Waziri Kamani sasa ataka uwajibikaji, uwazi wizarani
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, amesema ili kwenda na kasi ya maboresho ya wizara hiyo, inahitajika dhana ya uwajibikaji na uwazi sambamba na kujitolea kwa nguvu zote katika kufanya kazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-EPZeZ_rnVhQ/VTCiZpIafAI/AAAAAAAHRmY/R3sDO_i8WmU/s72-c/1.jpg)
MFUMO MPYA WA UONDOSHJI MIZIGO(TANCIS)KUONGEZA UWAZI NA UWAJIBIKAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-EPZeZ_rnVhQ/VTCiZpIafAI/AAAAAAAHRmY/R3sDO_i8WmU/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-B9fYcsbe79o/VTCiZ8fmrYI/AAAAAAAHRmU/D4mx5_lOycA/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Mfumo mpya wa undoshaji Mizigo (TANCIS) kuongeza uwazi na uwajibikaji
Kamishna wa Forodha na Ushuru kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Tiagi Masamaki Kabisi akiwaeleza waandishi wa Habari juu ya faida za Mfumo mpya wa Uondoshaji Mizigo bandarini(TANCIS) ikiwa unasaidia katika kufanya makadirio ya kodi sahihi kulingana na taarifa sahihi zilizoletwa kwa kutumia mfumo huo, pia utasaidia wateja kujua sehemu mizigo yao ilipo na pia wanapaswa kulipa kiasi gani kulingana na mzigo wa mteja, wakati wa Mkutano na waandishi wa Habari leo Jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-snhW14_9834/VkrcKtuPrgI/AAAAAAAIGUM/by4cMH0m2WA/s72-c/IMG_6395.jpg)
TANZANIA YATAKA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA KUTEKELEZA KWA VITENDO DHANA YA UWAZI NA UWAJIBIKAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-snhW14_9834/VkrcKtuPrgI/AAAAAAAIGUM/by4cMH0m2WA/s640/IMG_6395.jpg)
9 years ago
MichuziWaziri na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wawasili rasmi Wizarani baada ya kuapishwa
11 years ago
Habarileo24 Jan
Dk Kamani ataka majibu kukuza kipato
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani amesema sura ya wizara hiyo katika jamii si nzuri kwa kuwa haijatoa jawabu ya changamoto zinazowakabili wadau wakiwemo wafugaji na wavuvi na kukuza pato la Taifa kama inavyostahili.
10 years ago
Mwananchi04 Dec
Jaji Mkuu ataka uwazi mahakamani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/PHKC1AOWfhwwM5as4RbjR4eGCpCDQDfQQtYvSKjmpYX6alzRlj7YDmQ*TT22OZ5378Cz3L2vlswqqGLaBSSOPwRy8mxUE9vT/mark.jpg)
UWAJIBIKAJI: WAZIRI WA UHAMIAJI UINGEREZA AJIUZULU
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Rais wa Namibia ataka uwazi katika chaguzi za Afrika
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ys50hXML_GI/Xl_X8b5ccGI/AAAAAAAC0EU/-fN4ZaqyUiEP7ivjpbxOE7TQx89cYCqgACLcBGAsYHQ/s72-c/c07372c0-a466-4a8b-a195-1485db8591db-768x576.jpg)
WAZIRI MKUU AAGIZA MENEJA WA TANROAD MOROGORO AREJESHWE WIZARANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ys50hXML_GI/Xl_X8b5ccGI/AAAAAAAC0EU/-fN4ZaqyUiEP7ivjpbxOE7TQx89cYCqgACLcBGAsYHQ/s640/c07372c0-a466-4a8b-a195-1485db8591db-768x576.jpg)
Uamuzi huo umekuja baada ya kiongozi huyo kushindwa kufanya ukaguzi wa usala wa madaraja yaliyoko kwenye mkoa wake na kubaini kama kuna daraja linamatatizo hali iliyosababisha daraja la Kiyegea lililopo eneo la Gairo ambalo linaunganisha mkoa wa Morogoro na...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10