NHIF YAWAFUNDA WAANDISHI HABARI PAMOJA NA JUMUIYA YA MASHEIKH WA JUMUIYA YA ZAWIYATUL QADIRIA
Mkurungenzi wa Masoko na Utafiti wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Athumani Rehani (katikati) akizungumza na waanshi wa habari (hawapo pichani) juu ya kujiuga na mfuko huo leo jijini Dar es Salaam. kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Media Car Wash for Cancer,Benjamin Thomson na kulia ni Afisa Matekelezo Mkuu wa NHIF,Hance Mwankenja.
Mwenyekiti wa Kamati ya Media Car Wash for Cancer,Benjamin Thomson akizungumza na waanshi wa habari juu ya kujiuga na mfuko wa Taifa wa Bima ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo02 Aug
NHIF Yatoa Semina kwa Viongozi wa Jumuiya ya Zawiyatul Qadriya
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0268.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F08%2FIMG_0267.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Dewji Blog18 Aug
Jumuiya ya Qamer ya Canada pamoja na Jumuiya ya Taqwa Tanzania yatoa misaada Pemba
Vitanda mbali mbali vya Hospitali vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, kwa ajili ya Hospitali Kisiwani Pemba kabla ya kukabidhiwa kwa uongozi wa Wizara ya Afya Pemba.(Picha zote na Hanifa Salum, PEMBA.)
Maboksi mbali mbali yenye madawa kwa ajili ya Hospitali pamoja na mikoba ya Watoto mayatima, vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, mikoba kwa aajili ya...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7jMj1236NlI/VdIp7rdJLSI/AAAAAAAB5Fw/zRjpeQGz0Kg/s72-c/IMG_20150815_093325.jpg)
JUMUIYA YA QAMER YA CANADA PAMOJA NA JUMUIYA YA TAQWA TANZANIA YATOA MISAADA PEMBE
![](http://1.bp.blogspot.com/-7jMj1236NlI/VdIp7rdJLSI/AAAAAAAB5Fw/zRjpeQGz0Kg/s640/IMG_20150815_093325.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q23o8mq1FiQ/VdIp6gE7g6I/AAAAAAAB5Fo/JnHwvMrAdI0/s640/IMG_20150815_094006.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-FcbuOjWm6yo/VdIp76DBd0I/AAAAAAAB5F0/U2x83IGvQTk/s640/IMG_20150815_095637.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--Bgt_ByhlJs/VcjK_D_nf2I/AAAAAAAHvv8/2f9Cz2Vi_Gs/s72-c/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
Jumuiya ya Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) yapata viongozi wapya
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xq8VwENi8DA/VRMBILWwSHI/AAAAAAAHNPQ/xVAzGYL-tDI/s72-c/New%2BPicture.png)
TASAF YAWAFUNDA WAANDISHI WA HABARI WA MIKOA YA LINDI NA MTWARA
Akifungua mafunzo hayo yanayoendeshwa kwa utaratibu wa Kikao Kazi Mkurugenzi Mtendajiwa TASAF Bwana Ladislaus Mwamanga amesema kazi ya kutokomeza umaskini nchini inahitaji ushiriki wa wadau mbalimbali vikiwemo vyombo vya habari.
Bwana Mwamanga amesema tangu TASAF...
10 years ago
VijimamboUONGOZI JUMUIYA DMV YAFANYA KIKAO NA KAMATI ZAKE KUJADILI MASWALA MBALIMBALI YANAYOIKABILI JUMUIYA
5 years ago
MichuziPROF KABUDI AONGEA NA VIONGOZI WA JUMUIYA NA TAASISI ZISIZOKUA ZA KISERIKALI, KUJUMUIKA KATIKA MIAKA 30 YA JUMUIYA DMV
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s72-c/images.jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA HOUSTON: MH. BALOZI LIBERATA MULAMULA KUWA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE YA KUSIMIKA VIONGOZI WAPYA WA JUMUIYA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s1600/images.jpg)
Mheshimiwa Balozi wa Tanzania hapa US na Mexico, Mh.Liberata Mulamula ndiye atakaekuwa mgeni rasmi wa tukio hili la kihistoria katika jumuiya yetu ya Houston. Wote mnakaribishwa ili tusherekee na tuweke...
10 years ago
MichuziWARSHA YA UTAARISHAJI MKAKATI ITIFAKI YA SOKO LA PAMOJA LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI YAFANYIKA ZANZIBAR