balosi seif akutana na mwanasheria mkuu wa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania Mhe george masaju
![](http://3.bp.blogspot.com/-wzyjdXSmLl0/VMHvRErVWYI/AAAAAAAG_Hg/2akeMFWqNXM/s72-c/unnamed%2B(39).jpg)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. George Masaju ameahidi kutumia uzoefu wake alioupata katika ngazi ya Taifa na Kimataifa katika kuhakikisha jukumu alilokabidhiwa na Taifa analitekeleza katika misingi ya uadilifu. Mhe. Masaju alitoa ahadi hiyo wakati wa mazungumzo yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akijitambulisha rasmi baada ya kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kushika wadhifa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-G2YXJbs_Qzo/VKg6J8qHYyI/AAAAAAAG7D8/JfC_CISRVhQ/s72-c/0L7C3310.jpg)
Rais amteua George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali mpya
![](http://3.bp.blogspot.com/-G2YXJbs_Qzo/VKg6J8qHYyI/AAAAAAAG7D8/JfC_CISRVhQ/s1600/0L7C3310.jpg)
Imetolewa na:Kurugenzi ya Mawasiliano...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaFuz0VbqQXVmJ4Z645sXtJo1RJlL02LhRDixFgYpIpQhtu-F*lHR3HrgvCdmLtf3cZUoLcyDj2k5lHs*9eVgQME/george.jpg)
RAIS KIKWETE AMTEUA GEORGE MCHECHE MASAJU KUWA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
10 years ago
VijimamboMWANASHERIA MKUU GEORGE MASAJU AAPISHWA BUNGENI
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dKZZs80U6zc/VmrPckEo93I/AAAAAAAILqE/ZNZ7oPOER7k/s72-c/01.jpg)
MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA MABALOZI WA NORWAY NA MALAWI
Katika hatua nyingine, Mheshimiwa Makamu wa Rais leo Desemba 11, 2015 amekutana na Balozi wa Norway nchini...
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Masaju aapishwa kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UhcQEJn1XYQ/VHn9rV-JTnI/AAAAAAAG0Qk/TtyPew4En98/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 16 NA 17 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 29 NOVEMBA, 2014
Mheshimiwa Spika,1. Leo tunahitimisha shughuli za Mkutano wa Kumi na Sita na Kumi na Saba wa Bunge lako Tukufu. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.
Mheshimiwa Spika,2. Mkutano huu ulijumuisha kujadili kazi kubwa zifuatazo:
Kwanza: Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2015/2016;
Pili:Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 [The Tax Administration...
10 years ago
VijimamboMHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN, JAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA UBALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WASHINGTON DC 19/11/2014
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R33hdMVLGu8/VjxtVLangVI/AAAAAAAAvhQ/_kxYR7tXbAQ/s72-c/20151106010208.jpg)
Rais Magufuli akuapisha Jaji Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
![](http://3.bp.blogspot.com/-R33hdMVLGu8/VjxtVLangVI/AAAAAAAAvhQ/_kxYR7tXbAQ/s640/20151106010208.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnc0O0Hxb4g/VlLWS7jQ51I/AAAAAAAIH7w/HMt_9a4LoNI/s72-c/IMGL0862.jpg)
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnc0O0Hxb4g/VlLWS7jQ51I/AAAAAAAIH7w/HMt_9a4LoNI/s640/IMGL0862.jpg)
Niko hapa leo kutimiza matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 91 Ibara ndogo ya kwanza inayonitaka kulihutubia na kulifungua rasmi Bunge hili. Naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na afya njema, na kutuwezesha kuwepo hapa siku ya leo. Aidha nitumie fursa hii kuwakumbuka wenzetu ambao, kwa namna na nafasi mbalimbali, walishiriki katika mchakato wa uchaguzi huu na kwa bahati mbaya walipoteza maisha yao kabla ya mchakato haujakamilika. Kwa...