MWANASHERIA MKUU GEORGE MASAJU AAPISHWA BUNGENI
Mwnasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, akiapa bungeni mjini Dodoma leo Jumanne Januari 27, 2015, ili kufanya kazi yake bungeni
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu, (Bunge na Uratibu), Jenista Mhagama bungeni mjini Dodoma leo Jumanne Januari 27, 2015
Spika wa bunge Anne Makinda, akiongozwa kuingia bungeni mjini Dodoma leo Jumanne Januari 27, 2015
Waziri Mkuu, akiteta jambo na Mbunge wa Bariadi Mashariki John Cheyo, (Kulia), bungeni mjini Dodoma leo
Pinda...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Masaju aapishwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG)
10 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AMTEUA GEORGE MCHECHE MASAJU KUWA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
10 years ago
Michuzi
Rais amteua George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali mpya

Imetolewa na:Kurugenzi ya Mawasiliano...
10 years ago
Michuzi.jpg)
balosi seif akutana na mwanasheria mkuu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania Mhe george masaju
9 years ago
Habarileo06 Nov
Masaju ateuliwa Mwanasheria Mkuu
RAIS Dk John Magufuli jana alifanya uteuzi wake wa kwanza kwa kumteua George Masaju kuendelea tena na wadhifa wake wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
9 years ago
Michuzi
Rais Magufuli akuapisha Jaji Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali

10 years ago
IPPmedia04 Feb
Attorney General George Masaju
IPPmedia
IPPmedia
The government has said it will ensure that Kadhi Courts, whose operations in mainland Tanzania are awaiting parliamentary endorsement, will not favour any religious sect but will serve to strengthen unity and enhance harmony among the citizenry.
11 years ago
Vijimambo
RAIS DK. SHEIN AMFUTA KAZI MWANASHERIA MKUU SMZ NA KUMTEUA MWANASHERIA MPYA

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein amemteua Mh. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee, Dkt Shein amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu 55(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
Mheshimiwa Said Hassan anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Masoud...