Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NHIF Yatoa Semina kwa Viongozi wa Jumuiya ya Zawiyatul Qadriya

Mmoja wa viongozi wa Jumuiya ya Zawiyatul Qadiria (kushoto) akipongezwa na Kaimu Mkurugenzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya nchini (NHIF), Eugine Ngoti (wa kwanza kulia) kabla ya kukabidhiwa kadi ya matibabu ya NHIF mara baada ya kumaliza taratibu husika, kiongozi huyo alionesha mfano kwa viongozi wenzake. Mmoja wa viongozi wa Jumuiya ya Zawiyatul Qadiria (kushoto) akikabidhiwa kadi ya matibabu ya NHIF mara baada ya kumaliza taratibu husika, kiongozi huyo alionesha mfano kwa viongozi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

NHIF YAWAFUNDA WAANDISHI HABARI PAMOJA NA JUMUIYA YA MASHEIKH WA JUMUIYA YA ZAWIYATUL QADIRIA

Mkurungenzi wa Masoko na Utafiti wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Athumani Rehani (katikati) akizungumza na waanshi wa habari (hawapo pichani) juu ya kujiuga na mfuko huo leo jijini Dar es Salaam. kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Media Car Wash for Cancer,Benjamin Thomson na kulia ni Afisa Matekelezo Mkuu wa NHIF,Hance Mwankenja. Mwenyekiti wa Kamati ya Media Car Wash for Cancer,Benjamin Thomson akizungumza na waanshi wa habari juu ya kujiuga na mfuko wa Taifa wa Bima ya...

 

9 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA QAMER YA CANADA PAMOJA NA JUMUIYA YA TAQWA TANZANIA YATOA MISAADA PEMBE

VITANDA mbali mbali vya Hospitali vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, kwa ajili ya Hospitali Kisiwani Pemba kabla ya kukabidhiwa kwa uongozi wa Wizara ya Afya Pemba.MABOKSI mbali mbali yenye madawa kwa ajili ya Hospitali pamoja na mikoba ya Watoto mayatima, vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, mikoba kwa aajili ya wanafunzi wa skuli.WANANCHI mbali mbali...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jumuiya ya Qamer ya Canada pamoja na Jumuiya ya Taqwa Tanzania yatoa misaada Pemba

pembaVitanda mbali mbali vya Hospitali vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, kwa ajili ya Hospitali Kisiwani Pemba kabla ya kukabidhiwa kwa uongozi wa Wizara ya Afya Pemba.(Picha zote na Hanifa Salum, PEMBA.)

pembawMaboksi mbali mbali yenye madawa kwa ajili ya Hospitali pamoja na mikoba ya Watoto mayatima, vilivyotolewa na Jumuiya ya Qamer Foundation ya nchini Canada, ikishirikiana na Jumuiya ya TAQWA Tanzania, mikoba kwa aajili ya...

 

10 years ago

GPL

CNN YATOA SEMINA KWA WANAHABARI

 Richard Mwigamba ambaye ni Mhariri wa Gazeti la The Citzen akifungua semina hiyo.…

 

10 years ago

GPL

WIZARA YA AFYA YATOA SEMINA KWA WANAHABARI DAR

Mtaalamu wa ufuatiliaji na udhibiti wa magonjwa ,Dk. Vida Makundi Mmbaga, akijibu maswali ya wanahabari.
Waandishi wakifuatilia kwa umakini.…

 

11 years ago

GPL

GEPF YATOA SEMINA KWA WANAHABARI JIJINI DAR

Meneja Masoko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina akita mada katika semina ya wanahabari. Sehemu ya wanahabari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Dar wakimsikiliza Aloyce.…

 

5 years ago

Michuzi

PROF KABUDI AONGEA NA VIONGOZI WA JUMUIYA NA TAASISI ZISIZOKUA ZA KISERIKALI, KUJUMUIKA KATIKA MIAKA 30 YA JUMUIYA DMV

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. Wilson Masilingi akiwambulisha vingozi wa Jumuiya ya waTanzania DMV, viongozi wa Jumuiya za dini na taasisi zisizokua za kiserikali zinazomilikiwa na waTanzania DMV kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba Kabudi na baadae kumkaribisha  kuongea nao. Picha na Vijimambo BlogWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof Palamagamba Kabudi akiongea na vingozi...

 

11 years ago

Michuzi

RWANDA AIR YATOA SEMINA KWA MAWAKALA WA MASHIRIKA NDEGE

Meneja wa Rwanda Air, Kanda ya Kusini, Hafeez Balogun akitoa mada wakati wa semina kwa ajili ya mawakala wa mashirika ya ndege iliyofanyika jijini Dar es Salaam.DSC_0143Meneja Mauzo wa Rwanda Air, Dhruv Parmar akitoa mada wakati wa semina kwa ajili ya mawakala wa mashirika ya ndege iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Washiriki wa semina hiyo. Maofisa wa Air Rwanda wakiwa wamepozi kwa picha. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Five Star Tours, Harry Pietersen (kulia), akimkabidhi cheti, mshauri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani