASHERIA MKUU NCHINI MAREKANI

Loretta Lynch ateuliwa kuwa mwanasheria mkuu nchini Marekani. Ikulu ya white house nchini Marekani inasema kuwa rais Brack Obama amemteua mwendesha mashtaka wa mji wa New York Loretta Lynch kuwa mkuu wa sheria nchini humo.Msemaji wa ikulu ya white house alisema kuwa mkuu huyo mpya wa sheria atateuliwa rasmi leo Jumamosi. Ikiwa uteuzi wake utaidhinishwa na bunge la seneti Loretta Lynch atakuwa mwanamke wa kwanza mwenye asili ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

USA:Mwanamke mweusi ateuliwa mwanasheria

Rais Brack Obama amemteua mwendesha mashtaka wa mji wa New York Loretta Lynch kuwa mkuu wa sheria nchini humo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa

Katika kipindi cha wiki tatu, watu kote Marekani wamekuwa wakiandamana kufuatia kifo cha George Flyod, mwanaume mweusi aliyekufa mikononi mwa polisi.

 

9 years ago

Michuzi

Flaviana Matata ateuliwa kuwa Balozi wa hiyari wa Utalii Tanzania nchini marekani

flavy   Dr Adelhelm James Meru akimkabidhi Flaviana Matata barua ya kuchaguliwa kwake huku kaimu Mkurugenzi Devota Mdachi akishuhudia, katika ofisi za wizara hiyo. Mwanamitindo wa Kimataifa anaefanyia kazi zake za nchini Marekani Flaviana Matata amechagulia na Wizara ya Maliasili kuwa Balozi wa Hiyari 'Good Will Ambassador' kwa kipindi cha miaka mitatu kwa dhumuni la kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania ndani na nje ya nchi.Flaviana ambaye juzi alikuwa mmoja kati ya shuhuda wa kushuhudia...

 

9 years ago

Michuzi

FLAVIANA MATATA ATEULIWA KUWA BALOZI WA UTALII NEW YORK CITY NCHINI MAREKANI

 Katibu mkuu wizara ya maliasili na utalii Adelhelm Meru akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusiana na kumtambulisha Flaviana Matata  kuwa balozi wa utalii jimbo la New York City nchini Marekani. Kutoka kulia ni Flavianao Matata na kushoto Kaimu Mkurugenzi mwendeshaji Bodi ya Utalii TTB Devota Mdachi.Katibu mkuu wizara ya maliasili na utalii Adelhelm Meru akimkabidhi cheti   cha kumtambua kuwa balozi wa utalii jimbo la New York City nchini Marekani Flaviana...

 

9 years ago

Habarileo

Masaju ateuliwa Mwanasheria Mkuu

RAIS Dk John Magufuli jana alifanya uteuzi wake wa kwanza kwa kumteua George Masaju kuendelea tena na wadhifa wake wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi wa Marekani Nchini amtembelea mwanasheria Mku wa Serikali

1

Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bw. Mark Childress akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Leo Jijini Dar es Salaam.

2

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju (mwenye tai nyekundu) akiwa katika picha ya pamoja na balozi   wa Marekani nchini Tanzania Bw. Mark Childress(wa pili kulia) mara baada ya mazungumzo.

3

Balozi wa Marekani nchini Tanzania Bw. Mark Childress akimuaga Mwanasheria Mkuu wa Serikali Bw. George Masaju alipomtembelea...

 

9 years ago

Mwananchi

Masaju aapishwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG)

Rais Dk John Magufuli amemuapisha George Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika hafla fupi iliyofanyika leo Ikulu mjini Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

DK SLAA ATEULIWA TENA KUWA KATIBU MKUU WA CHADEMA

Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu wa Chadema,  Dk. Willbrod Slaa, Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mnyika kuwa na Salum Mwalim ambaye ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar.  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amewateua Dk. Willbrod Slaa kuwa Katibu Mkuu, John Mnyika kuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na Salum Mwalim ambaye anakuwa Naibu Katibu Mkuu Zanzibar. Viongozi hao wameteuliwa jana...

 

9 years ago

Michuzi

Awadh Massawe ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu TPA

Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamRais Dkt. Jakaya Kikwete amemteua Bw. Awadh Massawe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA).
Rais alitangaza uamuzi huo Ijumaa iliyopita wakati wa tukio la kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa bandari mpya ya Bagamoyo inayosemekana kuwa kubwa katika ukanda huu wa Afrika mara itakapomalizika.
Akihutubia wakati wa tukio hilo, Dkt. Kikwete alisema yeye alishamaliza uteuzi huo na kumwambia Bw. Massawe afuatilie tu barua yake rasmi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani