RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA PANDAMBILI MKOANI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-CJthSIsnhVY/U9o3FPrMh1I/AAAAAAAF8Bk/2u3h8w85-MA/s72-c/New+Picture.png)
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-CJthSIsnhVY/U9o3FPrMh1I/AAAAAAAF8Bk/2u3h8w85-MA/s1600/New+Picture.png)
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi kufuatia ajali iliyotokea tarehe 30 Julai,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
Rais Kikwete aomboleza vifo vya watu 18 kufuatia ajali iliyotokea eneo la Pandambili, Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi kufuatia ajali iliyotokea tarehe 30 Julai, 2014 katika eneo la Pandambili, Wilayani Kongwa na kuua watu wapatao 18.
Katika ajali hiyo, watu 13 walifariki katika eneo la ajali, na majeruhi wapatao 56 walifikishwa hospitalini. Kati ya majeruhi hao hadi sasa waliolazwa ni 30 na wengine wameruhusiwa baada ya kupata matibabu.
Rais amemuomba Dkt. Nchimbi kumfikishia rambirambi zake za dhati kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-sMbzTU1E1FQ/U_XuhfUJN9I/AAAAAAAGBLA/ATp2sugQBMY/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-06-21%2Bat%2B5.17.07%2BPM.png)
RAIS KIKWETE ATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA MKUU WA MKOA WA TABORA KUFUATIA AJALI ILIYOTOKEA HIVI KARIBUNI
![](http://2.bp.blogspot.com/-sMbzTU1E1FQ/U_XuhfUJN9I/AAAAAAAGBLA/ATp2sugQBMY/s1600/Screen%2BShot%2B2014-06-21%2Bat%2B5.17.07%2BPM.png)
Ajali hiyo iliyotokea katika Kijiji cha Mlogolo Wilayani Sikonge, ilihusisha basi la abiria la Kampuni ya Sabena lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Mwanza ambalo lililogongana uso kwa uso na basi lingine la...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-6EwZ4vRns-M/VFOnGJtht1I/AAAAAAAGuZk/QsqF720PmpQ/s72-c/New%2BPicture%2B(4).bmp)
Rais Kikwete amtumia salamu za rambirambi mkuu wa mkoa wa arusha kufuatia vifo vya watu katika ajali iliyotokea jijini humo
![](http://1.bp.blogspot.com/-6EwZ4vRns-M/VFOnGJtht1I/AAAAAAAGuZk/QsqF720PmpQ/s1600/New%2BPicture%2B(4).bmp)
“Nimeshtushwa na kusikitishwa sana kutokana na ajali hii mbaya ambayo kwa ghafla imeondoa uhai wa wenzetu 12 wasio na hatia kutokana na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KIGODA
![](http://1.bp.blogspot.com/-yROARWM4ciI/Vh2hy34PYhI/AAAAAAAH_0s/d2Eoznah5oY/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa mshtuko na huzuni nyingi taarifa za kifo cha Waziri wa Viwanda na Biashara, Mheshimiwa Dkt. Abdallah Omari Kigoda ambaye aliaga dunia jana, Jumatatu, Oktoba 12, 2015 katika Hospitali ya Apollo mjini New Delhi, India, ambako alikuwa amelazwa kwa matibabu tokea Septemba 19, mwaka huu. Alikuwa na umri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5rW9I8lMa_I/VPJKr1cU4ZI/AAAAAAAHGrc/dxr3KpA7pm0/s72-c/Capt%2BJohn%2BKomba_Mbinga.jpg)
Rais Kikwete atoa Salamu za Rambirambi kufuatia kifo cha Mbunge wa Mbinga,Mh. John Komba
![](http://1.bp.blogspot.com/-5rW9I8lMa_I/VPJKr1cU4ZI/AAAAAAAHGrc/dxr3KpA7pm0/s1600/Capt%2BJohn%2BKomba_Mbinga.jpg)
Katika salamu zake za rambirambi kwa Spika wa Bunge, Mheshimiwa Anne Semamba Makinda na Katibu Mkuu wa CCM, MheshimiwaAbdulrahman Kinana, Mheshimiwa Kikwete...
10 years ago
MichuziRAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA KIFO CHA KATIBU MKUU WA CPA, DKT. SHIJA
Dkt. Shija aliyefariki dunia Jumamosi asubuhi mjini London, Uingereza, ambacho ndicho kilikuwa kituo chake cha kazi, alisomea na kuwa mhadhiri wa uandishi wa habari kabla ya kuwa mbunge wa Sengerema kwa miaka 15 mfululizo na Waziri Mwandamizi wa Serikali...
10 years ago
Michuzi04 Mar
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LNDUFtMlU5M/VeBjDGOfCUI/AAAAAAAH0pM/N2xZ7RBxhRY/s72-c/images.jpg)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA FAMILIA ZA WALIOPATWA NA AJALI YA MOTO
![](http://2.bp.blogspot.com/-LNDUFtMlU5M/VeBjDGOfCUI/AAAAAAAH0pM/N2xZ7RBxhRY/s200/images.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mheshimiwa Said Meck Sadik kufuatia vifo vya watu tisa wa familia moja ya Bwana Masoud Matal vilivyotokea alfajiri ya tarehe 27 Agosti, 2015 kwa ajali ya moto.
Wanafamilia hao wakiwemo watoto watano walipoteza maisha baada ya nyumba yao iliyoko...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s72-c/New+Picture+(5).bmp)
Rais Kikwete atuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu,kufuatia vifo vya watu 11 katika ajali ya basi
![](http://3.bp.blogspot.com/-gmAt1NVK7Ro/U1YHUKVh-2I/AAAAAAAFcO4/QgbEvsEiGO8/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Katika salamu hizo, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa ajali zabarabarani zinaendelea kuchukua maisha ya watu wasiokuwa na hatia.
“Nimepokea kwa huzuni nyingi taarifa ya ajali hiyo ambayo...