JUMUIYA YA WATANZANIA WALIOSOMA KOREA (KOICA/KAAT) YAPATA UONGOZI MPYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-IOq5AYMbQU0/U8o7D-EBoTI/AAAAAAAF3rU/zSQhCywHDIw/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Na Saidi Mkabakuli Jumuiya ya Watanzania waliosoma Korea imefanikiwa kupata uongozi mpya, utaongoza umoja wa Watanzania hao kwa muda wa miaka miwili. Waliochaguliwa kuongoza KAAT ni pamoja na Bw. Stephen Katemba ambaye amechaguliwa kuwa Rais wa Jumuiya. Bw. Katemba atasaidiwa na Bw. Bukheti Juma (Makamu wa Rais, Zanzibar) na Bw. Emmanuel Burton (Makamu wa Rais, Tanzania Bara). Katika nafasi ya Uweka Muweka Hazina, aliyechaguliwa ni Bw. Stephen Matee, ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziUONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA WALIOSOMA KOREA (KAAT) YAFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-OfKngisGceQ/UzsQExKcaII/AAAAAAAFXvE/PzO_7y-WiWk/s72-c/unnamed+(32).jpg)
Jumuiya ya Watanzania nchini Malaysia yapata Uongozi wao
![](http://1.bp.blogspot.com/-OfKngisGceQ/UzsQExKcaII/AAAAAAAFXvE/PzO_7y-WiWk/s1600/unnamed+(32).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-awbFc4vtGoM/U_TJXzs2JWI/AAAAAAAGA8g/ZQX7xu2_-oo/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Balozi Seif Ali Idd akutana na Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA }
Rais wa KOIKA aliyekuwa kinara wa Ujumbe wa Viongozi Wanne wa Jumuiya hiyo Ndugu Steven Katemba alieleza hayo wakati wa mazungumzo yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Nd. Steven...
10 years ago
Vijimambo25 Dec
SALAMU ZA KRISMASI NA KHERI YA MWAKA MPYA KUTOKA UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK
![](http://cdn.playbuzz.com/cdn/54602225-eb1b-4c77-b4bf-dcdec5d184dd/0b9c9900-fdb7-4e10-9c5a-1d5c110c6313.jpg)
11 years ago
Michuzi24 Jun
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yYUwFBSPx4g/U3hmv6SllEI/AAAAAAAFjZY/_CPwcIJ6OMo/s72-c/New+Picture.bmp)
JUMUIYA YA WATANZANIA NCHINI KOREA KUSINI WATEMBELEA KITUO CHA SAMSUNG INNOVATION MUSEUM
![](http://2.bp.blogspot.com/-yYUwFBSPx4g/U3hmv6SllEI/AAAAAAAFjZY/_CPwcIJ6OMo/s1600/New+Picture.bmp)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nNPtTNeT69E/U3hnHJ17hAI/AAAAAAAFjZg/JnIh3oIMt1I/s1600/New+Picture+(1).bmp)
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Jumuiya ya Watanzania wanaosoma Korea ya Kusini kufanya shughuli za kijamii nyumba za kutunza wazee Zanzibar
Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA } ukiongozwa na Rais wake Nd. Steven Katemba ukijitambulisha rasmi kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar mara baada ya kucgauliwa rasmi mwezi Mei Mwaka huu. Nyuma ya Ndugu Steven ni Makamu wa Rais wa Jumuiya hiyo kwa upande wa Zanzibar NduguBukheit Juma.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kati kati akiwa katika picha ya...
10 years ago
MichuziSOKA FESTIVAL MASSACHUSETTS CHINI YA UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW ENGLAND YAFANA
10 years ago
GPLSOKA FESTIVAL MASSACHUSETTS CHINI YA UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW ENGLAND YAFANA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10