RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA FAMILIA ZA WALIOPATWA NA AJALI YA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-LNDUFtMlU5M/VeBjDGOfCUI/AAAAAAAH0pM/N2xZ7RBxhRY/s72-c/images.jpg)
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://2.bp.blogspot.com/-LNDUFtMlU5M/VeBjDGOfCUI/AAAAAAAH0pM/N2xZ7RBxhRY/s200/images.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Said Meck Sadik kufuatia vifo vya watu tisa wa familia moja ya Bwana Masoud Matal vilivyotokea alfajiri ya tarehe 27 Agosti, 2015 kwa ajali ya moto.
Wanafamilia hao wakiwemo watoto watano walipoteza maisha baada ya nyumba yao iliyoko...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CJthSIsnhVY/U9o3FPrMh1I/AAAAAAAF8Bk/2u3h8w85-MA/s72-c/New+Picture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA PANDAMBILI MKOANI DODOMA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://3.bp.blogspot.com/-CJthSIsnhVY/U9o3FPrMh1I/AAAAAAAF8Bk/2u3h8w85-MA/s1600/New+Picture.png)
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi kufuatia ajali iliyotokea tarehe 30 Julai,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-l9fZFQ3mSCQ/VcC09mNOq1I/AAAAAAAHt3g/0DHlroN-TJ0/s72-c/images.jpg)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBILAMBI KWA FAMILIA YA MZEE PETER KISUMO
![](http://3.bp.blogspot.com/-l9fZFQ3mSCQ/VcC09mNOq1I/AAAAAAAHt3g/0DHlroN-TJ0/s320/images.jpg)
“Nimepokeakwamasikitikomakubwanahuzuninyingitaarifayakifo cha Mzee Peter Kisumoambayenimejulishwaaliagaduniajana,...
10 years ago
Michuzi04 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sMbzTU1E1FQ/U_XuhfUJN9I/AAAAAAAGBLA/ATp2sugQBMY/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-06-21%2Bat%2B5.17.07%2BPM.png)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA MKOA WA TABORA KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA HIVI KARIBUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-sMbzTU1E1FQ/U_XuhfUJN9I/AAAAAAAGBLA/ATp2sugQBMY/s1600/Screen%2BShot%2B2014-06-21%2Bat%2B5.17.07%2BPM.png)
Ajali hiyo iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo Wilayani Sikonge, ilihusisha basi la abiria la Kampuni ya Sabena lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza ambalo lililogongana uso kwa uso na basi lingine la...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s72-c/New+Picture+(5).bmp)
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,kufuatia vifo vya watu 11 katika ajali ya basi
![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Katika salamu hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa ajali zabarabarani zinaendelea kuchukua maisha ya watu wasiokuwa na hatia.
“Nimepokea kwa huzuni nyingi taarifa ya ajali hiyo ambayo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KIGODA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni nyingi taarifa za kifo cha Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Abdallah Omari Kigoda ambaye aliaga dunia jana, Jumatatu, Oktoba 12, 2015 katika Hospitali ya Apollo mjini New Delhi, India, ambako alikuwa amelazwa kwa matibabu tokea Septemba 19, mwaka huu. Alikuwa na umri wa...
![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni nyingi taarifa za kifo cha Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Abdallah Omari Kigoda ambaye aliaga dunia jana, Jumatatu, Oktoba 12, 2015 katika Hospitali ya Apollo mjini New Delhi, India, ambako alikuwa amelazwa kwa matibabu tokea Septemba 19, mwaka huu. Alikuwa na umri wa...
11 years ago
CloudsFM01 Aug
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI AJALI YA BASI LA MORO BEST
Katika ajali hiyo, watu 13 walifariki katika eneo la ajali, na majeruhi wapatao 56 walifikishwa hospitalini. Kati ya majeruhi hao hadi sasa waliolazwa ni 30 na wengine wameruhusiwa baada ya kupata matibabu.
Rais amemuomba Dkt. Nchimbi kumfikishia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6vSA_IzIFu4/VAwaLS9o9xI/AAAAAAAGgyg/EsQWrUtV_LE/s72-c/unnamed.jpg)
SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA RAIS JAKAYA M.KIKWETE NA WAZIRI WA UCHUKUZI MHE MWAKYEMBE NA MKUU WA MKOA WA MARA KWA AJALI MBAYA YA BASI ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATANZANIA ZAIDI YA 40
![](http://2.bp.blogspot.com/-6vSA_IzIFu4/VAwaLS9o9xI/AAAAAAAGgyg/EsQWrUtV_LE/s1600/unnamed.jpg)
Chama cha Ujenzi wa Taifa cha NRA ,(National Reconstruction Alliance); kinatoa salamu za pole/rambirambi kwa Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mhe Jakaya Kikwete, Waziri za Uchukuzi, Mkuu wa mkoa wa Mara na Wafiwa kwa ajali mbaya ya Basi iliyopelekea kupotea kwa maisha ya watanzania zaidi ya 40, akiongea kwa njia ya simu akiwa katika ziara ya kikazi mkoani kigoma Naibu KATIBU MKUU NA KATIBU MKUU wa BODI ya chama Mhe Hassan Kisabya (pichani) , ametoa salamu hizo kwa niaba ya Chama...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5rW9I8lMa_I/VPJKr1cU4ZI/AAAAAAAHGrc/dxr3KpA7pm0/s72-c/Capt%2BJohn%2BKomba_Mbinga.jpg)
Rais Kikwete atoa Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mbunge wa Mbinga,Mh. John Komba
![](http://1.bp.blogspot.com/-5rW9I8lMa_I/VPJKr1cU4ZI/AAAAAAAHGrc/dxr3KpA7pm0/s1600/Capt%2BJohn%2BKomba_Mbinga.jpg)
Katika salamu zake za rambirambi kwa Spika wa Bunge, Mheshimiwa Anne Semamba Makinda na Katibu Mkuu wa CCM, MheshimiwaAbdulrahman Kinana, Mheshimiwa Kikwete...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania