UONGOZI JUMUIYA DMV YAFANYA KIKAO NA KAMATI ZAKE KUJADILI MASWALA MBALIMBALI YANAYOIKABILI JUMUIYA
Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV ukifanya kikao na kamati zake mbalimbali ndani ya uongozi wa jumuiya hiyo kujadili maswala ya wanajumuiya wake yakiwemo maswala ya afya, ukusanyaji wa ada za uwanachama ikiwemo kutengeneza vitambulisho maalum vya mwanachama na njia mbadala za kuongeza kipato kwenye Jumuiya ya DMV. Swala lingine lililojadiliwa ni kuangalia na kuwatambua Watanzania wenye nafasi kwenye jamii kama vile Madaktari, Manesi, wanasheria na wengineo ambao wapo tayari kushirikiana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziPROF KABUDI AONGEA NA VIONGOZI WA JUMUIYA NA TAASISI ZISIZOKUA ZA KISERIKALI, KUJUMUIKA KATIKA MIAKA 30 YA JUMUIYA DMV
10 years ago
VijimamboKAMATI YA MAANDALIZI NA MAPAMBO YA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV
Kamati ya maandalizi na mapambo ikipata picha ya pamoja baada ya kupamba ukumbi wa Oxford uliopo Lanham, Maryland katika kujiandaa kusherehekea kuuaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2015
11 years ago
MichuziUONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA WALIOSOMA KOREA (KAAT) YAFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR
11 years ago
Michuzi.jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE MAALUM YAFANYA KIKAO CHAKE CHA KWANZA LEO MJINI DODOMA
.jpg)
.jpg)
10 years ago
Michuzi16 Mar
10 years ago
Vijimambo
JUMUIYA YA WATANZANIA DMV KUUNGURUMISHA SHEREHE ZA MUUNGANO DMV- SATURDAY APRIL 25, 2015


Jiandaeni kwa Hafla na Vivutio mbali mbali. Michezo, Utamaduni, Nyama Choma nk. DMV Patakuwa Hapatoshi.

President: Iddi Sandaly 301-613-5165
Vice President: Harriett Shangarai 240-672-1788
Secretary: Saidi Mwamende 301-996-4029Assistant Secretary: Bernadetta Kaiza...
10 years ago
Vijimambo16 Apr
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIAFA AFUNGUA KIKAO MASWALA YA UONGOZI, ZANZIBAR
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Jumuiya ya Qamer ya Canada pamoja na Jumuiya ya Taqwa Tanzania yatoa misaada Pemba
Vitanda mbali mbali vya Hospitali vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, kwa ajili ya Hospitali Kisiwani Pemba kabla ya kukabidhiwa kwa uongozi wa Wizara ya Afya Pemba.(Picha zote na Hanifa Salum, PEMBA.)
Maboksi mbali mbali yenye madawa kwa ajili ya Hospitali pamoja na mikoba ya Watoto mayatima, vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, mikoba kwa aajili ya...
10 years ago
MichuziNHIF YAWAFUNDA WAANDISHI HABARI PAMOJA NA JUMUIYA YA MASHEIKH WA JUMUIYA YA ZAWIYATUL QADIRIA