Mchakato wa uandikishaji wa wanachama “Tanzania Bloggers Network” ( TBN ) waanza rasmi
Chama cha Wamiliki/Waendeshaji wa Mitandao ya Jamii nchini ‘Tanzania Bloggers Network’ – TBN kinapenda kuwajulisha wanaotaka kujiunga na chama hicho kuwa fomu za kujiunga zinatolewa. Wahusika ni wamiliki na waendeshaji wote wa mitandao ya kijamii (blogs na forums) Tanzania na Watanzania wanaofanya kazi kama hiyo nje ya nchi.
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo. Kwa wa kazi wa Dar es Salaam wenye sifa ambao wanataka kujiunga...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-PHlTBLRI_Sc/VTif7Czm57I/AAAAAAABMUc/sRMpiL3FTwk/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
TAARIFA KWA BLOGGERS KUHUSU UANDIKISHAJI WANACHAMA 'TANZANIA BLOGGERS NETWORK' (TBN)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PHlTBLRI_Sc/VTif7Czm57I/AAAAAAABMUc/sRMpiL3FTwk/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
ni wamiliki na waendeshaji wote wa mitandao ya kijamii (blogs na forums) Tanzania na Watanzania wanaofanya kazi kama hiyo nje ya nchi.
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo. Kwa wa kazi wa Dar es Salaam wenye sifa ambao wanataka...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-eI3x_SK7oUs/VVrniPzqDaI/AAAAAAABO3c/7r8UWp4RyAU/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
UANDIKISHAJI WANACHAMA 'TANZANIA BLOGGERS NETWORK' (TBN)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eI3x_SK7oUs/VVrniPzqDaI/AAAAAAABO3c/7r8UWp4RyAU/s320/unnamed%2B(2).jpg)
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OZZD9IEsMfU/VVrrwrZDqOI/AAAAAAAHYLw/pE9-tXj3KHY/s72-c/unnamed%2B(1).png)
Uandikishaji Wanachama 'Tanzania Bloggers Network' (TBN) waendelea
![](http://2.bp.blogspot.com/-OZZD9IEsMfU/VVrrwrZDqOI/AAAAAAAHYLw/pE9-tXj3KHY/s640/unnamed%2B(1).png)
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IdgqDH3rM-0/VPI9ZpZE1jI/AAAAAAAHGkM/H1JOlrXUjuQ/s72-c/IMG_0049.jpg)
Mnuso wa Tanzania Bloggers Network (TBN) funika bovu dar es salaam serena hotel usiku huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-IdgqDH3rM-0/VPI9ZpZE1jI/AAAAAAAHGkM/H1JOlrXUjuQ/s1600/IMG_0049.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kJV5PC1FJaI/VPI9z3aV4ZI/AAAAAAAHGlA/JbOGq50kOsY/s1600/IMG_0040.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jbH7ZRipSBk/VPI9oYTe98I/AAAAAAAHGkk/b0cPRpGsbi8/s1600/IMG_0041.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-sD5rse9d_gI/VPI90KRGlfI/AAAAAAAHGk8/BEPKBn2EmVo/s1600/IMG_0054.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-elAZnw7l254/VPI9y1JFzBI/AAAAAAAHGk0/oAGHFRwuNs4/s1600/IMG_0057.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p9piKYn1mVJItBi93k*KuI-sYBeHz0ux4-IFR8tAZ1vq6Vz7FU3pu1VR2ON0Lp8*7ftBKaC2LsQx225wNHLqdrEsR*5SJwyO/unnamed54.jpg?width=650)
TANZANIA BLOGGERS NETWORK (TBN) YATOA RAMBIRAMBI KWA MWANAHABARI WA FAMILIA YA WATU SITA WALIOFARIKI KWA AJALI YA MOTO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oXwaCHOQje0/VNryTtNk56I/AAAAAAAHC_I/bQkZXz-nkT4/s72-c/unnamed%2B(54).jpg)
Tanzania bloggers network (TBN) yatoa rambirambi kwa mwanahabari wa familia ya watu sita waliofariki kwa ajali ya moto
![](http://1.bp.blogspot.com/-oXwaCHOQje0/VNryTtNk56I/AAAAAAAHC_I/bQkZXz-nkT4/s1600/unnamed%2B(54).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jElYEBM0WyM/VTiacgiltUI/AAAAAAAHSuE/ZmOP_O6jrJ4/s72-c/unnamed%2B(2)%2B(1).jpg)
Habari njema kwa WanaBlogu waTanzaniania juu Uandikishaji Wanachama TBN
![](http://4.bp.blogspot.com/-jElYEBM0WyM/VTiacgiltUI/AAAAAAAHSuE/ZmOP_O6jrJ4/s1600/unnamed%2B(2)%2B(1).jpg)
Sifa kuu kwa mwanachama ni kuwa na blog ambayo ina umri wa miezi sita tangu ianze kuendeshwa mfululizo. Kwa wa kazi wa Dar es Salaam wenye sifa ambao wanataka kujiunga...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZAWmPnMuulnp7lQzSAv5PBZUogKYJ60jXfM52WQPPsKPCQUoUzxO6FMXN5eySK6V3e10Lv1wOp*E5m2eszYuN7QHpawHXvoN/unnamed21.jpg?width=300)
HABARI NJEMA KWA WANABLOG, FORUMS WATANZANIANIA JUU UANDIKISHAJI WANACHAMA TBN
10 years ago
Dewji Blog16 Feb
Tanzania Bloggers Network wamfariji Mzee Kitime kwa kufiwa
![Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa fedha shilingi 900,000 na kutoa pole kwa mwanamziki mkongwe, John Kitime (kushoto) ambaye amefiwa juzi na mkewe, tukio hilo lilifanyika jana Kimara eneo la Nguzo ya 800, jijini Dar es Salaam. Mzee Kitime ni mwanachama wa TBN.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/Mwenyekiti-wa-muda-wa-Chama-cha-Bloggers-Tanzania-TBN-Joachim-Mushi-kulia-akikabidhi-ubani-wa-fedha-shilingi-900000-kwa-mwanamziki-mkongwe-John-Kitime-kushoto-ambaye-amefiwa-juzi-na-mkewe-tukio-hilo-lilifanyika-Kima1.jpg)
Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akikabidhi ubani wa fedha shilingi 900,000 na kutoa pole kwa mwanamuziki mkongwe, John Kitime (kushoto) ambaye amefiwa juzi na mkewe, tukio hilo lilifanyika jana Kimara eneo la Nguzo ya 800, jijini Dar es Salaam. Mzee Kitime ni mwanachama wa TBN.
![Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akitoa ujumbe wa pole kwa John Kitime na waombelezaji mara baada ya kukabidhi ubani wa fedha zilizotolewa na wanachama wa TBN jana eneo la Kimara Nguzo ya 800 jijini Dar es Salaam. Baadhi ya wajumbe wa TBN walifika kumfariji Kitime ambaye pia ni mwanachama wa TBN.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/02/IMG-20150215-WA0080.jpg)
Mwenyekiti wa muda wa Chama cha Bloggers Tanzania (TBN), Joachim Mushi (kulia) akitoa ujumbe wa pole kwa John Kitime na waombelezaji mara baada ya kukabidhi ubani wa...