Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masaju aapishwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG)

Rais Dk John Magufuli amemuapisha George Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali katika hafla fupi iliyofanyika leo Ikulu mjini Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MWANASHERIA MKUU GEORGE MASAJU AAPISHWA BUNGENI

Mwnasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, akiapa bungeni mjini Dodoma leo Jumanne Januari 27, 2015, ili kufanya kazi yake bungeniWaziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu, (Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama bungeni mjini Dodoma leo Jumanne Januari 27, 2015Spika wa bunge Anne Makinda, akiongozwa kuingia bungeni mjini Dodoma leo Jumanne Januari 27, 2015Waziri Mkuu, akiteta jambo na Mbunge wa Bariadi Mashariki John Cheyo, (Kulia), bungeni mjini Dodoma leoPinda...

 

9 years ago

Michuzi

Rais Magufuli akuapisha Jaji Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Rais Dk. John Pombe Magufuli, leo asubuhi amemuapisha Bw. George Mcheche Masaju kuendelea kutumikia nafasi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam.

 

10 years ago

Michuzi

Rais amteua George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali mpya


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana George Mcheche Masaju (pichani) kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Uteuzi wa Bwana Masaju ulianza jana, Ijumaa, Januari 2, 2015 na ataapishwa keshokutwa, Jumatatu, Januari 5, 2015, Ikulu, Dar Es Salaam.

Kabla ya uteuzi wake, Bwana Masaju alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Bwana Masaju pia amepata kuwa Mshauri wa Sheria wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania


Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AMTEUA GEORGE MCHECHE MASAJU KUWA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI

Mwanasheria Mkuu mpya wa Serikali, George Mcheche Masaju. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Uteuzi wa Bwana Masaju ulianza jana, Ijumaa, Januari 2, 2015 na ataapishwa keshokutwa, Jumatatu, Januari 5, 2015, Ikulu, Dar Es Salaam. Kabla ya uteuzi wake, Bwana Masaju alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Bwana...

 

10 years ago

Michuzi

balosi seif akutana na mwanasheria mkuu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania Mhe george masaju

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. George Masaju ameahidi kutumia uzoefu wake alioupata katika ngazi ya Taifa na Kimataifa katika kuhakikisha jukumu alilokabidhiwa na Taifa analitekeleza katika misingi ya uadilifu. Mhe. Masaju alitoa ahadi hiyo wakati wa mazungumzo yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akijitambulisha rasmi baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kushika wadhifa...

 

9 years ago

Habarileo

Masaju ateuliwa Mwanasheria Mkuu

RAIS Dk John Magufuli jana alifanya uteuzi wake wa kwanza kwa kumteua George Masaju kuendelea tena na wadhifa wake wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

 

9 years ago

Michuzi

JK ATEUA WAKUU WA MIKOA WAWILI, MGANGA MKUU WA SERIKALI, NAIBU MWANASHERIA MKUU NA MTENDAJI MKUU WA NDC


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wawili wapya wa mikoa kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wakuu wa Mikoa ambao wanawania ubunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Septemba 14, 2015 na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa katika uteuzi wake, Rais Kikwete amemteua Ndugu Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Ndugu Jordan Rugimbana kuwa Mkuu...

 

10 years ago

Habarileo

Balozi Mulamula aapishwa kuwa Katibu Mkuu

RAIS Jakaya Kikwete amemwapisha Katibu Mkuu mpya, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula (pichani).

Aidha, katika sherehe fupi ya kuapishwa iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam jana, Rais Kikwete alimwapisha Balozi Hassan Simba Yahya kuwa Naibu Katibu Mkuu katika wizara hiyo.

Katika sherehe hiyo iliyohudhuriwa na Makamu wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, Rais Kikwete alimwapisha pia...

 

10 years ago

Michuzi

Paul Makonda aapishwa leo kuwa mkuu mpya wa wilaya ya Kinondoni

Mkuu Mpya wa Wilaya ya Kinondoni,Paul Makonda (kulia) akila kiapo mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam,Mh. Said Meck Sadick leo jijini Dar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani