Waziri mkuu wa Ukraine ajiuzulu
Rais wa Ukraine, Viktor Yanu-kovich, amekubali ombi la kujiuzulu kwa waziri mkuu wa taifa hilo, Mykola Azrov, pamoja na baraza lote la mawaziri
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 Apr
Waziri mkuu ajiuzulu nchini Mali
Waziri mkuu nchini Mali Oumar Tatamy Ly pamoja na baraza lake la mawaziri wamejiuzulu.
11 years ago
BBCSwahili27 Apr
Waziri mkuu nchini Korea Kusini ajiuzulu
Waziri mkuu nchini Korea Kusini amejiuzulu kutokana na vile serikali yake ilivyolichukulia swala lote la ferry iliozama.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6ZjzpdI9mqFehhWPSO1co617vdlWhgRX0RURQMP98xarRokNWbS0OhmuLX-YFbgruSg98CAtHFq2LXIclW4ebqW/southkoreaseeksarrestofsewolferrycaptain.jpg)
KUZAMA KWA FERI, WAZIRI MKUU KOREA KUSINI AJIUZULU
Feri ya Sewol ilipokuwa ikizama. Waziri Mkuu nchini Korea Kusini, Chung Hong Won aliyejiuzulu.
WAZIRI Mkuu nchini Korea Kusini, Chung Hong Won amejiuzulu kutokana na vile serikali yake ilivyolichukulia suala la feri iliyozama siku 11 zilizopita. Chung Hong Won amesema kuwa kubaki ofisini ni mzigo…
11 years ago
BBCSwahili04 May
Waziri Mkuu wa Ukraine ayalaumu majeshi
Waziri mkuu wa Ukraine amevilaumu vikosi vya usalama kwa kushindwa kuzuia ghasia kusini mwa mji wa Odessa
11 years ago
BBCSwahili10 Mar
Obama amualika Waziri Mkuu wa Ukraine
Rais Obama amemualika waziri mkuu wa Ukraine Arseniy Yatsenyuk mjini Washington kujadiliana kuhusu mzozo unaokumba taifa lake
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s72-c/PG4A1896.jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-mKzNUwSp1sY/VHo-0Tday7I/AAAAAAADJJs/J9IOhLTC300/s1600/PG4A1896.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2PKiPMgnKWw/VHo-0aq8WJI/AAAAAAADJJo/vF30JsHqgOs/s1600/PG4A1852.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WAZIRI KAGASHEKI AJIUZULU
Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki. Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki, amejiuzulu bungeni hivi punde baada ya kutakiwa na wabunge awajibike kwa vitendo viovu vilivyofanywa na wanausalama wakati wa Operesheni…
11 years ago
BBCSwahili08 Feb
Waziri wa uhamiaji wa Uingereza ajiuzulu
Waziri wa uhamiaji wa UIngereza aliyeajiri mhamiaji asiyekuwa na kibali, ajiuzulu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania