Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GEPF YATOA SEMINA KWA WANAHABARI JIJINI DAR

Meneja Masoko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina akita mada katika semina ya wanahabari. Sehemu ya wanahabari kutoka vyombo mbalimbali vya habari jijini Dar wakimsikiliza Aloyce.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WIZARA YA AFYA YATOA SEMINA KWA WANAHABARI DAR

Mtaalamu wa ufuatiliaji na udhibiti wa magonjwa ,Dk. Vida Makundi Mmbaga, akijibu maswali ya wanahabari.
Waandishi wakifuatilia kwa umakini.…

 

11 years ago

Michuzi

PSPF YATOA ELIMU YA MFUKO WAKE KWA WANAHABARI JIJINI DAR


Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa PSPF, Adam Mayingu akizungumza na Waandishi wa habari pamoja na wadau wa mfuko huo katika semina ya siku moja kuhusu shughuli mbalimbali zinazofanywa na mfuko huo na fursa mbalimbali pamoja na mafao yanayotolewa na mfuko. 
Miongoni mwa huduma wanazotoa na ikiwa ni huduma ya fao jipya ni Mpango wa Uchangiaji kwa Hiyari  (PSS) ambapo mwanachama anatakiwa kujiunga kwa kiwango cha chini cha shilingi 10,000/= na kuchangia kadri awezavyo kila siku, wiki, Mwezi na...

 

10 years ago

GPL

CNN YATOA SEMINA KWA WANAHABARI

 Richard Mwigamba ambaye ni Mhariri wa Gazeti la The Citzen akifungua semina hiyo.…

 

10 years ago

Vijimambo

GEPF WATOA SEMINA KWA MAAFISA UTUMISHI WA TAASISI MBALIMBALI JIJINI MBEYA

Meneja masoko wa mfuko wa pensheni wa GEPF, Ndg Aloyce Ntukamazima akimkaribisha mkuu wa mkoa wa mbeya ndg Abbas kandoro katika semina maalumu iliyoandaliwa na mfuko huo kwa Maafisa utumishi wa ofisi mbalimbali za mkoa huo.Baadhi ya maafisa utumishi wa mkoa wa mbeya wakifuatilia kwa makini semina hiyo katika ukumbi wa hoteli ya Hill view jijini mbeya .Mkuu wa mkoa wa Mbeya Ndg. Abbas Kandolo akitoa neno la ufunguzi wa semina hiyo. Kushoto kwake ni Meneja wa GEPF Mkoa wa mbeya Ndg Ramadhan...

 

10 years ago

GPL

GEPF WATOA SEMINA KWA MAAFISA UTUMISHI WA TAASISI MBALIMBALI JIJINI MBEYA‏

Meneja masoko wa mfuko wa pensheni wa GEPF, Ndg Aloyce Ntukamazima akimkaribisha mkuu wa mkoa wa mbeya ndg Abbas kandoro katika semina maalumu iliyoandaliwa na mfuko huo kwa Maafisa utumishi wa ofisi mbalimbali za mkoa huo. Baadhi ya maafisa utumishi wa mkoa wa mbeya wakifuatilia kwa makini semina hiyo katika ukumbi wa hoteli ya Hill view jijini mbeya .… ...

 

10 years ago

GPL

WANAHABARI WAPEWA SEMINA KUHUSU WIKI YA USALAMA BARABARANI YA UMOJA WA MATAIFA JIJINI DAR LEO

 Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari wakati akifungua semina hiyo Dar es Salaam leo asubuhi. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi.  Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi (kulia), akizungumza katika semina hiyo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally...

 

5 years ago

Michuzi

UTT AMIS YATOA ELIMU YA MIFUKO YAO KWA WASHIRIKI WA SEMINA JIJINI MOROGORO

Mkurugenzi wa Uwekezaji wa UTT AMIS  Pamela Nchimbi akitoa darasa juu ya uwekezaji wa pamoja katika semina iliyoandaliwa na IMED kwa wastaafu watarajiwa wa TRA jijini Morogoro
Mkurugenzi wa Uwekezaji wa UTT AMIS  Pamela Nchimbi akitoa darasa juu ya uwekezaji wa pamoja katika semina iliyoandaliwa na IMED kwa wastaafu watarajiwa wa TRA jijini Morogoro
Baadhi ya washiriki wakiwa katika semina hiyo wakisikiliza kwa umakini.

 

10 years ago

Vijimambo

NSSF yatoa semina kwa maofisa ajira na fedha Dar

Mkurugenzi Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Cresentius Magori (kulia) akifungua semina ya maofisa Ajira na Fedha toka Mkoa wa Temeke iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Cresentius Magori akifungua semina ya maofisa Ajira na Fedha toka Mkoa wa Temeke iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya maofisa wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) toka Temeke wakifuatilia semina hiyo....

 

11 years ago

GPL

MULTICHOCIE TANZANIA YAFUNGA MWAKA KWA KUSHEREHEKEA NA WANAHABARI, WADAU JIJINI DAR

Baadhi ya wadau na wanahabari wakijiachia wakati wa sherehe ya kufunga mwaka ya kampuni ya Multichoice Tanzania jana usiku katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. Hawa wakiserebuka kwa muziki.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani