TANZANIA YATAKA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA KUTEKELEZA KWA VITENDO DHANA YA UWAZI NA UWAJIBIKAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-snhW14_9834/VkrcKtuPrgI/AAAAAAAIGUM/by4cMH0m2WA/s72-c/IMG_6395.jpg)
Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi ( picha ya Maktaba) ametoa wito kwa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Ofisi zake kutekeleza kwa vitendo dhana ya uwazi na uwajibikani kama yanavyozishikiza Nchi Wanachama, kwa kile alichosema, utekelezaji wa dhana hiyo haupashwi kuwa jukumu la Serikali peke yake. Ametoa wito huo wakati wa majadiliano ya Ripoti ya Baraza la Haki za Binadamu iliyowasilishwa siku ya jumatatu mbele ya Baraza Kuu la Umoja wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziJUMUIYA YA ULAYA (EU) YATOA EURO 200,000 KWA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA NCHINI TANZANIA
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini akutana na Rais wa Zanzibar leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez aliyefika Ikulu ya Zanzibar leo kwa ajili ya mazungumzo.
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akizungumza na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GNkU7fqbSTk/Vl62Iyzx4yI/AAAAAAAIJtI/yVQBooPBuVc/s72-c/New%2BPicture.png)
TPDC YATEKELEZA DHANA YA UWAJIBIKAJI KWA JAMII MKOANI MTWATRA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-GNkU7fqbSTk/Vl62Iyzx4yI/AAAAAAAIJtI/yVQBooPBuVc/s640/New%2BPicture.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gKDk_Uy_DE8/Vl62I2Vj3OI/AAAAAAAIJtE/xD9FFdlVXvc/s640/New%2BPicture%2B%25281%2529.png)
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Maofisa wa UN wahamasisha wanafunzi wa Jangwani kutekeleza ajenda za Umoja wa Mataifa
Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa Bi. Usia Nkhoma Ledama, akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Jangwani akiwa ameambatana na maafisa wenzake wa mashirika ya Umoja wa Mataifa ikiwa ni shamrashamra ya maadhimisho ya miaka 69 toka Umoja wa Mataifa unazishwe. Kushoto kwa Bi Ledama ni Albert Okal (ILO).
Shamrashamra za maadhimisho ya miaka 69 toka Umoja wa Mataifa uanzishwe zimeanza nchini, na leo jumatano maofisa waandamizi wa UN walitembelea shule ya sekondari ya...
10 years ago
Michuzi22 Oct
UN WAHAMASISHA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI YA JANGWANI KUTEKELEZA AJENDA ZA UMOJA WA MATAIFA
![DSC_0132](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0132.jpg)
Shamrashamra za maadhimisho ya miaka 69 toka Umoja wa Mataifa uanzishwe zimeanza nchini, na leo jumatano maofisa waandamizi wa UN walitembelea shule ya sekondari ya...
10 years ago
VijimamboMWAKILISHI MKAZI WA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA NCHINI, AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-m1FOcFhNCiM/VSUosioMXRI/AAAAAAAHPm8/1RBucm5-i9U/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
MWAKILISHI MKAZI WA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA NCHINI, AMTEMBELEA WAZIRI CHIKAWE OFISINI KWAKE DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-m1FOcFhNCiM/VSUosioMXRI/AAAAAAAHPm8/1RBucm5-i9U/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
9 years ago
Habarileo11 Nov
OUT wakumbushwa dhana ya uwajibikaji
WANAFUNZI wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), tawi la Manyara wanaosoma huku wakifanya kazi wamehimizwa kukabili changamoto za uwajibikaji kazini na kwenye masomo ili kufikia malengo ya maendeleo kwa kujipatia elimu kwa wote.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TGSjWseRR2g/UwxOWx5A5WI/AAAAAAAFPZA/Mwu-RkMKFcI/s72-c/unnamed+(24).jpg)
TANZANIA YASISITIZA NYONGEZA YA POSHO KWA WALINZI WA AMANI WA UMOJA WA MATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TGSjWseRR2g/UwxOWx5A5WI/AAAAAAAFPZA/Mwu-RkMKFcI/s1600/unnamed+(24).jpg)