NHIF YATOA “DARASA” KWA BLOGGERS WA TANZANIA KUHUSU UCHAGIAJI WA BIMA YA...
![](http://img.youtube.com/vi/MM8gWtOJpL8/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/MM8gWtOJpL8/default.jpg)
NHIF YATOA “DARASA” KWA BLOGGERS WA TANZANIA KUHUSU UCHAGIAJI WA BIMA YA AFYA CHINI YA MPANGO WA “KIKOA”
MKURUGENZI wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii Tanzania, NHIF, Eugine Mikongoti
MKURUGENZI wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii Tanzania, NHIF, Eugine Mikongoti, akifafanua jambo wakati alipokuwa akiwasilisha mada juu ya mpango wa uchangiaji binafsi, KIKOA, wakati wa warsha ya siku moja iliyoandaliwa kwa pamoja kati ya NHIF, na Mtandao wa Bloggers Tanzania (TBN).Warsha hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu...
![](http://2.bp.blogspot.com/-ltjw1_LZNVo/VcxuWmTECdI/AAAAAAAC9mc/Hevh1o3qjv8/s640/DSCF8345.jpg)
9 years ago
VijimamboNHIF YATOA MAFUNZO KWA BLOGGERS WA TANZANIA KUHUSU UCHAGIAJI WA BIMA YA AFYA CHINI YA MPANGO WA KIKOA
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/MM8gWtOJpL8/default.jpg)
NHIF YATOA “DARASA” KWA BLOGGERS WA TANZANIA KUHUSU UCHANGIAJI WA BIMA YA AFYA CHINI YA MPANGO WA “KIKOA”
MKURUGENZI wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii Tanzania, NHIF, Eugine Mikongoti
MKURUGENZI wa Huduma na Uendeshaji wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ya Jamii Tanzania, NHIF, Eugine Mikongoti, akifafanua jambo wakati alipokuwa akiwasilisha mada juu ya mpango wa uchangiaji binafsi, KIKOA, wakati wa warsha ya siku moja iliyoandaliwa kwa pamoja kati ya NHIF, na Mtandao wa Bloggers Tanzania (TBN).Warsha hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu...
![](http://2.bp.blogspot.com/-ltjw1_LZNVo/VcxuWmTECdI/AAAAAAAC9mc/Hevh1o3qjv8/s640/DSCF8345.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PHlTBLRI_Sc/VTif7Czm57I/AAAAAAABMUc/sRMpiL3FTwk/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
TAARIFA KWA BLOGGERS KUHUSU UANDIKISHAJI WANACHAMA 'TANZANIA BLOGGERS NETWORK' (TBN)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PHlTBLRI_Sc/VTif7Czm57I/AAAAAAABMUc/sRMpiL3FTwk/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
ni wamiliki na waendeshaji wote wa mitandao ya kijamii (blogs na forums) Tanzania na Watanzania wanaofanya kazi kama hiyo nje ya nchi.
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo. Kwa wa kazi wa Dar es Salaam wenye sifa ambao wanataka...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVJItBi93k*KuI-sYBeHz0ux4-IFR8tAZ1vq6Vz7FU3pu1VR2ON0Lp8*7ftBKaC2LsQx225wNHLqdrEsR*5SJwyO/unnamed54.jpg?width=650)
TANZANIA BLOGGERS NETWORK (TBN) YATOA RAMBIRAMBI KWA MWANAHABARI WA FAMILIA YA WATU SITA WALIOFARIKI KWA AJALI YA MOTO
Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (Tanzania Bloggers Network - TBN ), Joachim Mushi (kulia) akitoa pole na kisha kukabidhi ubani wa fedha shilingi laki tano (500,000/-) jana zilizotolewa kwa mwanahabari wa Kitulo FM ya Njombe Bw. Conrad Mpila kama pole toka TBN baada ya kupoteza ndugu watano wa familia moja katika ajali ya moto iliyotokea hivi karibuni na kuua watu sita eneo la Kipunguni jijini Dar es Salaam....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oXwaCHOQje0/VNryTtNk56I/AAAAAAAHC_I/bQkZXz-nkT4/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Tanzania bloggers network (TBN) yatoa rambirambi kwa mwanahabari wa familia ya watu sita waliofariki kwa ajali ya moto
![](http://1.bp.blogspot.com/-oXwaCHOQje0/VNryTtNk56I/AAAAAAAHC_I/bQkZXz-nkT4/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PjQLxVLqY6M/VevqNiCYdYI/AAAAAAAAY6I/LZPBQC50KYY/s72-c/009..jpg)
KAMPUNI YA UREMBO YA MARY KAY, YATOA DARASA KWA WAFANYAKAZI WA KIKE WA VODACOM KUHUSU MATUMIZI YA VIPODOZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-PjQLxVLqY6M/VevqNiCYdYI/AAAAAAAAY6I/LZPBQC50KYY/s640/009..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-N6MUqv4Fe2I/VevrD6CU7sI/AAAAAAAAY6Y/sn1cWgJtKyU/s640/001..jpg)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/1.Mwandishi-wa-Habari-kutoka-Kampuni-ya-Global-PublishersDenis-Mtimakulia-akionesha-kitambulisho-chake-cha-Bima-ya-Afya-kwa-wanahabari-pichani-hawapo..jpg)
NHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WANAHABARI
Mwandishi wa Habari kutoka Kampuni ya Global Publishers, Denis Mtima (kulia) akionesha kadi yake ya Bima ya Afya kwa wanahabari (pichani hawapo). Mwandishi wa Habari kutoka The Guardian, Ndeninsia Lisley (kushoto) akionesha kadi yake ya matibabu kwa wanahabari. Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa NHIF, Athuman Rehan (kulia) akimkabidhi kadi ya matibabu, Ndeninsia anayeshudia katikati ni mwenyekiti wa kampeni ya Media Car Wash,...
9 years ago
MichuziNHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WAVUVI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania