Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WAVUVI LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF) Bwana Michael Mhando akizungumza na wafanyabiashara   wa wasamaki katika Soko la  feri  hawapo pichani juu ya vikundi  vya    wajasiliamali wadogo na wakubwa  kujiunga na  Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF) Bwana Michael Mhando  akimkabidhi kadi ya uanachama ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF)  Mvuvi wa Samaki wa Soko Kuu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WANAHABARI

Mwandishi wa Habari kutoka Kampuni ya Global Publishers, Denis Mtima (kulia) akionesha kadi yake ya Bima ya Afya kwa wanahabari (pichani hawapo). Mwandishi wa Habari kutoka The Guardian, Ndeninsia Lisley (kushoto) akionesha kadi yake ya matibabu kwa wanahabari. Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa NHIF, Athuman Rehan (kulia) akimkabidhi kadi ya matibabu, Ndeninsia anayeshudia katikati ni mwenyekiti wa kampeni ya Media Car Wash,...

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF) WASANI MKATABA NA TFF LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya leo umesaini mkataba na Shirikisho la Vyama vya Mpira wa Miguu nchini (TFF) wa kuwa mdhamini rasmi wa bima za afya kwa vilabu vya ligi kuu ya Vodacom nchini.  Akizungumza wakati wa kutia saini mkataba huo Mwakilishi wa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bwana Rehani Athumani, amesema katika udhamini huo utakaodumu kwa mwaka mmoja NHIF itakuwa inatoa huduma za matibabu kwa wachezaji na benchi la ufundi kwa klabu zote 16 za ligi kuu, huduma...

 

10 years ago

Vijimambo

MAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR ES SALAAM

Ofisa Uratibu na Matekelezo wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Genoveva Vicent (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF katika maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea viwanja vya Manazi Mmoja Dar es Salaam jana. Wengine wa pili kushoto ni Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda na Ofisa Mawasiliano wa NHIF, Luhende Singu.Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF.
Mtaalamu wa Maabara wa Hospitali ya...

 

9 years ago

Michuzi

MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA WAMESAINI MKATABA NA PSPF LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 .Kaimu Mkurugenzi  Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF),  Michael Mhondo  akuzungumza na wadau mbalimbali (hawapo pichani)  juu ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), wamesaini mkataba wa kutoa huduma za afya  kwa wanachama wa mpango wa uchangiaji wa hiari leo jijini Dar es Salaam Kaimu Mkurugenzi  Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF),  Michael Mhondo wakushoto na kulia ni Mkurugenzi wa PSPF Adam Maingu, wakisaini mkataba wa kutoa huduma za afya  kwa wanachama wa mpango...

 

10 years ago

Michuzi

MAMIA WAFURIKA BANDA LA MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF), KUPIMA AFYA ZAO KATIKA MAONYESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA JIJINI DAR

Ofisa Uratibu na Matekelezo wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Genoveva Vicent (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF katika maonyesho ya wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea viwanja vya Manazi Mmoja Dar es Salaam jana. Wengine wa pili kushoto ni Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda na Ofisa Mawasiliano wa NHIF, Luhende Singu.Ofisa wa NHIF, Ambrose Manyanda (kulia), akimuelekeza jambo mwananchi aliyetembelea banda la NHIF.Mtaalamu wa Maabara wa Hospitali ya...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF YAKAMATA WATU WANAOTUMIA KADI ZA BIMA YA AFYA KINYUME NA UTARATIBU KATIKA HOSPITALI YA REGENCY

1 Bw. Julius Mziray mkaguzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) akizungumza na waandishi wa habari katika hospitali ya Regency ya jijini Dar es salaam. Baada ya kumkamata mtu mmoja anayetuhumiwa kutumia kadi ya bima ya afya yenye namba 02-HCTP1801 ambayo inamilikiwa na Bw. Terry J. Maona kinyume na utaratibu.
Mtu huyo alikamatwa jana katika hospitali hiyo wakati akitaka kufanya vipimo vya (CityScan), ndipo mmoja wa wafanyakazi wa hospitali hiyo alipogundua na kupiga simu makao...

 

10 years ago

GPL

NHIF YAKAMATA WATU WANAOTUMIA KADI ZA BIMA YA AFYA KINYUME NA UTARATIBU KATIKA HOSPITALI YA REGENCY‏

Bw. Julius Mziray mkaguzi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) akizungumza na waandishi wa habari katika hospitali ya Regency ya jijini Dar es salaam. Baada ya kumkamata mtu mmoja anayetuhumiwa kutumia kadi ya bima ya afya yenye namba 02-HCTP1801 ambayo inamilikiwa na Bw. Terry J. Maona kinyume na utaratibu , Mtu huyo alikamatwa jana katika hospitali hiyo wakati akitaka kufanya vipimo vya (CityScan), ndipo mmoja wa...

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YAWAPIGA MSASA WAKOREA LEO JIJINI DAR ES SALAAM

 Mkurugenzi wa Mfuko wa bima ya Afya ya Jamii (CHF) Eugen Mikongoti, akizungumza na Wadau wa Maendeleo ya Mfuko wa  Kimataifa wa Afya wa Korea kuhusiana na utekelezaji wa  mifumo ya habari na mawasiliano ya uzalishaji na ufuatiliaji wa madai ya watoa huduma za afya kwa wanachama katika mkutano  uliofanyika leo ndani ya Hoteli ya Blue Pearl  Jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Mifumo ya Habari wa (NHIF)   Ali Othman akitoa mada katika Mfuko wa  Kimataifa wa Afya wa Korea kuhusu utekelezaji wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani