Rais amteua George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali mpya
![](http://3.bp.blogspot.com/-G2YXJbs_Qzo/VKg6J8qHYyI/AAAAAAAG7D8/JfC_CISRVhQ/s72-c/0L7C3310.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana George Mcheche Masaju (pichani) kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Imetolewa na:Kurugenzi ya Mawasiliano...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaFuz0VbqQXVmJ4Z645sXtJo1RJlL02LhRDixFgYpIpQhtu-F*lHR3HrgvCdmLtf3cZUoLcyDj2k5lHs*9eVgQME/george.jpg)
RAIS KIKWETE AMTEUA GEORGE MCHECHE MASAJU KUWA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R33hdMVLGu8/VjxtVLangVI/AAAAAAAAvhQ/_kxYR7tXbAQ/s72-c/20151106010208.jpg)
Rais Magufuli akuapisha Jaji Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
![](http://3.bp.blogspot.com/-R33hdMVLGu8/VjxtVLangVI/AAAAAAAAvhQ/_kxYR7tXbAQ/s640/20151106010208.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wzyjdXSmLl0/VMHvRErVWYI/AAAAAAAG_Hg/2akeMFWqNXM/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
balosi seif akutana na mwanasheria mkuu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania Mhe george masaju
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Masaju aapishwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG)
10 years ago
VijimamboMWANASHERIA MKUU GEORGE MASAJU AAPISHWA BUNGENI
10 years ago
Vijimambo03 Jan
Rais ateua Mwanasheria Mkuu wa Serikali mpya
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-LhD49zWjTIQ%2FVKhGVaWySZI%2FAAAAAAADUMw%2FbAnFpqcJ7hU%2Fs1600%2F0L7C3313.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Uteuzi wa Bwana Masaju ulianza jana, Ijumaa, Januari 2, 2015 na ataapishwa keshokutwa, Jumatatu, Januari 5, 2015, Ikulu, Dar Es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Masaju alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Bwana Masaju pia amepata kuwa Mshauri wa Sheria wa Rais wa Jamhuri ya...
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Magufuli aanza kazi, amteua mwanasheria mkuu wa serikali
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s72-c/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS DK. SHEIN AMFUTA KAZI MWANASHERIA MKUU SMZ NA KUMTEUA MWANASHERIA MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s640/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein amemteua Mh. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee, Dkt Shein amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu 55(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
Mheshimiwa Said Hassan anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Masoud...
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Rais Kikwete amteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad (pichani) kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Desemba Mosi, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa Bwana Assad ulianza Novemba 5, mwaka huu, 2014.
Taarifa hiyo imeongeza kuwa Bwana Assad ataapishwa kesho, Jumanne, Desemba 2, saa nne asubuhi, Ikulu, Dar es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana...