RAIS MAGUFULI AMTEUA KATIBU MKUU KIONGOZI KIJAZI KUWA MWENYEKITI WA BODI YA USHAURI WAKALA WA NDEGE ZA SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ShOjZAov1Vk/XlfXIrZARBI/AAAAAAACzlQ/_Fl5VNO_fOkySYF5BVCMHNaic0c4nx4IACLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dpX65ETFavs/XsPZIx8j3EI/AAAAAAALqxw/sY3UHZrlbNEn6bRT7WXEO_0WIDwGcTx_wCLcBGAsYHQ/s72-c/aa7bc790-84a2-4b57-8af0-c85ba5a834f6.jpg)
MKUCHIKA AZINDUA BODI YA USHAURI YA WAKALA YA NDEGE ZA SERIKALI NA KUITAKA IHAKIKISHE ATCL INAKUWA IMARA KIUSHINDANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-dpX65ETFavs/XsPZIx8j3EI/AAAAAAALqxw/sY3UHZrlbNEn6bRT7WXEO_0WIDwGcTx_wCLcBGAsYHQ/s640/aa7bc790-84a2-4b57-8af0-c85ba5a834f6.jpg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Kapt. (Mst) Mhe. George H. Mkuchika (Mb) akizungumza na Wajumbe wa Bodi ya Wakala ya Ndege za Serikali (hawapo pichani) mara baada ya kuzindua Bodi hiyo mapema leo Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/f42f074f-4a99-4b76-bfcb-84f9509cdb14.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-252kz6b_CqY/XmB5Xeym1RI/AAAAAAALhFY/UngzP2aJBes10qJo3DX4viwlNFnXqqGpgCLcBGAsYHQ/s72-c/3ac45ab2-387f-47f8-b3a8-e59ea2a28a0c.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GdbpQcX6Qt4/VKaaT-4nkII/AAAAAAAG68A/0MzU6Ql5lhw/s72-c/tanzania-tanesco.jpg)
RAIS KIKWETE AMTEUA DK. MIGHANDA MANYAHI KUWA MWENYEKITI MPYA WA BODI YA TANESCO
![](http://4.bp.blogspot.com/-GdbpQcX6Qt4/VKaaT-4nkII/AAAAAAAG68A/0MzU6Ql5lhw/s1600/tanzania-tanesco.jpg)
Kwa taarifa iliyotolewa leo na kwa vyombo vya habari na kusainiwa na Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini ilisema ,kufuatia uteuzi huo,Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amewateua Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa TANESCO .
Wajumbe wa bodi walioteuliwa ni Kissa Vivian...
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
JK amteua Natu Rashid Msuya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Rais wa Kujitegemea (PTF)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Natu Rashid Msuya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Rais wa Kujitegemea (PTF).
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Alhamisi, Oktoba 29, 2015 Ikulu, Dar es Salaam na Katibu Mkuu – Ikulu, Ndugu Peter Ilomo uteuzi huo ulianza Jumapili ya Oktoba 25 mwaka huu, 2015 na ni wa miaka mitatu.
Bibi Natu Msuya ni Mshauri wa Wanafunzi, Chuo Kikuu Kishiriki cha DUCE cha Dar es Salaam.
Imetolewa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4XeIzySljo/Vjip0TuQbOI/AAAAAAAIEC8/mf5IVPWg9tQ/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE AMTEUA PROFESA MBETTE KUWA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI WA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-B4XeIzySljo/Vjip0TuQbOI/AAAAAAAIEC8/mf5IVPWg9tQ/s1600/New%2BPicture.png)
Uteuzi huo ni kwa mujibu wa kifungu Na. 9 (4) (a) cha Sheria...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HifeyUz-ocI/XrVpx_PsBlI/AAAAAAALpf4/LM0bu-3zvEkmYIv3AXmdRAKmXRcIpG9oQCLcBGAsYHQ/s72-c/Magufuli.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-g5jzVV9S_5Y/Vk11kb7l8uI/AAAAAAAA1Ow/G1Wp2mjbNg0/s72-c/IMG_20151119_100418.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzAkQIH991otX7ib36lP-A-juT7TrEHZANWP9QcARYbquNu61ozIZQSTHUwq*fqx8Q5fcPCxR6DBa57fx6zBcYVH/balozimulamula.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AMTEUA BALOZI MULAMULA KUWA KATIBU MKUU, WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RjUGj58MiaFuz0VbqQXVmJ4Z645sXtJo1RJlL02LhRDixFgYpIpQhtu-F*lHR3HrgvCdmLtf3cZUoLcyDj2k5lHs*9eVgQME/george.jpg)
RAIS KIKWETE AMTEUA GEORGE MCHECHE MASAJU KUWA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI