JUMUIYA YA WATANZANIA HOUSTON: MH. BALOZI LIBERATA MULAMULA KUWA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE YA KUSIMIKA VIONGOZI WAPYA WA JUMUIYA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s72-c/images.jpg)
Tunapenda kuwatangazia kwamba siku ya Jumamosi tarehe 29 machi 2014, jumuiya yetu ya Watanzania Houston itafanya sherehe ya kusimika viongozi wapya wa jumuiya. Muda ni kuanzia saa mbili kamili jioni(8pm) katika anuani ifuatayo:
Turquoise Center, 9301 West Bellfort Ave. Houston TX 77031.
Mheshimiwa Balozi wa Tanzania hapa US na Mexico, Mh.Liberata Mulamula ndiye atakaekuwa mgeni rasmi wa tukio hili la kihistoria katika jumuiya yetu ya Houston. Wote mnakaribishwa ili tusherekee na tuweke...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziVIONGOZI WA JUMUIYA COLUMBUS, OHIO WAMFANYIA DINNER BALOZI LIBERATA MULAMULA NA MUMEWE
11 years ago
GPLVIONGOZI WA JUMUIYA COLUMBUS, OHIO WAMFANYIA DINNER BALOZI LIBERATA MULAMULA NA MUMEWE
10 years ago
VijimamboBALOZI LIBERATA MULAMULA AWAAGA TAMCO RASMI, ASEMA UMOJA NA MSHIKAMANO WAO NI MFANO WA KUIGWA NA JUMUIYA ZINGINE
Katika hotuba yake. Mhe. Liberata Mulamula aliwakuwakumbusha alipokuja kwa mara ya kwanza kulitumikia Taifa kama Balozi wa Tanzania nchini...
11 years ago
MichuziMAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM DMV, BALOZI LIBERATA MULAMULA MGENI RASMI
Meza kuu kutoka kushoto ni Ismail (katibu wa Vijina CCM DMV) George Sebo (mwanyekiti CCM DMV) Mhe. Liberata Mulamula (Balozi wa Tanzania nchini Marekani), Mama Kimolo (kitengo cha UWT) na Phanuel Ligate (CCM tawi la California)
10 years ago
VijimamboMKUTANO MKUBWA WA KIROHO KUENDELEA LEO JUMAMOSI DMV, BALOZI LIBERATA MULAMULA MGENI RASMI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-jnQLU3Nn_DI/VEqdFre7N1I/AAAAAAABKcE/GjBfWn5BltE/s72-c/unnamed.jpg)
MHE.BALOZI MULAMULA MGENI RASMI SHEREHE ZA UHURU WASHINGTON DC DEC 6, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-jnQLU3Nn_DI/VEqdFre7N1I/AAAAAAABKcE/GjBfWn5BltE/s1600/unnamed.jpg)
TEGA SIKIO TAARIFA ZAIDI HIVI PUNDE
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SNES_kOOpkA/Vg0GANaIzCI/AAAAAAAH8FE/D8x_tgDx90M/s72-c/meck-sadick-jan10-2014.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MERCK SADICK ANATARAJIWA KUWA MGENI RASMI KATIKA MKUTANO MKUU WA JUMUIYA YA WAISLAMU WA AHMADIYYA KUANZA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNES_kOOpkA/Vg0GANaIzCI/AAAAAAAH8FE/D8x_tgDx90M/s320/meck-sadick-jan10-2014.jpg)
Hayo yamesemwa na Amir Mbashiri Mkuu Sheikh Tahir Mahmood Chaudhry alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Sheikh Tahir amesema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kukumbushana misingi sahihi ya...
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
Balozi Mulamula awaaga TAMCO rasmi, asema umoja na mshikamano wao ni mfano wa kuigwa na jumuiya zingine
Na Mwandishi wetu, Washington, DC
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na aliyekua Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula siku ya Jumapili July 12, 2014 alijumuika na wanajumuiya ya Kiislam ya DMV (TAMCO) katika futari ya pamoja iliyoandaliwa na jumuiya hiyo na kutumia fulsa hiyo kuwaaga rasmi.
Katika hotuba yake. Mhe. Liberata Mulamula aliwakuwakumbusha alipokuja kwa mara ya kwanza kulitumikia Taifa kama Balozi wa Tanzania nchini Marekani ,...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-1G6mlcdYdlE/VUJyKT9aAUI/AAAAAAAAAN4/VSotzUXuBvk/s72-c/20150427_191018.jpg)
MHESHIMIWA BALOZI LIBERATA MULAMULA ASHIRIKI HARAMBEE HOUSTON
![](http://1.bp.blogspot.com/-1G6mlcdYdlE/VUJyKT9aAUI/AAAAAAAAAN4/VSotzUXuBvk/s1600/20150427_191018.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KFJoCJYBwY0/VUJyQH1L5qI/AAAAAAAAAOI/YgBR6GQ1N0w/s1600/20150427_192916.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-GiQx5t_epSk/VUJyLehC9-I/AAAAAAAAAOA/CQQFeI46Fow/s1600/20150427_184735.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10