UWAJIBIKAJI: WAZIRI WA UHAMIAJI UINGEREZA AJIUZULU
![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhwwM5as4RbjR4eGCpCDQDfQQtYvSKjmpYX6alzRlj7YDmQ*TT22OZ5378Cz3L2vlswqqGLaBSSOPwRy8mxUE9vT/mark.jpg)
Waziri wa Uhamiaji wa Uingereza, Mark Harper. WAZIRI wa Uhamiaji wa Uingereza, Mark Harper, amejiuzulu baada ya kugundulika kuwa amemuajiri mfanyakazi asiyekuwa na kibali cha kufanya kazi Uingereza. Harper ameeleza kuwa alidanganywa na mwanamke mmoja aliyemuonesha nyaraka za bandia, alipomuajiri mwaka 2007 kusafisha nyumba yake. Bwana Harper ambaye amekuwa Waziri wa Uhamiaji tangu mwaka 2012, alisema kwa sababu alichangia...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili08 Feb
Waziri wa uhamiaji wa Uingereza ajiuzulu
9 years ago
BBCSwahili25 Aug
Uingereza na uhamiaji haramu
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Waziri Kamani sasa ataka uwajibikaji, uwazi wizarani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WAZIRI KAGASHEKI AJIUZULU
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Waziri mkuu wa Ukraine ajiuzulu
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Waziri wa madini ajiuzulu Tanzania
11 years ago
Habarileo09 May
Mbunge amtaka Waziri ajiuzulu
MBUNGE wa Konde, Khatibu Said Haji (CUF), amemtaka Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika kujiuzulu kwa kushindwa kuisimamia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kukamata mafisadi wakubwa.
11 years ago
BBCSwahili06 Apr
Waziri mkuu ajiuzulu nchini Mali