Jumuiya ya Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) yapata viongozi wapya
![](http://4.bp.blogspot.com/--Bgt_ByhlJs/VcjK_D_nf2I/AAAAAAAHvv8/2f9Cz2Vi_Gs/s72-c/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
Na Mwashungi Tahir-Maelezo Zanzibar Mwanahabari Abdallah Abdulrahman Mfaume amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Jumuiya ya Waandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) kwenye mkutano mkuu wa jumuiya hiyo uliombatana na Uchaguzi wa viongozi wapya katika ukumbi wa Ekrotanal Mjini Unguja. Bw. Mfaume aliibuka mshindi baada ya kupata kura 40 na kumshinda mpinzani wake wa karibu Bw. Suleiman Abdalla ambae alipata kura tisa. Katibu Mtendaji wa ZPC Faki Mjaka ambaye hakuwa na Mpinzani alipata kura 46 na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziNHIF YAWAFUNDA WAANDISHI HABARI PAMOJA NA JUMUIYA YA MASHEIKH WA JUMUIYA YA ZAWIYATUL QADIRIA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s72-c/images.jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA HOUSTON: MH. BALOZI LIBERATA MULAMULA KUWA MGENI RASMI KATIKA SHEREHE YA KUSIMIKA VIONGOZI WAPYA WA JUMUIYA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-0mBuDM0BGuI/UzEAabnb9uI/AAAAAAAFWGI/RTL1qsQ5xb0/s1600/images.jpg)
Mheshimiwa Balozi wa Tanzania hapa US na Mexico, Mh.Liberata Mulamula ndiye atakaekuwa mgeni rasmi wa tukio hili la kihistoria katika jumuiya yetu ya Houston. Wote mnakaribishwa ili tusherekee na tuweke...
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
TAHLISO yapata viongozi wapya
JUMUIA ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), imepata uongozi mpya. Katika uchaguzi huo Musa Mudede, Rais wa Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Bugando cha...
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
KACU yapata viongozi wapya
CHAMA Kikuu cha Ushirika wilayani Kahama Mkoa wa Shinyanga (KACU), kimepata viongozi wapya wa Bodi huku mjumbe mmoja akitaka kujivua madaraka hayo ya ujumbe baada ya kushindwa kwenye kinyang’anyiro cha...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Chaumma yapata viongozi wapya
MWENYEKITI wa Chama cha Ukombuzi wa Umma (Chaumma), Hashim Sipunda, amesema hana imani na Tume ya Uchaguzi, hivyo kuomba kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi ambayo itatenda haki. Sipunda alitoa...
10 years ago
Michuzi09 Jun
Kamisheni ya Wanariadha yapata viongozi wapya
Kuundwa kwa Kamisheni za wachezaji kunatokana na agizo la Kamati ya Olimpiki ya Kimataifa (IOC), ambako Bara la Afrika kupitia Anoca, iliagiza wanachama wake kutekeleza.
Lakini licha ya agizo hilo kutolewa, vyama na mashirikisho mengi yameshindwa kusimamia uanzishwaji wa Kamisheni hizo, ambazo ni...
11 years ago
Dewji Blog10 Aug
Chadema yapata viongozi wapya Kigoma
Mkurugenzi wa Mafunzo na Uchaguzi wa CHADEMA, Benson Kigaila akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani). (Picha na Maktaba).
Na Mwandishi wetu
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mkoani Kigoma, kimepata uongozi mpya wa chama hicho kufuatia uongozi uliokuwepo awali kujiuzulu na kuhamia chama cha Allience For Change and Transparency (ACT – Tanzania).
Mkurugenzi wa Mafunzo na Uchaguzi wa CHADEMA, Benson Kigaila, ambaye alikuwa msimamizi wa zoezi la kupatikana kwa viongozi hao...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Odrtl-o9L7k/Vkm4fykd_NI/AAAAAAAAIVo/btUuBboHk-k/s72-c/FSDT-Web-Banner-Extra%2B2.jpg)
TASO YAPATA VIONGOZI WAPYA WA TAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Odrtl-o9L7k/Vkm4fykd_NI/AAAAAAAAIVo/btUuBboHk-k/s640/FSDT-Web-Banner-Extra%2B2.jpg)
Hadi sasa TASO ina viwanja vitano vya maonyesho ya nanenane kwenye kanda za Kaskazini-Arusha, kandayalati –Dodoma, Mashariki – Morogoro, NyandazaJuu –Mbeya na Kanda ya Kusini – Lindi. Mfumo wa utendaji wa TASO umeanzia kwenye Kata, Wilaya, Mkoa, Kanda naTaifa.
Juhudi...
11 years ago
Tanzania Daima11 Aug
CHADEMA Kigoma yapata viongozi wapya
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Kigoma kimepata viongozi wapya ngazi ya Mkoa na Wilaya katika uchaguzi uliyofanyika jana. Akizungumza na Waandishi wa Habari, Mkurugenzi Mkuu wa Oganaizesheni...