Tanzania bloggers network (TBN) yatoa rambirambi kwa mwanahabari wa familia ya watu sita waliofariki kwa ajali ya moto
![](http://1.bp.blogspot.com/-oXwaCHOQje0/VNryTtNk56I/AAAAAAAHC_I/bQkZXz-nkT4/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (Tanzania Bloggers Network - TBN ), Joachim Mushi (kulia) akitoa poe na kisha kukabidhi ubani wa fedha shilingi laki tano (500,000/-) jana zilizotolewa kwa mwanahabari wa Kitulo FM ya Njombe Bw. Conrad Mpila kama pole toka TBN baada ya kupoteza ndugu watano wa familia moja katika ajali ya moto iliyotokea hivi karibuni na kuua watu sita eneo la Kipunguni jijini Dar es Salaam. Katikati ni mmoja wa wajumbe wa TBN, Dotto Mwaibale. TBN ilishiriki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVJItBi93k*KuI-sYBeHz0ux4-IFR8tAZ1vq6Vz7FU3pu1VR2ON0Lp8*7ftBKaC2LsQx225wNHLqdrEsR*5SJwyO/unnamed54.jpg?width=650)
TANZANIA BLOGGERS NETWORK (TBN) YATOA RAMBIRAMBI KWA MWANAHABARI WA FAMILIA YA WATU SITA WALIOFARIKI KWA AJALI YA MOTO
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-oXwaCHOQje0/VNryTtNk56I/AAAAAAAHC_I/bQkZXz-nkT4/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
TBN WATOA UBANI KWA MWANAHABARI CONRAD MPILA ALIYEFIWA NA WATU SITA WA FAMILIA MOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-oXwaCHOQje0/VNryTtNk56I/AAAAAAAHC_I/bQkZXz-nkT4/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PHlTBLRI_Sc/VTif7Czm57I/AAAAAAABMUc/sRMpiL3FTwk/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
TAARIFA KWA BLOGGERS KUHUSU UANDIKISHAJI WANACHAMA 'TANZANIA BLOGGERS NETWORK' (TBN)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PHlTBLRI_Sc/VTif7Czm57I/AAAAAAABMUc/sRMpiL3FTwk/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
ni wamiliki na waendeshaji wote wa mitandao ya kijamii (blogs na forums) Tanzania na Watanzania wanaofanya kazi kama hiyo nje ya nchi.
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo. Kwa wa kazi wa Dar es Salaam wenye sifa ambao wanataka...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS AONGOZA MAELFU KATIKA MAZISHI YA WATU SITA WA FAMILIA MOJA WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA MOTO
Baba wa watoto wawili waliokufa katika ajali ya moto, Emmanuel Mpila akiweka shada la maua katika kaburi la mmoja wa watoto wake, Pauline.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-eI3x_SK7oUs/VVrniPzqDaI/AAAAAAABO3c/7r8UWp4RyAU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
UANDIKISHAJI WANACHAMA 'TANZANIA BLOGGERS NETWORK' (TBN)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eI3x_SK7oUs/VVrniPzqDaI/AAAAAAABO3c/7r8UWp4RyAU/s320/unnamed%2B(2).jpg)
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LNDUFtMlU5M/VeBjDGOfCUI/AAAAAAAH0pM/N2xZ7RBxhRY/s72-c/images.jpg)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA FAMILIA ZA WALIOPATWA NA AJALI YA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-LNDUFtMlU5M/VeBjDGOfCUI/AAAAAAAH0pM/N2xZ7RBxhRY/s200/images.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Said Meck Sadik kufuatia vifo vya watu tisa wa familia moja ya Bwana Masoud Matal vilivyotokea alfajiri ya tarehe 27 Agosti, 2015 kwa ajali ya moto.
Wanafamilia hao wakiwemo watoto watano walipoteza maisha baada ya nyumba yao iliyoko...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OZZD9IEsMfU/VVrrwrZDqOI/AAAAAAAHYLw/pE9-tXj3KHY/s72-c/unnamed%2B(1).png)
Uandikishaji Wanachama 'Tanzania Bloggers Network' (TBN) waendelea
![](http://2.bp.blogspot.com/-OZZD9IEsMfU/VVrrwrZDqOI/AAAAAAAHYLw/pE9-tXj3KHY/s640/unnamed%2B(1).png)
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze...
10 years ago
Dewji Blog24 Apr
Mchakato wa uandikishaji wa wanachama “Tanzania Bloggers Network” ( TBN ) waanza rasmi
Chama cha Wamiliki/Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii nchini ‘Tanzania Bloggers Network’ – TBN kinapenda kuwajulisha wanaotaka kujiunga na chama hicho kuwa fomu za kujiunga zinatolewa. Wahusika ni wamiliki na waendeshaji wote wa mitandao ya kijamii (blogs na forums) Tanzania na Watanzania wanaofanya kazi kama hiyo nje ya nchi.
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo. Kwa wa kazi wa Dar es Salaam wenye sifa ambao wanataka kujiunga...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IdgqDH3rM-0/VPI9ZpZE1jI/AAAAAAAHGkM/H1JOlrXUjuQ/s72-c/IMG_0049.jpg)
Mnuso wa Tanzania Bloggers Network (TBN) funika bovu dar es salaam serena hotel usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-IdgqDH3rM-0/VPI9ZpZE1jI/AAAAAAAHGkM/H1JOlrXUjuQ/s1600/IMG_0049.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kJV5PC1FJaI/VPI9z3aV4ZI/AAAAAAAHGlA/JbOGq50kOsY/s1600/IMG_0040.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jbH7ZRipSBk/VPI9oYTe98I/AAAAAAAHGkk/b0cPRpGsbi8/s1600/IMG_0041.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sD5rse9d_gI/VPI90KRGlfI/AAAAAAAHGk8/BEPKBn2EmVo/s1600/IMG_0054.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-elAZnw7l254/VPI9y1JFzBI/AAAAAAAHGk0/oAGHFRwuNs4/s1600/IMG_0057.jpg)