MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MERCK SADICK ANATARAJIWA KUWA MGENI RASMI KATIKA MKUTANO MKUU WA JUMUIYA YA WAISLAMU WA AHMADIYYA KUANZA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNES_kOOpkA/Vg0GANaIzCI/AAAAAAAH8FE/D8x_tgDx90M/s72-c/meck-sadick-jan10-2014.jpg)
MKUU wa mkoa wa Dar es salaam Merck Sadick anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano mkuu wa mwaka wa 46 wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya Tanzania utakaofanyika kuanzia tarehe 2 hadi 4 octoba mwaka huu katika eneo la kitonga, Manispaa ya Ilala jijini Dar es salaaM.
Hayo yamesemwa na Amir Mbashiri Mkuu Sheikh Tahir Mahmood Chaudhry alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam.
Sheikh Tahir amesema kuwa lengo kuu la mkutano huo ni kukumbushana misingi sahihi ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SQG-HzBgaIo/VdywdZX6vuI/AAAAAAAHz-o/ex_-HWIFmh0/s72-c/bb%2B1.jpg)
MKUU WA MKOA WA ARUSHA FELIX NTIBENDA KUWA MGENI RASMI KATIKA TAMASHA LA 10 LA VYOMBO VYA HABARI
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda,anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha la 10 la vyombo vya habari vya mkoa wa Arusha. ambalo litafanyika Agosti 29 katika uwanja wa sheikh Amri Abeid.
Akizungumza na waandishi wa habari Palace hoteli jana mwenyekiti wa TASWA mkoa wa Arusha, Jamila Omar na Katibu wa TASWA Arusha, Mussa Juma walisema maandalizi yote muhimu yamekamilika ikiwepo ujio wa timu ya TASWA kutoka jijini Dar es Salaam.
Omar alisema Kauli mbiu ya Mwaka...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nkLEPVQ6s9dmK35JT9Op0jsaCrmTPlN8NRTjrxbcnfZI9hFjXvaV7TE76l0KpWzGJ6rI0ziUeRd21t0gzwXBT0d1jrN7HtPY/PICHAYAMKUTANOWATAKWIMU.jpg?width=650)
KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE KUWA MGENI RASMI KATIKA MKUTANO WA WADAU WA TAKWIMU
10 years ago
GPL08 May
10 years ago
GPLMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM, SAID MECKY SADICK AIPONGEZA BOHARI YA DAWA (MSD) KWA KUTOA HUDUMA BORA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t8qHi__IUTc/VZf7YYzZmnI/AAAAAAAHm34/wwc2YfvC6CQ/s72-c/4.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MH. SAID MECK SADICK ASHIRIKI KAMPENI YA MEDIA CAR WASH FOR CANCER LEADERS CLUB LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-t8qHi__IUTc/VZf7YYzZmnI/AAAAAAAHm34/wwc2YfvC6CQ/s640/4.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh. Said Meck Sadick akizindua kampeni ya kuosha Magari katika viwanja vya Leaders Club kwa ajili ya kuchangia Fedha kwa waandishi wa Habari ambao wanamatatizo ya Kiafya ikiwemo Saratani ( MEDIA CAR WASH FOR CANCER).
![](http://1.bp.blogspot.com/-Na2aQTai9J8/VZfsA9XpRbI/AAAAAAAC8QU/_oOa9fahogQ/s640/1.jpg)
10 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MH. MECK SADICK AONGOZA ZOEZI LA KUOSHA MAGARI LA MEDIA CAR WASH FOR CANCER LEADERS CLUB LEO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s72-c/images.jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA HOUSTON: MH. BALOZI LIBERATA MULAMULA KUWA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE YA KUSIMIKA VIONGOZI WAPYA WA JUMUIYA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s1600/images.jpg)
Mheshimiwa Balozi wa Tanzania hapa US na Mexico, Mh.Liberata Mulamula ndiye atakaekuwa mgeni rasmi wa tukio hili la kihistoria katika jumuiya yetu ya Houston. Wote mnakaribishwa ili tusherekee na tuweke...
10 years ago
Michuzi13 Aug
Rais Kikwete, Mgeni Rasmi katika Mkutano wa Diaspora jijini Dar es salaam
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/9.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MH. MECK SADICK AONGOZA ZOEZI LA KUOSHA MAGARI LA MEDIA CAR WASH FOR CANCER, LEADERS CLUB LEO