Rais Magufuli ateua Mwanasheria mkuu wa Serikali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli ameanza kazi rasmi mara baada ya kuapishwa, ambapo tayari amemteua John Mcheche Masaju kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Pamoja na uteuzi huo, Rais Dr. Magufuli ameitisha bunge, na kuagiza kukutana November 17, wakati ambapo pia anatarajiwa kuwasilisha jina la atakayemkusudia kuwa waziri mkuu wa serikali ya awamu ya tano.
Mapema jana, Rais Dokta Magufuli ameapishwa rasmi kwenye uwanja wa taifa Jijini Dar es Salaam, tukio...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Jan
Rais ateua Mwanasheria Mkuu wa Serikali mpya
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-LhD49zWjTIQ%2FVKhGVaWySZI%2FAAAAAAADUMw%2FbAnFpqcJ7hU%2Fs1600%2F0L7C3313.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Uteuzi wa Bwana Masaju ulianza jana, Ijumaa, Januari 2, 2015 na ataapishwa keshokutwa, Jumatatu, Januari 5, 2015, Ikulu, Dar Es Salaam.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Masaju alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Bwana Masaju pia amepata kuwa Mshauri wa Sheria wa Rais wa Jamhuri ya...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-BcZSXmMnNUU/Vfc1ldMP4GI/AAAAAAAH4zs/55Gq3DMP0so/s72-c/aaz.png)
JK ATEUA WAKUU WA MIKOA WAWILI, MGANGA MKUU WA SERIKALI, NAIBU MWANASHERIA MKUU NA MTENDAJI MKUU WA NDC
![](http://2.bp.blogspot.com/-BcZSXmMnNUU/Vfc1ldMP4GI/AAAAAAAH4zs/55Gq3DMP0so/s1600/aaz.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewateua wakuu wawili wapya wa mikoa kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wakuu wa Mikoa ambao wanawania ubunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa leo, Jumatatu, Septemba 14, 2015 na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue inasema kuwa katika uteuzi wake, Rais Kikwete amemteua Ndugu Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Ndugu Jordan Rugimbana kuwa Mkuu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W2TdQlDC6zg/XqAFTfuoiGI/AAAAAAALnyQ/3WQBP2mvoCsEoaECxxzE10gU7Tsv7ak2QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Rais Magufuli ateua Makatibu Wakuu wawili na Mganga Mkuu wa Serikali
![](https://1.bp.blogspot.com/-W2TdQlDC6zg/XqAFTfuoiGI/AAAAAAALnyQ/3WQBP2mvoCsEoaECxxzE10gU7Tsv7ak2QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-2I2Gz6X0DmE/XqACF-fjJqI/AAAAAAALnyE/QnjV3sm0nE8zJGjZUkNUsWyB8BcuBwSOgCLcBGAsYHQ/s1600/222a436f-57ed-4be5-9f20-5513d3882a5f.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R33hdMVLGu8/VjxtVLangVI/AAAAAAAAvhQ/_kxYR7tXbAQ/s72-c/20151106010208.jpg)
Rais Magufuli akuapisha Jaji Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
![](http://3.bp.blogspot.com/-R33hdMVLGu8/VjxtVLangVI/AAAAAAAAvhQ/_kxYR7tXbAQ/s640/20151106010208.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-sEOTHiHjkq8/Vj2BH_nByFI/AAAAAAAAq_Y/gLSxIvLUfao/s72-c/02.jpg)
RAIS DKT.MAGUFULI AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI, IKULU DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-sEOTHiHjkq8/Vj2BH_nByFI/AAAAAAAAq_Y/gLSxIvLUfao/s640/02.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WcWDvUcO6DE/Vj2BFyMGC9I/AAAAAAAAq_M/l-aCPwRWaRU/s640/01.jpg)
9 years ago
Dewji Blog06 Nov
Rais Dkt.Magufuli amwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Ikulu Dar leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akisalimina na Makamu wake, Mama Samia Suluhu Hassan, wakati aliwapowasili kwenye Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam, leo asubuhi Okt. 6, 2015 kwa ajili ya kumwapisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, aliyemteua jana Okt 5, 2015 mara tu baada ya kuapishwa rasmi. Kushoto ni Jaji Mkuu wa Tanzania, Othman Chande. (Picha na OMR).
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, akimwapisha George...
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Magufuli aanza kazi, amteua mwanasheria mkuu wa serikali
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kBk*s0lw*NnaFm1v8M-L6cuwsI3eZtIiYnF2rA1RsFXpq9aFD633VfiKl5y3-46HZX0FAHHWLxoRKOJBSGE56elBkyxdPg-3/1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI IKULU DAR
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VKyYsb1DAig/VKqM1yMqTOI/AAAAAAAG7a0/p5C7KCG2X-k/s72-c/1.jpg)
RAIS KIKWETE AMWAPISHA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI IKULU DAR LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-VKyYsb1DAig/VKqM1yMqTOI/AAAAAAAG7a0/p5C7KCG2X-k/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TYHEW0zvCo4/VKqM15hvsGI/AAAAAAAG7aw/FOcPkCp_Ztk/s1600/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-a4BEnlUk_h4/VKqM2-GwOFI/AAAAAAAG7bA/cPS3piR_Tns/s1600/3.jpg)