Waziri wa uhamiaji wa Uingereza ajiuzulu
Waziri wa uhamiaji wa UIngereza aliyeajiri mhamiaji asiyekuwa na kibali, ajiuzulu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhwwM5as4RbjR4eGCpCDQDfQQtYvSKjmpYX6alzRlj7YDmQ*TT22OZ5378Cz3L2vlswqqGLaBSSOPwRy8mxUE9vT/mark.jpg)
UWAJIBIKAJI: WAZIRI WA UHAMIAJI UINGEREZA AJIUZULU
Waziri wa Uhamiaji wa Uingereza, Mark Harper. WAZIRI wa Uhamiaji wa Uingereza, Mark Harper, amejiuzulu baada ya kugundulika kuwa amemuajiri mfanyakazi asiyekuwa na kibali cha kufanya kazi Uingereza. Harper ameeleza kuwa alidanganywa na mwanamke mmoja aliyemuonesha nyaraka za bandia, alipomuajiri mwaka 2007 kusafisha nyumba yake. Bwana Harper ambaye amekuwa Waziri wa Uhamiaji tangu mwaka 2012, alisema kwa sababu alichangia...
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Uingereza na uhamiaji haramu
Serikali ya Uingereza itatangaza leo Jumanne mapendekezo mapya ya kukabiliana na suala tata la uhamiaji.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WAZIRI KAGASHEKI AJIUZULU
Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki. Waziri wa Maliasili na Utalii, Khamisi Kagasheki, amejiuzulu bungeni hivi punde baada ya kutakiwa na wabunge awajibike kwa vitendo viovu vilivyofanywa na wanausalama wakati wa Operesheni…
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Waziri mkuu wa Ukraine ajiuzulu
Rais wa Ukraine, Viktor Yanu-kovich, amekubali ombi la kujiuzulu kwa waziri mkuu wa taifa hilo, Mykola Azrov, pamoja na baraza lote la mawaziri
11 years ago
Habarileo09 May
Mbunge amtaka Waziri ajiuzulu
MBUNGE wa Konde, Khatibu Said Haji (CUF), amemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika kujiuzulu kwa kushindwa kuisimamia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kukamata mafisadi wakubwa.
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Waziri wa madini ajiuzulu Tanzania
Waziri wa kawi na madini nchini Tanzania Profesa Sospeter Muhongo amejiuzulu
11 years ago
BBCSwahili06 Apr
Waziri mkuu ajiuzulu nchini Mali
Waziri mkuu nchini Mali Oumar Tatamy Ly pamoja na baraza lake la mawaziri wamejiuzulu.
10 years ago
BBCSwahili17 Nov
Waziri ajiuzulu Ureno kupisha uchunguzi
Waziri wa mambo ya ndani wa Ureno amejiuzulu kupisha uchunguzi kuhusu tuhuma za rushwa
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania