UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA WALIOSOMA KOREA (KAAT) YAFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi (Kushoto) akiwakaribisha viongozi wa KAAT walipokwenda kumtembelea na kufanya nae mazungumzo nyumbani kwake. Katikati ni Rais Mpya wa KAAT, Bw. Stephen Katemba na Kulia ni Bw. Bukheti Juma ambaye ni Makamu wa Rais, KAAT (Zanzibar).
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi (Kushoto) akifurahia jambo na viongozi wa KAAT, Bw. Stephen Katemba (Katikati) na Bw. Bukheti Juma (Kulia). Viongozi hao walipokwenda kumtembelea na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IOq5AYMbQU0/U8o7D-EBoTI/AAAAAAAF3rU/zSQhCywHDIw/s72-c/unnamed+(4).jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA WALIOSOMA KOREA (KOICA/KAAT) YAPATA UONGOZI MPYA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TemWwfoAqKY/XlQH6QFicyI/AAAAAAALfL4/Ykttwhp5t5gC-lnMHjuxPBW6Jmc2st3kgCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC6355AA-1024x599.jpg)
RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR IKULU
![](https://1.bp.blogspot.com/-TemWwfoAqKY/XlQH6QFicyI/AAAAAAALfL4/Ykttwhp5t5gC-lnMHjuxPBW6Jmc2st3kgCLcBGAsYHQ/s640/DSC6355AA-1024x599.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC6357AA-1024x613.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Uongozi wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, katika mkutano wa uwasilishaji wa Taarifa ya Utekelezaji wa Mpango Kazi kwa Ofisi hiyo kwa kipindi cha mwezi wa Julai hadi Disemba 2019 /2020, uliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/DSC6365AA-1024x606.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6U181GOylPU/UvIf1sWF-OI/AAAAAAAFK_4/FtfFKivjZ8A/s72-c/unnamed+(35).jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar afanya mazungumzo na Balozi Mdogo wa Serikali ya Jamuhuri ya Watu wa China
![](http://3.bp.blogspot.com/-6U181GOylPU/UvIf1sWF-OI/AAAAAAAFK_4/FtfFKivjZ8A/s1600/unnamed+(35).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-lq0IenuLQWE/UvIf11FZMLI/AAAAAAAFK_8/lUS2MVOhw7s/s1600/unnamed+(36).jpg)
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-awbFc4vtGoM/U_TJXzs2JWI/AAAAAAAGA8g/ZQX7xu2_-oo/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Balozi Seif Ali Idd akutana na Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA }
Rais wa KOIKA aliyekuwa kinara wa Ujumbe wa Viongozi Wanne wa Jumuiya hiyo Ndugu Steven Katemba alieleza hayo wakati wa mazungumzo yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Nd. Steven...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0IWRN94b_NA/VHs-MB16YOI/AAAAAAAG0Vs/mesmgXffWrY/s72-c/752.jpg)
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi awahimiza Watanzania kuitumia fursa inayotolewa na Chuo Kikuu Huria cha Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-0IWRN94b_NA/VHs-MB16YOI/AAAAAAAG0Vs/mesmgXffWrY/s1600/752.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-x5T9Lo-Az6M/VHs-M-gOSMI/AAAAAAAG0V4/8npH6P5ZkGI/s1600/770.jpg)
10 years ago
VijimamboUONGOZI JUMUIYA DMV YAFANYA KIKAO NA KAMATI ZAKE KUJADILI MASWALA MBALIMBALI YANAYOIKABILI JUMUIYA
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Jumuiya ya Watanzania wanaosoma Korea ya Kusini kufanya shughuli za kijamii nyumba za kutunza wazee Zanzibar
Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA } ukiongozwa na Rais wake Nd. Steven Katemba ukijitambulisha rasmi kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar mara baada ya kucgauliwa rasmi mwezi Mei Mwaka huu. Nyuma ya Ndugu Steven ni Makamu wa Rais wa Jumuiya hiyo kwa upande wa Zanzibar NduguBukheit Juma.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kati kati akiwa katika picha ya...
10 years ago
MichuziMAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AZINDUA WA BARABARA YA MKAPA AWAMU YA PILI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rO-fD9Yy4is/U6w3VfXEWdI/AAAAAAAFtFE/LqXT2koGB9c/s72-c/002.jpg)
Makamu wa Rais wa China akutana na Makamu Wa pili wa Rais wa Zanzibar
Kauli hiyo imetolewa na Makamu wa Rais wa China Bwana Li Yuanchao wakati yeye na ujumbe wake alipofanya mazungumzo Rasmi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiuongoza Ujumbe wa Zanzibar kwa Niaba ya Rais wa Zanzibarna Mwenyekiti...