HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hnc0O0Hxb4g/VlLWS7jQ51I/AAAAAAAIH7w/HMt_9a4LoNI/s72-c/IMGL0862.jpg)
Mheshimiwa Spika;
Niko hapa leo kutimiza matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 91 Ibara ndogo ya kwanza inayonitaka kulihutubia na kulifungua rasmi Bunge hili. Naomba nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutujalia uzima na afya njema, na kutuwezesha kuwepo hapa siku ya leo. Aidha nitumie fursa hii kuwakumbuka wenzetu ambao, kwa namna na nafasi mbalimbali, walishiriki katika mchakato wa uchaguzi huu na kwa bahati mbaya walipoteza maisha yao kabla ya mchakato haujakamilika. Kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-UhcQEJn1XYQ/VHn9rV-JTnI/AAAAAAAG0Qk/TtyPew4En98/s72-c/unnamed%2B(6).jpg)
HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 16 NA 17 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TAREHE 29 NOVEMBA, 2014
Mheshimiwa Spika,1. Leo tunahitimisha shughuli za Mkutano wa Kumi na Sita na Kumi na Saba wa Bunge lako Tukufu. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo.
Mheshimiwa Spika,2. Mkutano huu ulijumuisha kujadili kazi kubwa zifuatazo:
Kwanza: Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2015/2016;
Pili:Muswada wa Sheria ya Usimamizi wa Kodi wa Mwaka 2014 [The Tax Administration...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-zn68vyApwHA/VaKESgjBx6I/AAAAAAAAI5w/fEnHSotQkB0/s72-c/Magufuli.jpg)
Hotuba ya Dr John Pombe Magufuli kukubali kuwa mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-zn68vyApwHA/VaKESgjBx6I/AAAAAAAAI5w/fEnHSotQkB0/s640/Magufuli.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vVWZI3-17Oc/XumunPLz62I/AAAAAAALuKM/VuVJupFVXN4534yKnhz4qh36_46zo47GwCLcBGAsYHQ/s72-c/caaf6326-7ab0-4fa8-8a76-91d9d64c1696.jpg)
HUYU NDIYE MH. DKT. JOHN POMBE JOSEPH MGUFULI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MH John Pombe Joseph Magufuli alizaliwa Oktoba 29,mwaka 1959 katika kijiji cha Chato,wilayani Biharamuro katika Mkoa wa Kagera .hivi sasa Chato ni Wilaya katika Mkoa wa Geita.
Mh Magufuli ni Daktari wa Falsafa (PhD) ya Kemia .Amejaliwa Mke na watoto Saba.Mh Magufuli alichaguliwa na Watanzania kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba ,2015 kwa tiketi ya CCM na kuapishwa ili aanze majukumu yake rasmi...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-4xDxIDEe7D8/VjtNetHN7EI/AAAAAAAAq84/2sZJ6-N_eKg/s72-c/01.jpg)
RAIS WA AWAMU YA TANO YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DK. JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4xDxIDEe7D8/VjtNetHN7EI/AAAAAAAAq84/2sZJ6-N_eKg/s640/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ffSbvoAvxcc/VjtNM4JOjII/AAAAAAAAq8o/V-0Xt-yc-pE/s640/02.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rrwz42xRAIA/VjtNcrbgNMI/AAAAAAAAq8w/SbopQx04pnU/s640/03.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PQPYGEH-0AQ/VjIijlUTHMI/AAAAAAABYPI/KRPt_5V2Vx0/s72-c/Magufuli-1.jpg)
BREAKING NEWS: NEC YAMTANGAZA DK. JOHN POMBE MAGUFULI KUWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-PQPYGEH-0AQ/VjIijlUTHMI/AAAAAAABYPI/KRPt_5V2Vx0/s640/Magufuli-1.jpg)
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Jaji Damian Lubuva amtangaza Dk. John Pombe Magufuli kuwa mshindi wa kiti cha urais baada ya kushinda uchaguzi mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu nchini kote na kumshinda mpinzania wake mkuu Ndugu Edwarld Lowasa aliyekuwa anagombea kwa tiketi ya Chadema kupitia muungano wa vyama vinne vya upinzani UKAWA, Dk John Pombe Magufuli ameshinda kwa kura 8.882.935 sawa na asilimia 58.46 huku Edwarld Lowasa akipata kura 6.072.848...
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
LIVE!! Rais Magufuli anahutubia Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania muda huu Dodoma!
Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli akihutubia Bunge muda huu kutoka Bungeni Dodoma.
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dk. John Magufuli anaelezea kuwa mambo yote vipolo atayatatua na kuifaya Tanzania kufikia malengo yake.
Miongoni mwa mambo hayo ni pamoja na suala la Katiba mpya ambayo amekili kuachiwa kiporo hivyo ataifanyia kazi ilikuikamilisha.
Suala la Muungano anaahidi kulifanyia kazi na kulitatua.
Awali:
Baada ya Rais kuingia Bungeni...
10 years ago
Michuzi03 Nov