Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ally Choki aonya

UONGOZI wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, umesema umegundua malengo ya watu wachache kutoka ndani ya bendi hiyo, ambao wanafanya mikakati ya kuifanya ife na kuipoteza katika ramani...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ALLY CHOKI:SINA MPANGO NA SIASA

Stori: Elvan Stambuli
MWANAMUZIKI nguli katika muziki wa dansi nchini, Ally Lwambo Choki ‘Mzee wa Farasi” amesema hana mpango wa kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwakani na wala hana mpango wa kuingia katika siasa. Mwanamuziki nguli katika muziki wa dansi nchini, Ally Lwambo Choki ‘Mzee wa Farasi”. Choki aliyasema hayo katika mahojiano ya ana kwa ana na waandishi wa Global Publishers katika...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAMUZIKI ALLY CHOKI KUTUMBUIZA TOKYO JUMAMOSI 21 MARCH 2015

KIONGOZI WA EXTRA BONGO BAND ALLY CHOKI KULITINGISHA JIJI LA TOKYO!WHITE PARTY
APEWA MAPOKEZI MAZURI NA KUPANDA JUKWAANI NA WAKONGWEFRESH JUMBE NA ABBU OMARY
Ukumbi: Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara CityTokyo,Japan.
Mwanamuziki mahili wa muziki wa dansi Ally Choki ambaye pia ni kiongozi wa bendi ya Extra Bongo aka "Wazee wa Kizigo" anatarajiwa kutingisha jukwaa siku ya Jumamosi 21.Machi 2015 ambapo wanamuziki wa Eagle's Vission watakuwepo kumsindikiza Ally Choki anayefuatana na Super...

 

10 years ago

Michuzi

Ally Choki na Super Nyamwela warudisha majeshi Twanga Pepeta

Kiongozi wa bendi ya Twanga Pepeta Luizer Mbutu (kati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akimtambulisha Mwanamuziki Mkongwe wa Muziki wa dansi nchini, Ally Choki "Mzee wa Farasi" (kushoto) pamoja na Hassan Mussa 'Super Nyamwela ambao wametangazwa kujiunga na bendi ya Twanga Pepeta kwa mara nyingine tena. Pichani toka kushoto ni Kiongozi wa bendi ya Twanga Pepeta, Luizer Mbutu, Mwanamuziki Mkongwe wa Muziki wa dansi nchini, Ally Choki "Mzee wa Farasi", Hassan Mussa...

 

10 years ago

GPL

HALI ILIVYO MPAKA SASA NYUMBANI KWA ALLY CHOKI

Ndugu na majirani wa karibu wakiwa katika msiba wa mke wa Ali Choki, Shuwea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa muda mrefu na kuaga dunia usiku wa kuamkia leo. Mkurugenzi wa Extra Bongo akiwa na majonzi nyumbani kwake Toangoma, Kigamboni.…

 

10 years ago

Michuzi

MWANAMUZIKI ALLY CHOKI KUTUMBUIZA TOKYO,JAPAN JUMAMOSI 21 MACHI 2015

Tokyo,Japan. Mwanamuziki mahili wa muziki wa dansi Ally Choki ambaye pia ni kiongozi wa bendi ya Extra Bongo aka "Wazee wa Kizigo" anatarajiwa kutingisha jukwaa siku ya Jumamosi Machi 21,2015 ambapo wanamuziki wa Eagle's Vission watakuwepo kumsindikiza Ally Choki anayefuatana na Super Nyamwela.
Katika onyesho hilo wakongwe wawili wa muziki wa dansi watanzania wanaoishi Japan,Fresh Jumbe Mkuu na Abbu Omary watakuwepo jukwaani kuwapa baraka zote wadogo zao Ally Choki na Super Nyamwela katika...

 

10 years ago

Michuzi

WAKONGWE WA DANSI PROFESA ABBU OMAR NA FRESH JUMBE WAMPA SHAVU ALLY CHOKI NCHINI JAPAN

Imeripotiwa na Hiroshi Takeuchi Tokyo,Japan, 
Wanamuziki wa kongwe wa muziki wadansi Abbu Omar Njenga aka Abbu Omar na Fresh Jumbe Mkuu wenye ngome yao nchini Japan,siku ya jumamosi 21 Machi 2015 walitia fora kwa kushiriki jukwaani na kumpa baraka zote mwanamuziki Ally Choki katika onyesho lililofanyika katika ukumbi wa Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara City,Tokyo, Japan. 
Wakongwe hao waliobobea katika muziki kwa maiaka mingi Abbu Omar Njenga mpiga gitaa au mpini na mtunzi aliyewahi...

 

10 years ago

GPL

CHOKI KUOA SOON

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
MIEZI michache baada ya kufiwa na mkewe, aliyejulikana kama Mama Shuu, Mkurugenzi wa Extra Bongo ‘Next Level’, Ali Choki amesema kutokana na kuishi na familia, atalazimika kuoa tena ‘very soon’. Mkurugenzi wa Extra Bongo ‘Next Level’, Ali Choki “Nitaoa hivi karibuni maana nitaepukana na vishawishi na mambo mengine, pia mimi kama mwanaume...

 

11 years ago

GPL

MACHANGU WAMVAA CHOKI

Stori: Mwandishi Wetu
KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wadada wa mjini waliodaiwa kuwa machangu walimpa wakati mgumu, staa wa Bongo Dansi, Ally Choki ‘Mzee wa Farasi’ baada ya kumvamia jukwaani na kumfanyia mambo ya hovyo. Staa wa Bongo Dansi, Ally Choki ‘Mzee wa Farasi’ akiimba pamoja na madada hao. Tukio hilo lililoshobokewa na wanaume wakware, lilitokea wikiendi iliyopita katika Ukumbi wa Meeda,...

 

10 years ago

Vijimambo

ALI CHOKI APAGAWISHA JAPAN

Mwimbaji mahili toka Tanzania Ali Choki akitoa burudani siku ya Jumamosi March 21, 2015 nchini Japan alipokua ameenda kwa ajili ya kukata kiu mashabiki wake huko. Katika safari hiyo Choki aliambatana na mcheza show super Nyamwela.Dada kutoka Peru akiitikia wimbo wa Ali Choki siku ya Jumamosi March 21, 2014 siku mwimbaji huyo mahili toka Bongo alipofanya vitu vyake nchini Japan.Choki akilishambulia Jukwaa.Mcheza show Super Nyamwela akilishambulia jukwaa.Wadau kutoka Kenya wakihudhuria onesho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani