Magufuli aanza kazi, amteua mwanasheria mkuu wa serikali
Saa chache baada ya kuapishwa kuwa rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano, Dk John Magufuli amemteua George Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa serikali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-G2YXJbs_Qzo/VKg6J8qHYyI/AAAAAAAG7D8/JfC_CISRVhQ/s72-c/0L7C3310.jpg)
Rais amteua George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali mpya
![](http://3.bp.blogspot.com/-G2YXJbs_Qzo/VKg6J8qHYyI/AAAAAAAG7D8/JfC_CISRVhQ/s1600/0L7C3310.jpg)
Imetolewa na:Kurugenzi ya Mawasiliano...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaFuz0VbqQXVmJ4Z645sXtJo1RJlL02LhRDixFgYpIpQhtu-F*lHR3HrgvCdmLtf3cZUoLcyDj2k5lHs*9eVgQME/george.jpg)
RAIS KIKWETE AMTEUA GEORGE MCHECHE MASAJU KUWA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
9 years ago
StarTV06 Nov
Rais Magufuli ateua Mwanasheria mkuu wa Serikali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli ameanza kazi rasmi mara baada ya kuapishwa, ambapo tayari amemteua John Mcheche Masaju kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Pamoja na uteuzi huo, Rais Dr. Magufuli ameitisha bunge, na kuagiza kukutana November 17, wakati ambapo pia anatarajiwa kuwasilisha jina la atakayemkusudia kuwa waziri mkuu wa serikali ya awamu ya tano.
Mapema jana, Rais Dokta Magufuli ameapishwa rasmi kwenye uwanja wa taifa Jijini Dar es Salaam, tukio...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s72-c/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS DK. SHEIN AMFUTA KAZI MWANASHERIA MKUU SMZ NA KUMTEUA MWANASHERIA MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s640/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein amemteua Mh. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee, Dkt Shein amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu 55(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
Mheshimiwa Said Hassan anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Masoud...
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-sEOTHiHjkq8/Vj2BH_nByFI/AAAAAAAAq_Y/gLSxIvLUfao/s72-c/02.jpg)
RAIS DKT.MAGUFULI AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI, IKULU DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-sEOTHiHjkq8/Vj2BH_nByFI/AAAAAAAAq_Y/gLSxIvLUfao/s640/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WcWDvUcO6DE/Vj2BFyMGC9I/AAAAAAAAq_M/l-aCPwRWaRU/s640/01.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R33hdMVLGu8/VjxtVLangVI/AAAAAAAAvhQ/_kxYR7tXbAQ/s72-c/20151106010208.jpg)
Rais Magufuli akuapisha Jaji Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
![](http://3.bp.blogspot.com/-R33hdMVLGu8/VjxtVLangVI/AAAAAAAAvhQ/_kxYR7tXbAQ/s640/20151106010208.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Nov
Rais Dkt.Magufuli amwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Ikulu Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akisalimina na Makamu wake, Mama Samia Suluhu Hassan, wakati aliwapowasili kwenye Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam, leo asubuhi Okt. 6, 2015 kwa ajili ya kumwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, aliyemteua jana Okt 5, 2015 mara tu baada ya kuapishwa rasmi. Kushoto ni Jaji Mkuu wa Tanzania, Othman Chande. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akimwapisha George...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-GU5F3WPPzUI/VRR9roEr2KI/AAAAAAAHNiQ/4MaYP3wfkPs/s72-c/1.jpg)
WATUMISHI WAPYA 222 WA OFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI WAASWA KUFANYA KAZI KWA KUJITUMA NA UZALENDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-GU5F3WPPzUI/VRR9roEr2KI/AAAAAAAHNiQ/4MaYP3wfkPs/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xDN8HxdYR7A/VRR9rBuGSTI/AAAAAAAHNiM/0n8CDbzBa7k/s1600/2.jpg)