Dr. Winnie Mpanju-Shumbusho kutoka Tanzania ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Geneva, Uswisi
![](http://3.bp.blogspot.com/-AeJNboRbDoE/VV4_cJeGEoI/AAAAAAAHY6U/ycNpYMLH20A/s72-c/0999700.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani, Dr. Margaret F. Chan amemteua Dr. Winnie Mpanju-Shumbusho kutoka Tanzania kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa Shirika la Afya Duniani, upande wa masuala ya Ukimwi, Kifua Kikuu Malaria na Magonjwa yaliyosahaulika. Uteuzi huu umetangazwa rasmi na Dr. Chan wakati wa kikao cha 68 cha Baraza Kuu la Shirika la Afya Duniani kilichoanza tarehe 14 mpaka tarehe 26 Mei 2015, Geneva, Uswisi.
Dr. Mpanju-Shumbusho ni mtaalamu na kiongozi mwenye uzoefu wa zaidi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-y2UhKztxk4Y/U6yFpZ6fW_I/AAAAAAAFtLg/y2jzZj9MstM/s72-c/Balozi+Modest+Mero+na+Mkurugenzi+Mkuu+wa+Mamlaka+ya+Hali+ya+Hewa+Bi.+Agness+Kijazi+katika+picha+ya+pamoja,+kwenye+makazi+ya+bal.jpg)
Balozi Modest Mero afanya mazungumzo na Mh. Dkt. Seif Rashid, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii na Bi. Agness Kijazi, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa, Geneva, Uswisi
![](http://4.bp.blogspot.com/-y2UhKztxk4Y/U6yFpZ6fW_I/AAAAAAAFtLg/y2jzZj9MstM/s1600/Balozi+Modest+Mero+na+Mkurugenzi+Mkuu+wa+Mamlaka+ya+Hali+ya+Hewa+Bi.+Agness+Kijazi+katika+picha+ya+pamoja,+kwenye+makazi+ya+bal.jpg)
Hivi karibuni Mh. Modest Mero, Balozi wa Tanzania, Geneva alifanya mazungumzo ya pamoja na Mh. Dkt. Seif Rashid na Bi. Agness Kijazi, katika makazi ya Balozi, Geneva.
Ujumbe wa Mh. Waziri ulikuwa Geneva kwenye kikao cha Bodi ya " Global Alliance for Vaccines and Immunization", Geneva, ambapo Mh. Waziri ni mjumbe wa Bodi. Na pia...
10 years ago
Habarileo27 May
Mtanzania ateuliwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi WHO
MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Dk Margaret Chan amemteua Mtanzania, Dk Winnie Mpanju- Shumbusho kuwa Mkurugenzi Mkuu Msaidizi wa shirika hilo.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4M6IMZ9n2Ho/VWxrpeeNctI/AAAAAAAAA5s/N3CDCdO36ro/s72-c/congress%2B2015.png)
TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO MKUU WA 17 WA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO) NCHINI USWISI .
![](http://1.bp.blogspot.com/-4M6IMZ9n2Ho/VWxrpeeNctI/AAAAAAAAA5s/N3CDCdO36ro/s640/congress%2B2015.png)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Dkt. Agnes Kijazi pamoja na ujumbe wa Tanzania akiwemo Bwana Mohamed Ngwali, Mkurugenzi wa TMA – Ofisi ya Zanzibar, wanashiriki mkutano mkuu wa 17 wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) unaofanyika Uswisi, makao makuu ya Shirika hilo kuanzia tarehe 25 Mei hadi 12 Juni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h_A6NzQ45BM/XsiuK3hzyDI/AAAAAAALrV4/7dkoXVNlZ60rIkeYlAvTrTIUH-z2MhQIwCLcBGAsYHQ/s72-c/85ef42ef-8651-4a79-9d3c-107e2a8fb2d7.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4M6IMZ9n2Ho/VWxrpeeNctI/AAAAAAAAA5s/N3CDCdO36ro/s72-c/congress%2B2015.png)
TANZANIA YASHIRIKI MKUTANO MKUU WA 17 WA SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI (WMO) NCHINI USWISI TAREHE: 25 MEI HADI 12 JUNE 2015.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4M6IMZ9n2Ho/VWxrpeeNctI/AAAAAAAAA5s/N3CDCdO36ro/s640/congress%2B2015.png)
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania Dkt. Agnes Kijazi pamoja na ujumbe wa Tanzania akiwemo Bwana Mohamed Ngwali, Mkurugenzi wa TMA – Ofisi ya Zanzibar, wanashiriki mkutano mkuu wa 17 wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani (WMO) unaofanyika Uswisi, makao makuu ya Shirika hilo kuanzia tarehe 25 Mei hadi 12 Juni...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xH6Zv4-eYsw/UyGzlDnp4xI/AAAAAAAFTaw/-sv0yyBWKT0/s72-c/New+Picture+(5).png)
MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA NGUVU ZA ATOMIKI DUNIANI ZIARANI NCHINI TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-xH6Zv4-eYsw/UyGzlDnp4xI/AAAAAAAFTaw/-sv0yyBWKT0/s1600/New+Picture+(5).png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-lP5YaIAqM08/UyGzmx-sw3I/AAAAAAAFTa4/RJ49m-Q1Dsc/s1600/New+Picture+(6).png)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ui8SHdAgqVU/VXhbrPxQJzI/AAAAAAAHegc/GgJWMhEAb9s/s72-c/unnamedm.jpg)
MKUTANO MKUU WA 104 WA SHIRIKA LA KAZI DUNIANI (ILO), GENEVA 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ui8SHdAgqVU/VXhbrPxQJzI/AAAAAAAHegc/GgJWMhEAb9s/s640/unnamedm.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BdgbjXnnHMQ/VXF_c612spI/AAAAAAAHcQ8/5Obap4TI6H8/s72-c/Untitled.png)
TANZANIA IMECHAGULIWA KUWA MJUMBE KATIKA BARAZA LA UTENDAJI LA WMO,GENEVA USWISI.
Kuchaguliwa kwa Dr. Agnes Kijazi kumetokana na jitihada kubwa za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kupitia Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa na Ubalozi wetu wa Kudumu Umoja wa Mataifa, Geneva.
Dr. Kijazi anaongoza ujumbe wa Tanzania...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-WXLgzhM4WE8/VZL9rCCshxI/AAAAAAAHmA8/vIDth8eRrTk/s72-c/ngonyani.jpg)
Mhandisi Edwin Amandus Ngonyani ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (Stamico)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WXLgzhM4WE8/VZL9rCCshxI/AAAAAAAHmA8/vIDth8eRrTk/s640/ngonyani.jpg)