Ally Choki aonya
UONGOZI wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, umesema umegundua malengo ya watu wachache kutoka ndani ya bendi hiyo, ambao wanafanya mikakati ya kuifanya ife na kuipoteza katika ramani...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yLp6q07BwgW97GqwajAJ9hCXo8265iKQk8qTsqZRD7wC7rPuBZR5DKuR*DEDU9igYgoSY*e4qw0zNUoMq*eE1xE/CHOKI.jpg)
ALLY CHOKI:SINA MPANGO NA SIASA
Stori: Elvan Stambuli
MWANAMUZIKI nguli katika muziki wa dansi nchini, Ally Lwambo Choki ‘Mzee wa Farasi†amesema hana mpango wa kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwakani na wala hana mpango wa kuingia katika siasa. Mwanamuziki nguli katika muziki wa dansi nchini, Ally Lwambo Choki ‘Mzee wa Farasiâ€. Choki aliyasema hayo katika mahojiano ya ana kwa ana na waandishi wa Global Publishers katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-KAaeJqxI9FI/VQwKjMDcf7I/AAAAAAADc-4/GLZXbknYyBI/s72-c/10420753_977426482270152_2547371441185914273_n.jpg)
MWANAMUZIKI ALLY CHOKI KUTUMBUIZA TOKYO JUMAMOSI 21 MARCH 2015
KIONGOZI WA EXTRA BONGO BAND ALLY CHOKI KULITINGISHA JIJI LA TOKYO!WHITE PARTY
APEWA MAPOKEZI MAZURI NA KUPANDA JUKWAANI NA WAKONGWEFRESH JUMBE NA ABBU OMARY
Ukumbi: Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara City
Tokyo,Japan.
Mwanamuziki mahili wa muziki wa dansi Ally Choki ambaye pia ni kiongozi wa bendi ya Extra Bongo aka "Wazee wa Kizigo" anatarajiwa kutingisha jukwaa siku ya Jumamosi 21.Machi 2015 ambapo wanamuziki wa Eagle's Vission watakuwepo kumsindikiza Ally Choki anayefuatana na Super...
APEWA MAPOKEZI MAZURI NA KUPANDA JUKWAANI NA WAKONGWEFRESH JUMBE NA ABBU OMARY
Ukumbi: Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara City
![](http://3.bp.blogspot.com/-KAaeJqxI9FI/VQwKjMDcf7I/AAAAAAADc-4/GLZXbknYyBI/s1600/10420753_977426482270152_2547371441185914273_n.jpg)
Mwanamuziki mahili wa muziki wa dansi Ally Choki ambaye pia ni kiongozi wa bendi ya Extra Bongo aka "Wazee wa Kizigo" anatarajiwa kutingisha jukwaa siku ya Jumamosi 21.Machi 2015 ambapo wanamuziki wa Eagle's Vission watakuwepo kumsindikiza Ally Choki anayefuatana na Super...
10 years ago
MichuziAlly Choki na Super Nyamwela warudisha majeshi Twanga Pepeta
10 years ago
GPLHALI ILIVYO MPAKA SASA NYUMBANI KWA ALLY CHOKI
Ndugu na majirani wa karibu wakiwa katika msiba wa mke wa Ali Choki, Shuwea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa muda mrefu na kuaga dunia usiku wa kuamkia leo. Mkurugenzi wa Extra Bongo akiwa na majonzi nyumbani kwake Toangoma, Kigamboni.…
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jIjW-KJzgcQ/VQwNzzyXnEI/AAAAAAAHLnc/OwlKX8HzOk8/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MWANAMUZIKI ALLY CHOKI KUTUMBUIZA TOKYO,JAPAN JUMAMOSI 21 MACHI 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-jIjW-KJzgcQ/VQwNzzyXnEI/AAAAAAAHLnc/OwlKX8HzOk8/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
Katika onyesho hilo wakongwe wawili wa muziki wa dansi watanzania wanaoishi Japan,Fresh Jumbe Mkuu na Abbu Omary watakuwepo jukwaani kuwapa baraka zote wadogo zao Ally Choki na Super Nyamwela katika...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YmT0rpDZGp0/VRReNehlMAI/AAAAAAAHNhg/ieejot5siwM/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
WAKONGWE WA DANSI PROFESA ABBU OMAR NA FRESH JUMBE WAMPA SHAVU ALLY CHOKI NCHINI JAPAN
Imeripotiwa na Hiroshi Takeuchi Tokyo,Japan,
Wanamuziki wa kongwe wa muziki wadansi Abbu Omar Njenga aka Abbu Omar na Fresh Jumbe Mkuu wenye ngome yao nchini Japan,siku ya jumamosi 21 Machi 2015 walitia fora kwa kushiriki jukwaani na kumpa baraka zote mwanamuziki Ally Choki katika onyesho lililofanyika katika ukumbi wa Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara City,Tokyo, Japan.
Wakongwe hao waliobobea katika muziki kwa maiaka mingi Abbu Omar Njenga mpiga gitaa au mpini na mtunzi aliyewahi...
Wanamuziki wa kongwe wa muziki wadansi Abbu Omar Njenga aka Abbu Omar na Fresh Jumbe Mkuu wenye ngome yao nchini Japan,siku ya jumamosi 21 Machi 2015 walitia fora kwa kushiriki jukwaani na kumpa baraka zote mwanamuziki Ally Choki katika onyesho lililofanyika katika ukumbi wa Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara City,Tokyo, Japan.
Wakongwe hao waliobobea katika muziki kwa maiaka mingi Abbu Omar Njenga mpiga gitaa au mpini na mtunzi aliyewahi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UeiAtiGk5fnoC6vpBNcL3dgn0YMKmhpxZighF70vmxIA4o6yvNC52EI8TLv5Ixy89InMVLBDTzFGghT2dTsfIUGxfFurQTKY/choki.jpg)
CHOKI KUOA SOON
Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
MIEZI michache baada ya kufiwa na mkewe, aliyejulikana kama Mama Shuu, Mkurugenzi wa Extra Bongo ‘Next Level’, Ali Choki amesema kutokana na kuishi na familia, atalazimika kuoa tena ‘very soon’. Mkurugenzi wa Extra Bongo ‘Next Level’, Ali Choki “Nitaoa hivi karibuni maana nitaepukana na vishawishi na mambo mengine, pia mimi kama mwanaume...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8Th9IYpSdNrrUPzZZVvo4Y7uY49NJ2E8c-uzaNMRe-pdhwLr2V*2XmWaItJ0XCJve-Ecslckpjpb4hTLnsYTt0K/choki.gif)
MACHANGU WAMVAA CHOKI
Stori: Mwandishi Wetu
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wadada wa mjini waliodaiwa kuwa machangu walimpa wakati mgumu, staa wa Bongo Dansi, Ally Choki ‘Mzee wa Farasi’ baada ya kumvamia jukwaani na kumfanyia mambo ya hovyo. Staa wa Bongo Dansi, Ally Choki ‘Mzee wa Farasi’ akiimba pamoja na madada hao. Tukio hilo lililoshobokewa na wanaume wakware, lilitokea wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Meeda,...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mAFF2ts31no/VQ_suGEgB6I/AAAAAAADdYg/911RBXlYNZY/s72-c/1de974c36de6955a237bafec6097edf7.jpg)
ALI CHOKI APAGAWISHA JAPAN
![](http://4.bp.blogspot.com/-mAFF2ts31no/VQ_suGEgB6I/AAAAAAADdYg/911RBXlYNZY/s1600/1de974c36de6955a237bafec6097edf7.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-19Qq6h0M0mk/VQ_suhtqtgI/AAAAAAADdYk/NFK1SHcltnE/s1600/1f0c807b2622f311aa233edc21afe9fa.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-l6kJkstt-Jg/VQ_svGAt1kI/AAAAAAADdY4/RVyBK28bfe4/s1600/2a68bc23c2317934c439ecb71e9f8b59.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vOzxOtZYas0/VQ_swQI340I/AAAAAAADdZI/YRL7pVcwVmM/s1600/3b301df54b55a1e7d88c78cf99284d8b.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-s_TOuIKQcx4/VQ_suCazN1I/AAAAAAADdZA/lnUG_JkdKAw/s1600/0c45523cb5afab52f84d2250347eea75.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania