GUY SCOTT ATEULIWA KUWA RAIS WA MPITO NCHINI ZAMBIA
![](http://api.ning.com:80/files/6ovfEf3pFLdbkxF1xP58sAEnofv9fRJgmbba4SaF-etFQBX4zLTA0xqMm9OPKW1JUayInk*RUdgB5xDhub77muK2IrPz57e7/GuyScot2.jpg?width=650)
Mhe. Guy Scott. KUFUATIA kifo cha Rais Michael Chilufya Sata, kilichotokea tarehe 28 Oktoba 2014, mjini London na kwa kuzingatia Katiba yake Kifungu cha 38 (1) kinachohusu mamlaka ya Rais, kwamba nafasi ya Rais ikiwa wazi kwa sababu yoyote ile, Makamu wa Rais atakaimu madaraka ya kiti cha Urais hadi uchaguzi mdogo utakapofanyika ndani ya siku tisini (90), hivyo Serikali imemteua Mhe. Guy Scott (MB), Makamu wa Rais, kukaimu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-phmE6jL0mwQ/VFFDEIRTSRI/AAAAAAAGuHM/peJm2WMwfYg/s72-c/1-Zambia-OnoBello-1029.jpg)
Mhe. Guy Scott ateuliwa kuwa Rais wa Mpito nchini Zambia
![](http://1.bp.blogspot.com/-phmE6jL0mwQ/VFFDEIRTSRI/AAAAAAAGuHM/peJm2WMwfYg/s1600/1-Zambia-OnoBello-1029.jpg)
Tayari aliyekuwa anakaimu madaraka ya...
10 years ago
BBCSwahili04 Nov
Rais wa zambia Guy Scott lawamani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aDRZat70esGfw4s9d60KdCX7aKOpPIvtsRCQkAUNyTz8w-pZJzkxgovsSV9njgyBRj9xU*Mwm93HdgDAHU6S5qc*ja8H4lrv/07lorettalynch.w529.h352.2x.jpg?width=650)
MWANAMKE MWEUSI ATEULIWA KUWA MWANASHERIA MKUU NCHINI MAREKANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8YvkhgWXPhU/U_z1GgeAOII/AAAAAAAGClY/ufZZ2RA74OQ/s72-c/New%2BPicture.bmp)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hn7ppBhwAfU/Uw2YqE6Zd4I/AAAAAAAFPoc/YVCrS-_XrYo/s72-c/download+(1).jpg)
togolani mavura ateuliwa kuwa msaidizi wa Rais - Hotuba
![](http://4.bp.blogspot.com/-hn7ppBhwAfU/Uw2YqE6Zd4I/AAAAAAAFPoc/YVCrS-_XrYo/s1600/download+(1).jpg)
Taarifa iliyotolewa Jumanne, Februari 25, 2014, mjini Dar Es Salaam na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Y. Sefue inasema kuwa Bwana Mavura anachukua nafasi ya Bwana Msafiri Marwa ambaye amehamishimiwa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na kupangiwa kazi nyingine. Kabla ya uteuzi...
10 years ago
Dewji Blog18 Dec
Willy Kitima ateuliwa kuwa msaidizi wa Rais-nyaraka
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Willy Kitima kuwa Msaidizi wa Rais – Nyaraka (Documentation) kuanzia Alhamisi iliyopita, Desemba 11, 2014.
Kabla ya uteuzi wake, Bwana Kitima alikuwa Mratibu wa Taasisi ya Kupambana na Rushwa ya Biashara nchini ya Business Action Against Corruption (BAAC) Tanzania.
Taasisi hiyo inaendeshwa kwa ushirikiano kati ya Jumuiya ya Madola na Serikali ya Tanzania kupitia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...
9 years ago
MichuziFLAVIANA MATATA ATEULIWA KUWA BALOZI WA UTALII NEW YORK CITY NCHINI MAREKANI
9 years ago
Michuzi08 Sep
Flaviana Matata ateuliwa kuwa Balozi wa hiyari wa Utalii Tanzania nchini marekani
![flavy](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2015/09/flavy-650x432.jpg)
10 years ago
MichuziJack Mugendi Zoka ateuliwa kuwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Canada.
Bw. Zoka anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Alex Masinda, ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Zoka alikuwa Ofisa Mwandamizi Ofisi ya Rais Ikulu.
IMETOLEWA NAKATIBU MKUUWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFADar es Salaam,Septemba 30, 2014