MSAFARA WA KIJINSIA WAMPA SHAVU KIJANA MJASIRIAMALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cgY6rOv1yfU/Xl9sZvSOwcI/AAAAAAALg2Q/IFeJHhWAIdcLI6SLHchl0HHC0NyCLGAVgCLcBGAsYHQ/s72-c/b6f9e6d0-3bb5-4865-9ad4-bc35d107942b.jpg)
Mwakilishi wa Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bi. Imelda Kamugisha akizungumza na wananchi wa mkoa wa Shinyanga wakati wa mapokezi ya msafara wa kijinsia ulifika mkoani humo kwa lengo la kutoa elimu ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
Wasanii Shetta na G nako wakitumbuiza katika Eneo la Nguzo nane Mkoani Shinyanga wakati Msafara wa kijinsia unaolenga kutoa elimu ya mapambano dhidi ya vitendo vya kikatili uliposimama mkoani hapo.
Msafara wa Kijinsia ukiongozwa na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YmT0rpDZGp0/VRReNehlMAI/AAAAAAAHNhg/ieejot5siwM/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
WAKONGWE WA DANSI PROFESA ABBU OMAR NA FRESH JUMBE WAMPA SHAVU ALLY CHOKI NCHINI JAPAN
Wanamuziki wa kongwe wa muziki wadansi Abbu Omar Njenga aka Abbu Omar na Fresh Jumbe Mkuu wenye ngome yao nchini Japan,siku ya jumamosi 21 Machi 2015 walitia fora kwa kushiriki jukwaani na kumpa baraka zote mwanamuziki Ally Choki katika onyesho lililofanyika katika ukumbi wa Sonudai-Kanagawa Prefecture, Sagamihara City,Tokyo, Japan.
Wakongwe hao waliobobea katika muziki kwa maiaka mingi Abbu Omar Njenga mpiga gitaa au mpini na mtunzi aliyewahi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FuxPfce7Qok/XlEWOl2GSTI/AAAAAAALe0o/rcaSkNVfylgqgvC7Z3BEAS8msd2NKlmrACLcBGAsYHQ/s72-c/A-22-1024x697.jpg)
WIZARA YABARIKI MSAFARA WA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-FuxPfce7Qok/XlEWOl2GSTI/AAAAAAALe0o/rcaSkNVfylgqgvC7Z3BEAS8msd2NKlmrACLcBGAsYHQ/s640/A-22-1024x697.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1AA-7-1024x763.jpg)
Kaimu Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii kutoka Wizara Bw. Leornard Mchau akizungumza na wawakilishi wa msafara wa wa kitaifa wa wa kijinsia wenye lengo la kutokomeza ukatili wa kijinsia leo jijini Dodoma utakoanzia Mpanda mkoano Latavi tarehe 24/02/2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2A-3-1024x773.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-e01f6OhrUow/Xkki692h0rI/AAAAAAAAmuQ/ZRmfs2WYQoUpuF_ii2fCnJpOidvOVp9fACLcBGAsYHQ/s72-c/e6580657-8f26-44b8-80cf-8c59d38c8b0d.jpg)
UFUGAJI MBWA WAMPA KIJANA UTAJIRI MKOANI KAGERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-e01f6OhrUow/Xkki692h0rI/AAAAAAAAmuQ/ZRmfs2WYQoUpuF_ii2fCnJpOidvOVp9fACLcBGAsYHQ/s640/e6580657-8f26-44b8-80cf-8c59d38c8b0d.jpg)
Kijana mkoani Kagera aliyepambana na ukosefu wa ajira kwa muda mrefu afanikiwa kujiajiri na kutoa ajira kwa vijana 1000 asimulia ufugaji wa mbwa na kilimo cha miti kumpatia utajiri atoa neno kwa serikali.
Kijana huyo Evance Kamenge amebainisha hayo mbele ya Naibu waziri ofisi waziri mkuu Kazi, Vijana, Ajira Sera na watu wenye ulemavu Anthony Mavunde katika kongamano la umoja wa vijana CCM mkoani Kagera lililofanyika katika ukumbi wa Linas uliopo manispaa ya Bukoba...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-qKjE6YZWhvo/XkjftnixESI/AAAAAAAAmtk/cWbe51ysNoM2vPqG1fT8OCO9bHypskA2QCLcBGAsYHQ/s72-c/e6580657-8f26-44b8-80cf-8c59d38c8b0d.jpg)
UFUGAJI MBWA WAMPA UTAJIRI KIJANA MKOANI KAGERA
![](https://1.bp.blogspot.com/-qKjE6YZWhvo/XkjftnixESI/AAAAAAAAmtk/cWbe51ysNoM2vPqG1fT8OCO9bHypskA2QCLcBGAsYHQ/s400/e6580657-8f26-44b8-80cf-8c59d38c8b0d.jpg)
Na Lydia Lugakila Kagera
Kijana mkoani Kagera aliyepambana na ukosefu wa ajira kwa muda mrefu afanikiwa kujiajiri na kutoa ajira kwa vijana 1000 asimulia ufugaji wa mbwa na kilimo cha miti kumpatia utajiri atoa neno kwa serikali.
Kijana huyo Evance Kamenge amebainisha hayo mbele ya Naibu waziri ofisi waziri mkuu Kazi, Vijana, Ajira Sera na watu wenye ulemavu Anthony Mavunde katika kongamano la umoja wa vijana CCM mkoani Kagera...
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Manji ashinda tuzo nyingine ya mjasiriamali kijana Afrika
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XzHiUFEsZfM/XlQodgz5pnI/AAAAAAALfMI/ITicwX_ioHYJL8fFM9jC6vDmfnW75akeACLcBGAsYHQ/s72-c/1449ca8c-68eb-472a-94b8-80d7dd152563.jpg)
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani wazinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani umezinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Akizungumza wakati akizindua Msafara huo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Juma Zuberi Homera amesema kuwa vitendo vya kikatili vimekuwa vikishamiri kila siku katika jamii zetu hivyo vinatakiwa kupatiwa mbinu ya kupambana navyo.
Ameongeza kuwa Serikali haiwezi kuvumilia kuona wanawake na watoto wanafanyiwa vitendo vya kikatili hivyo itahakikisha...
9 years ago
Mwananchi27 Aug
MJASIRIAMALI : Mazingira yanawezaje kumuathiri mjasiriamali?
10 years ago
Mwananchi15 Jan
Kona ya mjasiriamali
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Ndoto ya mjasiriamali