NHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WANAHABARI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/1.Mwandishi-wa-Habari-kutoka-Kampuni-ya-Global-PublishersDenis-Mtimakulia-akionesha-kitambulisho-chake-cha-Bima-ya-Afya-kwa-wanahabari-pichani-hawapo..jpg)
Mwandishi wa Habari kutoka Kampuni ya Global Publishers, Denis Mtima (kulia) akionesha kadi yake ya Bima ya Afya kwa wanahabari (pichani hawapo). Mwandishi wa Habari kutoka The Guardian, Ndeninsia Lisley (kushoto) akionesha kadi yake ya matibabu kwa wanahabari. Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa NHIF, Athuman Rehan (kulia) akimkabidhi kadi ya matibabu, Ndeninsia anayeshudia katikati ni mwenyekiti wa kampeni ya Media Car Wash,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNHIF YAKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA KWA WAVUVI LEO JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi10 Sep
NHIF YAKAMATA WATU WANAOTUMIA KADI ZA BIMA YA AFYA KINYUME NA UTARATIBU KATIKA HOSPITALI YA REGENCY
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/124.jpg)
Mtu huyo alikamatwa jana katika hospitali hiyo wakati akitaka kufanya vipimo vya (CityScan), ndipo mmoja wa wafanyakazi wa hospitali hiyo alipogundua na kupiga simu makao...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/124.jpg?width=650)
NHIF YAKAMATA WATU WANAOTUMIA KADI ZA BIMA YA AFYA KINYUME NA UTARATIBU KATIKA HOSPITALI YA REGENCY
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/MM8gWtOJpL8/default.jpg)
NHIF YATOA “DARASA” KWA BLOGGERS WA TANZANIA KUHUSU UCHAGIAJI WA BIMA YA AFYA CHINI YA MPANGO WA “KIKOA”
![](http://2.bp.blogspot.com/-ltjw1_LZNVo/VcxuWmTECdI/AAAAAAAC9mc/Hevh1o3qjv8/s640/DSCF8345.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/MM8gWtOJpL8/default.jpg)
NHIF YATOA “DARASA” KWA BLOGGERS WA TANZANIA KUHUSU UCHANGIAJI WA BIMA YA AFYA CHINI YA MPANGO WA “KIKOA”
![](http://2.bp.blogspot.com/-ltjw1_LZNVo/VcxuWmTECdI/AAAAAAAC9mc/Hevh1o3qjv8/s640/DSCF8345.jpg)
9 years ago
VijimamboNHIF YATOA MAFUNZO KWA BLOGGERS WA TANZANIA KUHUSU UCHAGIAJI WA BIMA YA AFYA CHINI YA MPANGO WA KIKOA
10 years ago
Dewji Blog17 Feb
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya NHIF yaendelea kutoa mafunzo kwa wajasiriamali wasio katika sekta rasmi
Meneja wa Bima ya Afya NHIF Wilaya ya Temeke, Bi Ellentruder Mbogoro (kushoto), akifafanua machache kabla ya kumkaribisha mgeni rasimi Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), Bw. Rehani Athumani kufungua mafunzo ya siku moja ya viongozi wa SACCOS Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam Februari 17,2015 lengo la mafunzo hayo ni kuwapa elimu kuhusiana na mpango wa NHIF wa KIKOA unaotolewa Bima ya Afya waweze kujiunga na Mfuko huo ili wapate uhakika wa matibabu kupitia mfuko wa bima ya afya...
10 years ago
Dewji Blog16 Dec
NHIF yazungumzia tuzo tatu za ubunifu barani Afrika zilizotolewa na ISSA kwa mfuko wa taifa wa bima ya afya
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Bw. Khamis Mdee (wa pili kutoka kulia) akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya mfuko huo wakati walipoonyesha tuzo ambazo mfuko huo ulitunukiwa nchini Morocco na Shirikisho la kimataifa la Taasisi za Hifadhi ya Jamii (ISSA) nchini Morocco hivi karibuni. kulia ni Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF),Eugen Mikongoti, Kutoka kushoto Kaimu Mkurugenzi Tiba na Ushauri wa NHIF, Dk Mkwabi Fikirini na Mkurugenzi wa masoko na...