Obama amualika Waziri Mkuu wa Ukraine
Rais Obama amemualika waziri mkuu wa Ukraine Arseniy Yatsenyuk mjini Washington kujadiliana kuhusu mzozo unaokumba taifa lake
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Waziri mkuu wa Ukraine ajiuzulu
Rais wa Ukraine, Viktor Yanu-kovich, amekubali ombi la kujiuzulu kwa waziri mkuu wa taifa hilo, Mykola Azrov, pamoja na baraza lote la mawaziri
11 years ago
BBCSwahili04 May
Waziri Mkuu wa Ukraine ayalaumu majeshi
Waziri mkuu wa Ukraine amevilaumu vikosi vya usalama kwa kushindwa kuzuia ghasia kusini mwa mji wa Odessa
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Putin na Obama wazungumzia Ukraine
Rais wa Urusi Vladimir Putin na Barack Obama wa Marekani wamefanya mazungumzo kuhusu mzozo wa Ukraine.
11 years ago
BBCSwahili01 Mar
Obama aionya Urusi kuhusu Ukraine
Rais Barak Obama ameionya Urusi kutoingilia mgogoro wa Ukraine, hususan jimbo la Crimea
11 years ago
BBCSwahili07 Mar
Obama awasiliana na Putin kuhusu Ukraine
Rais Obama ametoa mapendekezo ya ya kusuluhisha mgogoro wa Ukraine kwa njia ya kidiplomasia ikiwemo Urusi kuwaondoa wanajeshi wake.
11 years ago
BBCSwahili05 Mar
Obama ataka wachunguzi kutumwa Ukraine
Rais Obama ametangaza mapendekezo ambayo huenda yakatoa suluhu kwa mzozo wa Ukraine, ikiwemo kuwatuma wachunguzi wa kimataifa.
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Obama na Putni washauriana vita Ukraine
Rais Obama amefanya mashauriano na Rais Putin, juu ya hali ilivyo Ukraine baada ya kusitishwa mapigano.
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
Merkel kukutana na Obama kuhusu Ukraine
Kiongozi wa Ujerumani kukutana na rais Obama kujadiliana kuhusu kuwepo kwa amani Ukraine
10 years ago
VijimamboWaziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Mkuu, William Lukuvi (kushoto) wakiteta na Kiongozi wa Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe, Bungeni mjini Dodoma Novemba 29, 2014.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania