JUMUIYA YA WATANZANIA NCHINI KOREA KUSINI WATEMBELEA KITUO CHA SAMSUNG INNOVATION MUSEUM
![](http://2.bp.blogspot.com/-yYUwFBSPx4g/U3hmv6SllEI/AAAAAAAFjZY/_CPwcIJ6OMo/s72-c/New+Picture.bmp)
Tarehe 17 Mei: Jumuiya ya WaTanzania nchini Korea Kusini ilipata fursa ya kutembelea kituo cha Samsung Innovation Museum kujionea teknolojia mbalimbali zinazotengenezwa na kampuni ya Samsung. Kituo hipo kipo kwenye campus kubwa ya kampuni ya Samsung Electronics mjini Suwon.
Wanajumuiya WaTanzania nchini Korea wakiongozwa na Mwenyekiti wao Bwn. Rayton Kwembe (wa pili kushoto) ambaye pia ni mfanyakazi wa Samsung Electronics Korea wakiingia katika kituo cha Samsung Innovation Museum.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi24 Jun
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-awbFc4vtGoM/U_TJXzs2JWI/AAAAAAAGA8g/ZQX7xu2_-oo/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Balozi Seif Ali Idd akutana na Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA }
Rais wa KOIKA aliyekuwa kinara wa Ujumbe wa Viongozi Wanne wa Jumuiya hiyo Ndugu Steven Katemba alieleza hayo wakati wa mazungumzo yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.
Nd. Steven...
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Jumuiya ya Watanzania wanaosoma Korea ya Kusini kufanya shughuli za kijamii nyumba za kutunza wazee Zanzibar
Uongozi wa Jumuiya Watanzania wanaosoma Nchini Korea ya Kusini { KOIKA } ukiongozwa na Rais wake Nd. Steven Katemba ukijitambulisha rasmi kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Nyumbani kwake Mazizini Nje kidogo ya Mji wa Zanzibar mara baada ya kucgauliwa rasmi mwezi Mei Mwaka huu. Nyuma ya Ndugu Steven ni Makamu wa Rais wa Jumuiya hiyo kwa upande wa Zanzibar NduguBukheit Juma.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kati kati akiwa katika picha ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IOq5AYMbQU0/U8o7D-EBoTI/AAAAAAAF3rU/zSQhCywHDIw/s72-c/unnamed+(4).jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA WALIOSOMA KOREA (KOICA/KAAT) YAPATA UONGOZI MPYA
10 years ago
MichuziUONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA WALIOSOMA KOREA (KAAT) YAFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR
10 years ago
VijimamboCRDB TAWI LA MERU WATEMBELEA KITUO CHA YATIMA ST JOSEPH CHA MOSHONO ARUSHA
11 years ago
BBCSwahili27 Apr
Waziri mkuu nchini Korea Kusini ajiuzulu
10 years ago
VijimamboMAJAJI WA BONGO STAR SEARCH WATEMBELEA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA CHAKUWAMA NA KUTOA MSAADA
5 years ago
Mwananchi27 Feb
Bawacha watembelea kituo cha yatima