Waziri mkuu nchini Korea Kusini ajiuzulu
Waziri mkuu nchini Korea Kusini amejiuzulu kutokana na vile serikali yake ilivyolichukulia swala lote la ferry iliozama.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6ZjzpdI9mqFehhWPSO1co617vdlWhgRX0RURQMP98xarRokNWbS0OhmuLX-YFbgruSg98CAtHFq2LXIclW4ebqW/southkoreaseeksarrestofsewolferrycaptain.jpg)
KUZAMA KWA FERI, WAZIRI MKUU KOREA KUSINI AJIUZULU
Feri ya Sewol ilipokuwa ikizama. Waziri Mkuu nchini Korea Kusini, Chung Hong Won aliyejiuzulu.
WAZIRI Mkuu nchini Korea Kusini, Chung Hong Won amejiuzulu kutokana na vile serikali yake ilivyolichukulia suala la feri iliyozama siku 11 zilizopita. Chung Hong Won amesema kuwa kubaki ofisini ni mzigo…
11 years ago
BBCSwahili06 Apr
Waziri mkuu ajiuzulu nchini Mali
Waziri mkuu nchini Mali Oumar Tatamy Ly pamoja na baraza lake la mawaziri wamejiuzulu.
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Waziri mkuu wa Ukraine ajiuzulu
Rais wa Ukraine, Viktor Yanu-kovich, amekubali ombi la kujiuzulu kwa waziri mkuu wa taifa hilo, Mykola Azrov, pamoja na baraza lote la mawaziri
11 years ago
Michuzi24 Jun
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKUTANA NA MWENYEKITI WA KAMATI YA MAMBO YA NJE YA BUNGE LA JAMHURI YA KOREA,PIA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI WA UCHUKUZI WA BURUNDI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yYUwFBSPx4g/U3hmv6SllEI/AAAAAAAFjZY/_CPwcIJ6OMo/s72-c/New+Picture.bmp)
JUMUIYA YA WATANZANIA NCHINI KOREA KUSINI WATEMBELEA KITUO CHA SAMSUNG INNOVATION MUSEUM
Tarehe 17 Mei: Jumuiya ya WaTanzania nchini Korea Kusini ilipata fursa ya kutembelea kituo cha Samsung Innovation Museum kujionea teknolojia mbalimbali zinazotengenezwa na kampuni ya Samsung. Kituo hipo kipo kwenye campus kubwa ya kampuni ya Samsung Electronics mjini Suwon.
Wanajumuiya WaTanzania nchini Korea wakiongozwa na Mwenyekiti wao Bwn. Rayton Kwembe (wa pili kushoto) ambaye pia ni mfanyakazi wa Samsung Electronics Korea wakiingia katika kituo cha Samsung Innovation Museum.
![](http://2.bp.blogspot.com/-yYUwFBSPx4g/U3hmv6SllEI/AAAAAAAFjZY/_CPwcIJ6OMo/s1600/New+Picture.bmp)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nNPtTNeT69E/U3hnHJ17hAI/AAAAAAAFjZg/JnIh3oIMt1I/s1600/New+Picture+(1).bmp)
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?
Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.
5 years ago
BBCSwahili03 May
Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani
Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Mkuu wa polisi wa Atlanta nchini Marekani ajiuzulu baada ya mtu mweusi kuuawa
Katika kipindi cha wiki tatu, watu kote Marekani wamekuwa wakiandamana kufuatia kifo cha George Flyod, mwanaume mweusi aliyekufa mikononi mwa polisi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10