Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAKONGWE WA DANSI PROFESA ABBU OMAR NA FRESH JUMBE WAMPA SHAVU ALLY CHOKI NCHINI JAPAN

Imeripotiwa na Hiroshi Takeuchi Tokyo,Japan, 
Wanamuziki wa kongwe wa muziki wadansi Abbu Omar Njenga aka Abbu Omar na Fresh Jumbe Mkuu wenye ngome yao nchini Japan,siku ya jumamosi 21 Machi 2015 walitia fora kwa kushiriki jukwaani na kumpa baraka zote mwanamuziki Ally Choki katika onyesho lililofanyika katika ukumbi wa Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara City,Tokyo, Japan. 
Wakongwe hao waliobobea katika muziki kwa maiaka mingi Abbu Omar Njenga mpiga gitaa au mpini na mtunzi aliyewahi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MWANAMUZIKI ALLY CHOKI KUTUMBUIZA TOKYO,JAPAN JUMAMOSI 21 MACHI 2015

Tokyo,Japan. Mwanamuziki mahili wa muziki wa dansi Ally Choki ambaye pia ni kiongozi wa bendi ya Extra Bongo aka "Wazee wa Kizigo" anatarajiwa kutingisha jukwaa siku ya Jumamosi Machi 21,2015 ambapo wanamuziki wa Eagle's Vission watakuwepo kumsindikiza Ally Choki anayefuatana na Super Nyamwela.
Katika onyesho hilo wakongwe wawili wa muziki wa dansi watanzania wanaoishi Japan,Fresh Jumbe Mkuu na Abbu Omary watakuwepo jukwaani kuwapa baraka zote wadogo zao Ally Choki na Super Nyamwela katika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Ally Ala Shavu, Asaini Mkataba ‘Mnono’ na Kampuni Kubwa ya Filamu Nchini Kenya

Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally amesaini mkataba mnono wa kucheza filamu na kampuni maarufu ya kusambaza filamu nchini Kenya.

Riyama alisema kuwa amefanya mazungumzo na kampuni hiyo mjini Mombasa na tayari wameshaanza kufanya kazi na kumlipa kitita kinono cha fedha ambacho hakukitaja.

Aidha amesema kuwa wadau wengine wa filamu nchini Kenya wametangaza dau kubwa zaidi ili msanii huyo aweze kucheza tamthilia zinazorushwa kwenye Televisheni mbali mbali nchini humo.

Cloudsfm.com

 

5 years ago

Michuzi

MSAFARA WA KIJINSIA WAMPA SHAVU KIJANA MJASIRIAMALI

  Mwakilishi wa Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bi. Imelda Kamugisha akizungumza na wananchi wa mkoa wa Shinyanga wakati wa mapokezi ya msafara wa kijinsia ulifika mkoani humo kwa lengo la kutoa elimu ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia. Wasanii Shetta na G nako wakitumbuiza katika Eneo la Nguzo nane Mkoani Shinyanga wakati Msafara wa kijinsia unaolenga kutoa elimu ya mapambano dhidi ya vitendo vya kikatili uliposimama mkoani hapo. Msafara wa Kijinsia ukiongozwa na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ally Choki aonya

UONGOZI wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, umesema umegundua malengo ya watu wachache kutoka ndani ya bendi hiyo, ambao wanafanya mikakati ya kuifanya ife na kuipoteza katika ramani...

 

11 years ago

GPL

ALLY CHOKI:SINA MPANGO NA SIASA

Stori: Elvan Stambuli
MWANAMUZIKI nguli katika muziki wa dansi nchini, Ally Lwambo Choki ‘Mzee wa Farasi” amesema hana mpango wa kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu wa mwakani na wala hana mpango wa kuingia katika siasa. Mwanamuziki nguli katika muziki wa dansi nchini, Ally Lwambo Choki ‘Mzee wa Farasi”. Choki aliyasema hayo katika mahojiano ya ana kwa ana na waandishi wa Global Publishers katika...

 

10 years ago

Vijimambo

ALI CHOKI APAGAWISHA JAPAN

Mwimbaji mahili toka Tanzania Ali Choki akitoa burudani siku ya Jumamosi March 21, 2015 nchini Japan alipokua ameenda kwa ajili ya kukata kiu mashabiki wake huko. Katika safari hiyo Choki aliambatana na mcheza show super Nyamwela.Dada kutoka Peru akiitikia wimbo wa Ali Choki siku ya Jumamosi March 21, 2014 siku mwimbaji huyo mahili toka Bongo alipofanya vitu vyake nchini Japan.Choki akilishambulia Jukwaa.Mcheza show Super Nyamwela akilishambulia jukwaa.Wadau kutoka Kenya wakihudhuria onesho...

 

10 years ago

Michuzi

Ally Choki na Super Nyamwela warudisha majeshi Twanga Pepeta

Kiongozi wa bendi ya Twanga Pepeta Luizer Mbutu (kati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akimtambulisha Mwanamuziki Mkongwe wa Muziki wa dansi nchini, Ally Choki "Mzee wa Farasi" (kushoto) pamoja na Hassan Mussa 'Super Nyamwela ambao wametangazwa kujiunga na bendi ya Twanga Pepeta kwa mara nyingine tena. Pichani toka kushoto ni Kiongozi wa bendi ya Twanga Pepeta, Luizer Mbutu, Mwanamuziki Mkongwe wa Muziki wa dansi nchini, Ally Choki "Mzee wa Farasi", Hassan Mussa...

 

10 years ago

GPL

HALI ILIVYO MPAKA SASA NYUMBANI KWA ALLY CHOKI

Ndugu na majirani wa karibu wakiwa katika msiba wa mke wa Ali Choki, Shuwea Hamis ‘Mama Shuu’ baada ya kuugua kwa muda mrefu na kuaga dunia usiku wa kuamkia leo. Mkurugenzi wa Extra Bongo akiwa na majonzi nyumbani kwake Toangoma, Kigamboni.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani