DC aonya maofisa wanafunzi kidato1
MKUU wa wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Farida Mgomi, ametoa wiki mbili kwa watendaji wa kata na vijiji wakiwemo watendaji wa Halmashauri zilizopo katika wilaya hiyo, kuhakikisha watoto wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza wanaripoti shuleni vinginevyo hatua kali za kinidhamu zitachukuliwa dhidi yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Maofisa wa UN wahamasisha wanafunzi wa Jangwani kutekeleza ajenda za Umoja wa Mataifa
Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa Bi. Usia Nkhoma Ledama, akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Jangwani akiwa ameambatana na maafisa wenzake wa mashirika ya Umoja wa Mataifa ikiwa ni shamrashamra ya maadhimisho ya miaka 69 toka Umoja wa Mataifa unazishwe. Kushoto kwa Bi Ledama ni Albert Okal (ILO).
Shamrashamra za maadhimisho ya miaka 69 toka Umoja wa Mataifa uanzishwe zimeanza nchini, na leo jumatano maofisa waandamizi wa UN walitembelea shule ya sekondari ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
ASILIMIA 90 YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WAREJEA SHULENI, HAKUNA MAAMBUKIZI YA CORONA KWA WANAFUNZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Bvt5RuTSCtA/XteoeoMG5tI/AAAAAAALsgo/Kc9AmjZD1os5AeYP2aivaoEJl9BQCgevgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B4.10.13%2BPM.jpeg)
NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Gerald Mweli amesema asilimia 90 ya wanafunzi wa kidato cha sita wameripoti shuleni katika halmashauri zote nchini.
Mweli amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kuwapo kwa maambuziki ya ugonjwa wa Corona kwa wanafunzi wa kidato cha sita walioripoti shuleni.
Akitoa tathimini ya uripotiji wa...
9 years ago
Michuzi02 Nov
HAFLA YA JUMUIYA YA WANAFUNZI WA TANZANIA WUHAN-CHINA (WUTASA) KUWAKARIBISHA WANAFUNZI WAPYA MWAKA WA MASOMO 2015/16
![1](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/sX2k0-AXtQ4aqN4w8oa3pcb7KodDnKJmBW78-JVO_gTvSHGlxm_h3GWBHhuR7mjPEtFgtimAwI1Jr_-9cyeeQDZBH602YtYafUfEvUGGl9ym7Z8sUw=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/1.jpg)
![2](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/V-HLiJ3GVxkskmh-ybRWanHt_PCSEufwdmoSCPGIt8t8PsJ1abhh4XMs-e6rZWnoQfHhOSePBceuwzP4I5_XriEo-GVjyAw2tnjgfVlPxf8SHc8mVg=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/2.jpg)
![3](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Xs6vkqYfkDjUxVodrOcbdtn6KsNJuHUR7h8DZe4reSkd3kNC-EyKY4460IL1JV-vAMhK7EvNznYDZwXDSJg-sUy_4E-JdbjciSsgijKzda5KyEzEKA=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/11/3.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-CNd32FzMHZg/VVi1QtLsgxI/AAAAAAAACIY/u_8a9tt0NqE/s72-c/RAIS%2Bwa%2BBurundi%2BPierre%2BNkuruzinza.jpg)
Nkuruzinza aonya
![](http://2.bp.blogspot.com/-CNd32FzMHZg/VVi1QtLsgxI/AAAAAAAACIY/u_8a9tt0NqE/s320/RAIS%2Bwa%2BBurundi%2BPierre%2BNkuruzinza.jpg)
RAIS Pierre Nkuruzinza, ametoa onyo kali kuhusiana na jaribio lingine lolote la kutaka kuchukua madaraka ya nchi hiyo kwa kutumia nguvu.
Alisema jaribio la namna hiyo halipaswi kufanyika tena na serikali itahakikisha inakabiliana na makundi yenye nia ya kuvuruga amani kwa kuwa vitendo hivyo vitasababisha umasikini na vita.
Nkuruzinza alitoa kauli hiyo ikiwa ni siku mbili baada ya Marekani kumuonya kutoendelea na nia ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Marekani imesema kitendo cha Nkuruzinza...
11 years ago
Habarileo02 Jan
JK aonya wahamiaji haramu
RAIS Jakaya Kikwete ameonya wahamiaji haramu wanaorejea nchini baada ya Operesheni Kimbunga kumalizika na kusema kama wanafanya hivyo, wanajisumbua, hawatadumu nchini.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Balozi Sefue aonya
KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, amewataka watumishi wa umma nchini kuzingatia sheria, kanuni na taratibu ili kuleta tija kwenye maeneo yao ya kazi. Sefue aliyasema hayo jijini Dar es...
11 years ago
Habarileo17 Jul
Waziri aonya walimu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia amewataka walimu wa shule za msingi na sekondari nchini kutimiza wajibu wao wa kufundisha wanafunzi madarasani badala ya kuendelea na tabia ya kuwatelekeza.
10 years ago
Habarileo13 Nov
Askofu aonya wanasiasa
KIONGOZI wa kanisa la Cathedral of Joy, Askofu John Komanya amehadharisha wabunge na watu wanaowania nafasi za uongozi katika chaguzi zijazo, kutojihusisha na ushirikina kwa kile alichodai wakifanya hivyo, hawatashinda.
10 years ago
Tanzania Daima25 Aug
Ally Choki aonya
UONGOZI wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, umesema umegundua malengo ya watu wachache kutoka ndani ya bendi hiyo, ambao wanafanya mikakati ya kuifanya ife na kuipoteza katika ramani...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10