TAARIFA RASMI KUTOKA KWA KAMATI YA JUMUIYA NA USULUHISHI WA MIGOGORO
Kufuatia mgogoro wa kisiasa, jaribio la kumtoa madarakani Raisi wa Jamhuri ya Burundi, Pierre Nkurunziza na maelfu ya wananchi wa nchi hiyo kukimbilia nchi jirani za Tanzania na Rwanda. Hali ya kambi zinazopokea wakimbizi zinaonekana kuelemewa na kupelekea kuhatarisha hali za wakimbizi hao.
Kutokana na hali hiyo, Bunge la Afrika ya Mashariki kupitia kamati yake ya Masuala ya Jumuiya na Usuluhishi wa Migogoro imeteua wajumbe watakaokwenda kutembelea kambi hizi zilizopo Kigoma-Tanzania na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-32bAYB2feIM/VIcSzgl-4rI/AAAAAAADJu4/XdZtnGg4BQA/s72-c/photo_39499.jpg)
Taarifa Rasmi Kwa Umma Kutoka IKULU
![](http://1.bp.blogspot.com/-32bAYB2feIM/VIcSzgl-4rI/AAAAAAADJu4/XdZtnGg4BQA/s1600/photo_39499.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NB98JS7vnzI/VIcTSVB96hI/AAAAAAADJvA/p-0AJQ1K28k/s1600/Kurugenzi%2Bya%2Bmawasiliano%2Bya%2BIkulu.jpg)
Mhe. Rais ameanza kazi rasmi kwa kumwapisha Mkuu mpya wa Mkoa wa Arusha, Mheshimiwa Daudi Felix Ntibenda katika shughuli fupi iliyofanyika Ikulu, Dar Es Salaam.
Kwa kuanzia Mhe. Rais atakuwa anafanya kazi za ofisini na kwa muda mchache. Muda na kasi ya kufanya kazi ya Mhe....
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Upatanishi, usuluhishi wa migogoro ya kikazi — (2)
WIKI iliyopita nilisema kwamba mgogoro unaweza kutafsiriwa kuwa ni uhusiano kati ya pande mbili au zaidi zenye mahitaji yasiyokubaliana au yanayopingana. Hata hivyo mpatanishi atalazimika kutatua mgogoro ndani ya siku...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLrbuSNVVEY/VA3Ak11d-KI/AAAAAAAGh-0/zDT7_3zTL4c/s72-c/Untitled.jpg)
TAARIFA RASMI KUTOKA JESHI LA MAGEREZA KUHUSU TAARIFA ZA UZUSHI ZINAZOZAGAA KUWA BABU SEYA NA MAWAE WAMEACHIWA HURU
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLrbuSNVVEY/VA3Ak11d-KI/AAAAAAAGh-0/zDT7_3zTL4c/s1600/Untitled.jpg)
Napenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa taarifa hizo zote zilizotolewa kupitia njia hizo ni za Uongo na uzushi mkubwa na zinalenga kuipotosha jamii kwani wafungwa hao wapo gerezani na...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Nirz2PNSGPY/VV9FSVal7bI/AAAAAAAHZPE/vl81qOuEs30/s72-c/Chama_Cha_Mapinduzi_Logo.png)
TAARIFA RASMI YA CCM KUHUSU KIKAO CHA KAMATI KUU LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nirz2PNSGPY/VV9FSVal7bI/AAAAAAAHZPE/vl81qOuEs30/s640/Chama_Cha_Mapinduzi_Logo.png)
Wanachama hao sita ni;-i. January Makambaii. Willium Ngelejaiii. Steven Wasiraiv. Bernard Membev. Edward Lowassavi. Fredrick Sumaye
Kamati Kuu imepokea na kukubali pendekezo la Kamati ya Usalama na Maadili ya kumalizaka kwa kipindi cha adhabu kwa wanachama hawa. Kwahiyo...
10 years ago
VijimamboUONGOZI JUMUIYA DMV YAFANYA KIKAO NA KAMATI ZAKE KUJADILI MASWALA MBALIMBALI YANAYOIKABILI JUMUIYA
9 years ago
StarTV10 Nov
Msajili wa Vyama asema bado wanasubiri taarifa rasmi kutoka NEC
Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amesema Ofisi yake bado inasuburi Ripoti ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi-NEC juu ya vyama vya Siasa vilivyopata Wabunge ili ianze kuvipatia ruzuku.
Amesema hadi sasa Ofisi yake haijapokea Taaarifa yoyote ya kimaandishi ya NEC inayoanisha Vyama vilivyopata Wabunge na kwamba mara vyama hivyo vitakavyoainishwa wataanza kufanyia Tathmini ili vipewe Ruzuku zao.
Mutungi amebainisha hayo Jijini Dar Es Salaam wakati akitoa usajili wa Muda kwa chama...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-nwH0_KIo0as/Viz-Lzh90qI/AAAAAAAAW-U/3Ftj2poomWc/s72-c/1.jpg)
Taarifa Rasmi Kutoka UKAWA Kuhusu Uchaguzi Mkuu Unaoendelea Leo- 25/10/2015
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hBmt2I0IwwM/VcWf1c2IDvI/AAAAAAABTRg/f8ibKkz59OM/s72-c/CL3WowIUcAEVYWv.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s72-c/images.jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA HOUSTON: MH. BALOZI LIBERATA MULAMULA KUWA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE YA KUSIMIKA VIONGOZI WAPYA WA JUMUIYA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s1600/images.jpg)
Mheshimiwa Balozi wa Tanzania hapa US na Mexico, Mh.Liberata Mulamula ndiye atakaekuwa mgeni rasmi wa tukio hili la kihistoria katika jumuiya yetu ya Houston. Wote mnakaribishwa ili tusherekee na tuweke...