Maofisa wa UN wahamasisha wanafunzi wa Jangwani kutekeleza ajenda za Umoja wa Mataifa
Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa Bi. Usia Nkhoma Ledama, akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Jangwani akiwa ameambatana na maafisa wenzake wa mashirika ya Umoja wa Mataifa ikiwa ni shamrashamra ya maadhimisho ya miaka 69 toka Umoja wa Mataifa unazishwe. Kushoto kwa Bi Ledama ni Albert Okal (ILO).
Shamrashamra za maadhimisho ya miaka 69 toka Umoja wa Mataifa uanzishwe zimeanza nchini, na leo jumatano maofisa waandamizi wa UN walitembelea shule ya sekondari ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi22 Oct
UN WAHAMASISHA WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI YA JANGWANI KUTEKELEZA AJENDA ZA UMOJA WA MATAIFA
![DSC_0132](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0132.jpg)
Shamrashamra za maadhimisho ya miaka 69 toka Umoja wa Mataifa uanzishwe zimeanza nchini, na leo jumatano maofisa waandamizi wa UN walitembelea shule ya sekondari ya...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-snhW14_9834/VkrcKtuPrgI/AAAAAAAIGUM/by4cMH0m2WA/s72-c/IMG_6395.jpg)
TANZANIA YATAKA MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA KUTEKELEZA KWA VITENDO DHANA YA UWAZI NA UWAJIBIKAJI
![](http://3.bp.blogspot.com/-snhW14_9834/VkrcKtuPrgI/AAAAAAAIGUM/by4cMH0m2WA/s640/IMG_6395.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zmnA97-hZaE/VFmhrc94ndI/AAAAAAAGvhc/IAaOFjLV6hc/s72-c/New%2BPicture.png)
WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA LA VERNE WAPEWA SOMO KUHUSU USHIRIKI WA TANZANIA KATIKA UMOJA WA MATAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-zmnA97-hZaE/VFmhrc94ndI/AAAAAAAGvhc/IAaOFjLV6hc/s1600/New%2BPicture.png)
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Wanafunzi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wahamasisha utalii wa ndani kwa vitendo
Baadhi ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) wamefanya ziara ya siku mbili ya kitalii katika hifadhi ya taifa ya Saadani pamoja na sehemu ya kihistoria ya Kaole iliyopo Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya kujifunza pamoja na kuhamasisha utalii wa ndani.
Wanafunzi hao kutoka katika “Collage” tofauti tofauti ikiwemo utalii, uchumi na biashara waliofanya ziara hiyo ikiwa chini ya mwamvuli wa University of Dar...
10 years ago
Habarileo04 Feb
DC aonya maofisa wanafunzi kidato1
MKUU wa wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Farida Mgomi, ametoa wiki mbili kwa watendaji wa kata na vijiji wakiwemo watendaji wa Halmashauri zilizopo katika wilaya hiyo, kuhakikisha watoto wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wanaripoti shuleni vinginevyo hatua kali za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao.
10 years ago
VijimamboUJUMBE WA MAOFISA WA UMOJA WA BENKI ZA AKIBA DUNIANI KANDA YA AFRIKA WATEMBELEA ZANZIBAR
10 years ago
Dewji Blog31 May
Ujumbe wa Maofisa wa Umoja wa Benki za Akiba Duniani Kanda ya Afrika wakitembelea Zanzibar
Meneja wa Tawi la Benki ya Posta Zanzibar Ndg Justin S.Nandonde akisalimiana na kumkaribisha wageni wake walipotembelea Tawi hilo Zanzibar kujionea utendaji wa Benki ya Posta Tawi la Zanzibar wakiwa katika ziara yao Zenj.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania Ndg. Sabasaba Moshingi, akitowa maelezo ya Ujumbe wa Maofisa wa Benki wa Umija wa Mabenki Duniani Kanda ya Afrika, walipotembelea Benki ya Posta tawi la Zanzibar.
10 years ago
BBCSwahili04 Oct
Wanajeshi 9 wa Umoja wa Mataifa wauawa
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Chadema yamshtaki JK Umoja wa Mataifa
NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mallya, amesema wamemshtaki Rais Jakaya Kikwete kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-Moon, kutokana na kauli ya kuwatisha wanaotaka kulinda kura kwamba wataona.
Kauli hiyo aliitoa Dar es Salaam jana alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu sheria inavyoruhusu wananchi wenye shughuli za aina gani wakae ndani ya mita 200 na wale wanaoruhusiwa kukaa nje ya mita 200.
“Kifungu cha sheria...